Tukisema Royal Tour Tulipigwa tunamaanisha ukweli

Tukisema Royal Tour Tulipigwa tunamaanisha ukweli

Suppose ingetumia 100 billions na kuonyesha tuu the potrait photo ya Samia, kama ilivyo picha ya Mona Lisa iliyochorwa na Leonardo Da Vinci, na hizo billions sio zetu ni za mfadhili wa kujitolea, kuna tatizo gani?.

Watanzania tujifunze kuwa na shukrani hata kwa madogo tuu ili tujaaliwe makubwa!. Kitendo tuu cha a documentary ambayo sterling wake ni citizen number one wa Tanzania, ina impact kubwa kuliko a 100 millions dollars documentary ya National Geographical!.

Don't compare Mbingu na Ardhi!
P
Siyo kulinhanisha Mbingu na Ardhi. Hakuna mtu anakupa mabilioni kwa sababu ya sura yako. Tatizo lilikuwa ni nini kushindwa kututajia wafadhili hao? Walichukua nini in return?
 
We Jamaa unajifanya mjuzi wa siasa
Mimi sijifanyi ni mjuzi wa siasa, bali mimi sio tuu ni mjuzi haswa wa siasa zetu, bali pia ni mzoefu na pia ni mshiriki wa siasa zetu za kibongo bongo.
Kuna mfadhili anayeweza akatoa Hundred Billions for free of charge bila ya kupata return yoyote.
Hukana Mpumbavu wa namna hiyo lazima uelewe ''In this world there is no free lunch".
Je umewahi kuwasikia watu wanaoitwa ma philanthropists, watafute uwajue huwa Wanafanya nini na kupata nini in return!. Mimi mwenyewe hapa nilipo pia ni philanthropist ila mimi ni a rugged trousered philanthropist kupitia uandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea!.
Kuna watu wema humu duniani, wanafanya wema mkubwa sana tuu bila kutegemea chochote, mimi nawajua kama 10 hivi.
I have already measured your level of stupidity.
Thanks na ubarikiwe sana.
P
 
Siyo kulinhanisha Mbingu na Ardhi. Hakuna mtu anakupa mabilioni kwa sababu ya sura yako. Tatizo lilikuwa ni nini kushindwa kututajia wafadhili hao? Walichukua nini in return?
Hakuna aliyeshindwa kuwataja tena kwa taarifa tuu sio wafadhili bali ni mfadhili na ni mmoja tuu!. Ni mfadhili mwenyewe kaomba asitajwe ili ufadhili wake uwe treated kama swadaka!.
P
 
Mzee hapa umetoa boko.

Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa National Geographic Channel zote 2.

Wana watu zaidi ya 2 billion viewers na subscribers, wana data base ya wataalum (exploreres, wild animal doctors,Ecologist ,etc)
Wana fund projects zaidi ya 15,000 kwa mwaka.

Usirudie tena kuongea hiyo kitu.

Kama nchi hii ingekuwa inatumia akili, wangetengeneza extended documentary ambayo ingekuw inarushwa kwa mwezi au miezi kibao, sasa mnatengeneza kapicha na kukazindua marekani mnarudi hapa bongo mmekaa tu.

Viewers zaidi ya 2 BILLION, embu

IHESHIMU NATIONAL GEOGRAPHIC CHANNEL
NA USIRUDIE HII KAULI TENA SAWA?
Mjuaji mavi
 
Suppose ingetumia 100 billions na kuonyesha tuu the potrait photo ya Samia, kama ilivyo picha ya Mona Lisa iliyochorwa na Leonardo Da Vinci, na hizo billions sio zetu ni za mfadhili wa kujitolea, kuna tatizo gani?.

Watanzania tujifunze kuwa na shukrani hata kwa madogo tuu ili tujaaliwe makubwa!. Kitendo tuu cha a documentary ambayo sterling wake ni citizen number one wa Tanzania, ina impact kubwa kuliko a 100 millions dollars documentary ya National Geographical!.

Don't compare Mbingu na Ardhi!
P
Nimekudharau sana kwa hii comment yako
 
Hakuna aliyeshindwa kuwataja tena kwa taarifa tuu sio wafadhili bali ni mfadhili na ni mmoja tuu!. Ni mfadhili mwenyewe kaomba asitajwe ili ufadhili wake uwe treated kama swadaka!.
P
Halafu baada ya miaka kadhaa huyo mfadhili aje na project yake ya kimafia na mmkatalie kwa mwenendo huu?!.
Nasemaje!; tuendelee kupigwa tu!.
Hawa watu ndo wanakuja kuwa na maamuzi ya kuweka watu wao kwenye asali.
Huyo mfadhili siyo mjinga kiasi hicho eti ajitolee tu.

Nonsense!...
 
