Tukisema Royal Tour Tulipigwa tunamaanisha ukweli

Sasa maajabu ndiyo hayo.

Kule mama kuingia tu, hata kabla hajavuta pumzi haya ma'vultures' yakamdaka!

Ina maana yalikuwa yanazongea kwa muda mrefu yakisubiri mzoga udondoke yapate kufaidi.

Na kweli kufaidi yanafaidi sasa yanavyopenda yenyewe.

Mkuu 'voicer', umewasilisha mada yako kisomi. Atakayeshindwa kukuelewa atakuwa kichwani anayo matatizo yake mwenyewe.

Huu ni ushahidi mmoja wapo ulio wazi ni wapi tunapopigiwa, kwa kumtumia mkuu wa nchi yetu kama chombo cha kutupiga.
 
Badili jina uwe juicer badala ya voicer. Sioni ulichoandika
 
Tumepigwa vipi wakati hatujatumia hata senti tano yetu ya serikali?. Ni pesa za mfadhili mwanzo mwisho!.
P
Ingekuwa wamechangia watu lazma wangetajwa na kwa kuwa kutajwa kwao majina ni fursa na hakuna asitetaka fursa ya kuonekananau kusikika
Watu wabgepiga biashara

Selikal ilitoa fedha kwa namna yoyote ile
 
Hilo nalo wazo. Inawezekana pia.
 
Mchango maridadi mnoo!
 
Mkuu heshima yako.

Vipi kwa mtazamo wako,je ilikuwa na impact yoyote kwa taifa au ilikuwa ni upepo wa kisulisuli na bizness as usuals. Please msaidie mleta mada.
Amesema wazungu wamemaindi sana kumuona staling'i raia namba moja, mama! Sijui ni wazungu wa wapi wanaomaindi kuwaona marais. Mzungu aje Tanzania eti kwa sababu ameona kuna rais mwanamke! Labda mzungu wa reli. Tumezoea kuwaabudu marais akaona amuweke na wa Zanziba na mkewe ili wafurahi kujiona kwenye sinema, Peter! You got a ROYAL TOUR bro, and most of all by being driven by a President! Trully you culved a Royal Tour for yourself.
Jiwe alituletea ndege akisema zitaleta watalii nchini lakini kila nikiona watalii wanashuka KIA naona ndege za nje, Ethiopia na nyinginezo sasa sijui ATC ndiyo inawatembeza mbugani kuangalia wanyama? Tanzania kila kitu kinawezekana, sitashangaa katika mapato na matumizi nikaona ndululu zilizotumiwa na ATC kutembeza watalii porini.
 
Huwa nikikumbuka naumia najituliza na beer. Kwenye yale maigizo tulipiga pesa sana sisi watu wa karibu na mfumo. Kiuhalisia ilikuwa tu ni namna ya kuangalia tunapataje pesa na kuendelea na maisha mengine. Sasa kuna kipindi nikipita huko tanza.

Naoina maisha ya maskini yalivyo na mateso waliyonayo. Kama binadamu moyo unaniuma nasema tumswalie mtume ndugu zanguni hali ni mbaya sana.

Nikianza kuwaza hayo nakunywa beer kuondoa mawazo ya kijinga.

Kazi iendelee sasa.
 
Hahahahaha..mfumo wa kutapanya. Ila hii kantri..ina uchovu mwingi sana.. kuna wanaosema tutafika tukiwa tumechoka sana..mimi naona hata kufika wengine hatutafika.
 
Mama alivyoingia madarakani wakamdaka magufuli haters na wasanii. Wakaona wamfundishe mama kuigiza mapema ndio wakamletea aigize royal tours.
 
Kwani, wewe, Pascal Mayalla hujui kanuni ya vipaumbele?

Unatumia billions kwenye nini sijui, halafu unategemea NGOs zikupe msaada wa mafuta na mchele wenye virutubisho?
 
Last time nilikusoma kama mwanasheria! Inashangaza hutaki kutambua tatizo kwa watu kujificha kwenye kivuli cha kuchangia serikali!
Ukiambiwa ndio wanaogawiwa mbuga na raslimali zetu bwerere utashangaa???!! Shame be critical bhana araa
 
Paza sauti mwanaume usikike mpaka marekani Kwa producer,,,Niko hapa roundabout nakusubiri........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…