Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

siku = masaa 24
Nimekueleza kuwa funga yetu ummah wa Mtume muhammad ni tofauti na funga walizofaradhishiwa Mitume ya wana wa Israel. Mfano ni hiyo funga ya Mtume Daud a.s

Ila cha ajabu mbona hushangai funga za wayahudi zilivyotofauti na funga zenu wakristo? Japo wote mnadai kuifuata torati ya Musa?

Au nani kati yenu wakristo anayefunga funga ya siku 40 mnayodai aliifunga Yesu?
 
Mtoa mada naona roho inakuuma sana funga ya Ramadhani inavyoheshimiwa duniani, pole sana umeongea upuuzi upuuzi tu wala hauna maana yoyote.

Sisi ndo tunaishi na Wakristo mitaani tunawajua,katika wakristo 20 anaefunga kweli unakuta 1 tu mi nna washkaji zangu wakaribu 9 na hakuna hata mmoja anaefunga. Kwaresma imefeli na Ramadhani imefaulu kiimani
 
Mimi kinachonishangaza ni vyakula kupanda bei maana yake wanakula sana mwezi huu.
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Mchana wanakunja sura na kujionyesha wamefunga, usiku wanakula kama fukusi

Haiwezekani saa 12 jioni mtu anafakamia mihogo, tende, uji viazi, mayai, tambi na kadhalika


Saa 2 usiku unamkuta anagonga msosi , saa nne anakula

Halafu anaamka usiku anakula msosi sahani nzima

Sasa huku kufunga au kubadili ratiba??? [emoji23][emoji23]
Pole sana
 
Hakuna mchungaji feki wala OG huwa anajishughulisha na uislam,uislam mimi nausoma kila siku,na kadili ninavyoujua ndio nazidi kujua ni jinsi gani ulitokana na nabii feki.

Hata mtu kama mike tyson ni muislam wa kubadili,unawezasema alikuwa anaambiwa hivi na vile kuhusu uislam kumne mwenzako alibadili kama fasheni au kama anavyobadili demu mpya[emoji16][emoji16].
Ndio maana unaona bado anaendelea na upandaji na uvunaji wa bangi.

Ndio sababu nikakwambia nyinyi ni wazuri sana katika kufuata uislam na waislam ila kuhusu kumjua Mungu ni weupe tu kama watoto.
Mngekuwa mnamjua Mungu mngekuwa jamii bora sana kuishi nayo maana imeiva ktk pendo na kujikana,ila waaaapi.

kuna kichwa kingine kama hukijui kinaitwa andrew tate,nacho ni muendelezk wa wale waislam kisasa ambao fahari kwa waislam kama wewe.


Sina chuki na uislam,na inawezekana naujua kukuzidi ila tofauti yangu na yako ni kwamba unaamini Muhammad ni mtume wa Mungu.
Huna hoja yoyote ni chuki tu huna hoja hata moja!!! Na Ramadhani hua inawauma sana dunia hua inasimama
 
Mtoa mada naona roho inakuuma sana funga ya Ramadhani inavyoheshimiwa duniani, pole sana umeongea upuuzi upuuzi tu wala hauna maana yoyote.

Sisi ndo tunaishi na Wakristo mitaani tunawajua,katika wakristo 20 anaefunga kweli unakuta 1 tu mi nna washkaji zangu wakaribu 9 na hakuna hata mmoja anaefunga. Kwaresma imefeli na Ramadhani imefaulu kiimani
Kufunga si mashindano ya kidini.
 
Acha kujidanganya duniani hapa kila kitu kipo wazi wakristo hamna utaratibubwa kufunga duniani kote especially hiyo kwaresma ndio hamna mtu mwenye kuiheshimu , hata hao waliowaletea dini hawafungi kwaresma nimezunguka pande zote za dunia , hata hao wazungu wenu wanaiheshimu na kuijua ramadhani na hawaifahamu kabisa kwaresma
Shida ya wanafiki ndo hiyo kujidai kujua mpka nafsi za watu... Mi nakwambia wapo wengi sana wanafunga mpka 7 kavu, unanibishia. Watu wanafunga na kuheshimu mfungo sana na wakifunga hawasimami kwenye panda za njia kujisemesha wamefunga wala kupausha na kunuka midomo kwa swaum..... Na ni Dunia gani unayoisemea labda ya uarabuni maana niliko hata sherehe za kiislamu hazitambuliki sembuse mfungo?? 😂😂😂Acha kudanganya watu, na sikukuu za kikristo zimeboldiwa kwa kaenda na zinaheshimika sana hata maduka hufungwa.
 
Shida ya wanafiki ndo hiyo kujidai kujua mpka nafsi za watu... Mi nakwambia wapo wengi sana wanafunga mpka 7 kavu, unanibishia. Watu wanafunga na kuheshimu mfungo sana na wakifunga hawasimami kwenye panda za njia kujisemesha wamefunga wala kupausha na kunuka midomo kwa swaum..... Na ni Dunia gani unayoisemea labda ya uarabuni maana niliko hata sherehe za kiislamu hazitambuliki sembuse mfungo?? 😂😂😂Acha kudanganya watu, na sikukuu za kikristo zimeboldiwa kwa kaenda na zinaheshimika sana hata maduka hufungwa.
Holidays sawa zinajulikana nje kwa sababu ndio waliozitunga ila swala la kuheshimu dini kama kufunga kwaresma hakuna mzungu au hata muafrika anayefunga hata kuitilia maanani dunia nzima ipo hivyo acha ubishi usiyokuwa na kichwa wala miguu,

Na unavyoonyesa hata shule hujaenda hujui kwanini mtu akifunga ananuka mdomo soma hapo chini scientific reason ya kwa nini mtu akifunga mdomo unatoa harufu, na hii inadhihirisha huwa hufungi