Wacha kuleta polojo ebu twambie kwanza ww uko ktk sekta gar ya utalii
Hotel and lodge, tourist camp, usafilishaji, bank au bureau change, tour guide nk

Sio unaongea pumba zako wakat hao watalii unawaonaga na kuwasikia kwa taarifa ya habari au wakipita kwenye magari

Ebu waulize walioko kwenye sekta ya utalii Royal tour imewasaidia kwa kias gan , tujifunzs kua na heshima sio kla ktu unaleta siasa na porojo zako
 
Kitendo tu cha wanaoitwa wafadhili kutotajwa hadi leo (bila shaka wakidhani wananchi wote tumesahau ahadi yao ya kuwataja aliyoitoa Sa100) tafsiri yake kuna mambo hayako sawa!
Hata kama wakitajwa leo au kesho...kuchelewa huko sio bure, sio kigumimizi cha hivihivi!.
Lazima iko agenda ya siri imefichwa katika ufadhili huu!!!.
 
Mkuu, upo jikoni au ni mmoja wao?
Siko jikoni wala sii mmoja wao, bali kufuatia mimi kuwa ni mwandishi wa habari, kuna taarifa tunazipata kwa privilege ya uandishi wa habari, ambazo ni privileged information, not for public consumption, taarifa hizi tuna zihifadhi!.
P
 
Suppose ingetumia 100 billions na kuonyesha tuu the potrait photo ya Samia, kama ilivyo picha ya Mona Lisa iliyochorwa na Leonardo Da Vinci, na hizo billions sio zetu ni za mfadhili wa kujitolea, kuna tatizo gani?.

Watanzania tujifunze kuwa na shukrani hata kwa madogo tuu ili tujaaliwe makubwa!. Kitendo tuu cha a documentary ambayo sterling wake ni citizen number one wa Tanzania, ina impact kubwa kuliko a 100 millions dollars documentary ya National Geographical!.

Don't compare Mbingu na Ardhi!
P
Hapa nakupinga mzee hakuna mfadhili wa royal tour hamna cha bure pale tunalipia na tutaendelea kulipia. Najihusisha na sekta ya utalii kwa upande mmoja wa mambo ninayofanya kiuhalisia hakuna ongezeko la watalii kivilee cha zaidi wamejikusanya kaakua kulikua na covid hawakuweza toka kwa miaka miwili lakini hiyo royo tua haina la zaidi tz inatangazwa na watu kama NG na watalii wenye moyo sio huo uchafu wa royal tour ya ubabaishaji.


Kulitokea wajinga msimu wa watalii wakaanza kusema matunda ya royal tour wakati tuliopo kwenye game kitambo tunaelewa high season watalii ni kama wote magari yanaweza ongozana zaidi ya 20 na yakikwama kunakua na foleni leo zuU mmoja anachukua video magari yamekwama anaropoka eti matunda ya royal tour
 
Hapa nakupinga mzee hakuna mfadhili wa royal tour hamna cha bure pale tunalipia na tutaendelea kulipia. Najihusisha na sekta ya utalii kwa upande mmoja wa mambo ninayofanya kiuhalisia hakuna ongezeko la watalii kivilee cha zaidi wamejikusanya kaakua kulikua na covid hawakuweza toka kwa miaka miwili lakini hiyo royo tua haina la zaidi tz inatangazwa na watu kama NG na watalii wenye moyo sio huo uchafu wa royal tour ya ubabaishaji.


Kulitokea wajinga msimu wa watalii wakaanza kusema matunda ya royal tour wakati tuliopo kwenye game kitambo tunaelewa high season watalii ni kama wote magari yanaweza ongozana zaidi ya 20 na yakikwama kunakua na foleni leo zuU mmoja anachukua video magari yamekwama anaropoka eti matunda ya royal tour
Kuna watu wa karibu wanamdanganya sana mama kwa maslahi binafsi, nakumbuka dr abasi alitajwa kama mtu aliyemleta mzungu wa royo tour bw. Peter kwa mama.
Huyu dr ni tapeli/dalali wa kwanza na muhimu ktk wizi wa mali za watz.
Mimi sikumpenda Magu ila alinifurahisha tu namna alivyodili na wanafki kama Dr Abas, Nape, Makamba, Mwigulu na wengine dizaini hiyo.
Huyu Mama yeye kawapa uhuru kuwa karibu nao...matokeo yake wanampaka mafuta kwa mgpngo wa chupa ili mradi matumbo yao yajae!.
 
Sidhani kama Ile ni documentary ya wanyama per se Ile ni branding tu ya Rais Samia na sababu yule jamaa alifanya Royal Tours na Marais kadhaa ndio maana na yeye kamtumia yule it's not about viewership ila aina ya documentary.

So hao washauri wa Rais walitaka wamtambulishe Samia kwa Dunia na sio kutambulisha wanyama kwa Dunia maana documentary za Serengeti zimejaa national geographic kila siku.

Daaah yaani we umekuwa unaongea ujinga ujinga hapa mpaka aibu!!

Kumbe lengo lilikuwa kumtambulisha Rais wa nchi hii kwa Dunia ?...kwahiyo we kwa upande wako unaona imekaa sawa hii? Inferiority complex ya kiwango cha juu kabisa .....ebu tuambie vizuri walitaka kumtambulisha kwa Dunia ili iweje?
 
Back
Top Bottom