Haya pokea na salamu za ramadhani kutoka kwa biden
 

Attachments

  • Screenshot_20240313-105612_Instagram.jpg
    Screenshot_20240313-105612_Instagram.jpg
    487.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240325-083714_Chrome.jpg
    Screenshot_20240325-083714_Chrome.jpg
    120.2 KB · Views: 2
Kwahiyo wewe ni mwarabu?kisa unafata utamaduni wa kiarabu
Hayo maandiko Wala hayawahusu wakristo

Hapo Yesu alipokuwa anaongea hayo kulikuwa hakuna mkristo hata mmoja

Yesu amezaliwa amekuta Wana waisrael wanafunga tokea enzi na enzi na ndio anaoongea nao hapo

Na kama hayo mandiko yanakuhu wewe mkristo tuambie wewe unafunga vipi ?

Masaa 12
Masaa 24
Wiki mzima
Mwezi mzima
Siku 40


Muache kudanganyana hayo maswali uliyoulizwa na jibu ulilotoa ni tofauti kabisa inathibisha kuwa wakristo hamjui mfunge vipi


Kama hayo maswali angeulizwa Muislam majibu haya hapa


Quran 2:185
- Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi ataye kuwa mjini katika mwezi huu naafunge. Na mwenye kuwa mgonjwa au safarini, basi atimize hisabu katika siku nyengine. Mwenyezi Mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hisabu, na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa amekuongoeni ili mpate kushukuru.

Quran 2:187
- Mmehalalishiwa usiku wa Saumu kuingiliana na wake zenu. Wao ni vazi kwenu, na nyinyi ni vazi kwao. Mwenyezi Mungu anajua kwamba mlikuwa mkizikhini nafsi zenu. Kwa hivyo amekukubalieni toba yenu na amekusameheni. Basi sasa changanyikeni nao na takeni aliyo kuandikieni Mwenyezi Mungu. Na kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri katika weusi wa usiku. Kisha timizeni Saumu mpaka usiku.
 
Naona u mwepesi sana kujudge watu hongera wewe msomi usiyekuwa na akili😂,, na unabisha vitu usivovijua. Hzo sherehe zenu hazisherehekewi ulaya wala hazipo wanazijua ndgu zenu tu wao hawana habari,,, lkn sikushangai mana ndo kawaida yenu kudanganyana kwenye vijiweni vyenu vya kusubiria futari. Holidays sawa zinajulikana nje kwa sababu ndio waliozitunga ila swala la kuheshimu dini kama kufunga kwaresma hakuna mzungu au hata muafrika anayefunga hata kuitilia maanani dunia nzima ipo hivyo acha ubishi usiyokuwa na kichwa wala miguu,

Na unavyoonyesa hata shule hujaenda hujui kwanini mtu akifunga ananuka mdomo soma hapo chini scientific reason ya kwa nini mtu akifunga mdomo unatoa harufu, na hii inadhihirisha huwa hufungi

Haya pokea na salamu za ramadhani kutoka kwa bi
 
Yuko wapi Execute Citizen B Championship Maghayo na wengine ambao walikuwa na kazi Moja tu kukashifu Uislamu sasa wapo wapi ? halafu Wagalatia mtindo huo wamechukulia kama fasheni ya kutaka umaarufu hapa Jf.
Jifunze kiswahili.
Kukashifu ni kuzusha kashfa zisizo za kweli.
Mimi nilikuwa nafanya kuonyesha uchafu unaofichwa wala sio kuzusha kitu chochote...maana Kila nilílosema nilikuwa naweka ushahidi kutoka kwenye vitabu vyenu
 
tujadiliane sio conclusive statement, Well kwangu navyoona and i am open to be criticised / kuelimishwa ni kwamba :

Huwa nashangaa sana nikiona baadhi (sio wote) waliofunga ramadan wakilalamika swaumu imetaiti (njaa), nina uhakika hawa wanaolalamika (baadhi) hawawezi kutoboa mfungo wa kikristo.

Funga ya mkristo akila saa moja jioni ni mpaka kesho tena saa moja jioni hakuna kunywa maji wala kula, na hata mle hadharani wala hapagawi au kulalamika mnamuingiza tamaa, yani mtu hajala tangu jana lakini haonyeshi dalili yoyote ya kulegea, ndio maana inakuwa ngumu sana kujua kafunga.

Upande wa pili kufungua saa moja jioni, kabla ya kulala mida ya saa nne flani hivi unatupia tena, haijaishia hapo alarm inategwa saa kumi alfajiri kuwahi kuamka kula daku, ni kama vile ratiba ya lunch inahamia alfajiri na ratiba ya chai kabla ya kulala, cha kushangaza baadhi yao hata wakiona mtu anakula hadharani tayari kuna roho ya kutamani inaingia utasikia wakilalamika "huoni aibu kula hadharani", "unahtuharibia swaumu", n.k. Zanzibar wameenda mbali zaidi ukikutwa unashushiwa kipigo.
Ramadhani si kufunga tu ,na kama unaona ni rahisi basi karibu nawe uanze japo hizi siku 4 zilizobaki kisha utarejea hapa kuwaambia wenzio utakachokutana nacho.
Funga kisha Futari
Kisha pumzika kidogo swali sala ya Isha saa 2 usiku baada ya hapo lala kidogo amka saa sita usiku simama kwa ajili ya Ibada za Ramadhani mpaka saa 10 kula daku kisha swali Swala ya Fajri kisha jiandae kwenda job na ukainjoi kama unavyodhani wanafaidi Muslims
 
Back
Top Bottom