Tukisema Royal Tour Tulipigwa tunamaanisha ukweli

Tukisema Royal Tour Tulipigwa tunamaanisha ukweli

Sidhani kama Kuna favor maana hii nchi wanaojikomba ni wengi. Shigongo alilipwa Nini licha ya kujikomba vile Hadi kutengeneza ma T shirt nchi nzima? Nakumbuka hata Private Sector ilimuita JPM na kumpigia kampeni ya wazi and possibly walimchangia Hela ya kampeni. So kwa Tanzania usishangae ni CRDB na NSSF ndio walikimbilia kutoa Hela Ili wajikombe kombe kwa Rais!!

Wanaotoa Hela wapate favor labda huko wazungu ila wa humu huwa kama mazombie yenyewe yanatoa Hela kama kujikomba sio kuomba favor.
Hapa umeonesha hisia, sioni kwanini tuendeshwe kwa hisia kwenye jambo linalohitaji uthibitisho ili mjadala ufungwe.

Rais atuambie huyo mfadhili wa Royal Tour alikuwa nani? na walikubaliana atampa nini kimya kimya, kuendesha serikali kwa siri ndio dalili za mwanzo za ufisadi unaotuangamiza.
 
Hapa umeonesha hisia, sioni kwanini tuendeshwe kwa hisia kwenye jambo linalohitaji uthibitisho ili mjadala ufungwe.

Rais atuambie huyo mfadhili wa Royal Tour alikuwa nani? na walikubaliana atampa nini kimya kimya, kuendesha serikali kwa siri ndio dalili za mwanzo za ufisadi unaotuangamiza.
Wala siyo hisia we mwenyewe shahidi media zilivyokua zinampamba JPM, CRDB mpaka ikafungua tawi Chato, VETA wakapeleka chuo, TPA nayo ikapeleka bandari, hao wote walipewa Nini? Walikua wanajikomba tu kulinda vyeo.

Favor unaidai pale unapoombwa uchangie ila kama mwenyewe umejileta Kuna favor Gani hapo?

Ingekua pesa za umma tungekua na haki kulalamika, ila kama ni pesa za watu kujikomba komba then sio shida yetu maana hatuna hasara tumeingia
 
Huyo mfadhili wa kujitolea ni nani? na alipewa nini in return?

Ni aibu kiongozi mkuu wa nchi kupewa pesa uchochoroni na kuja kuzitumia kwenye mambo yetu ya ndani, ni aibu sio
Ni mfadhili mzalendo mzawa ambaye ameifadhili kwa kujitolea tuu kwa uzalendo bila kuhitaji anything in return!.
Tuwe wa shukrani kwa Wazalendo kama hawa!. Watanzania tujenge utamaduni wa kuwa na shukrani kwa mema na mazuri yoyote tunayotendewa.
P
 
Wala siyo hisia we mwenyewe shahidi media zilivyokua zinampamba JPM, CRDB mpaka ikafungua tawi Chato, VETA wakapeleka chuo, TPA nayo ikapeleka bandari, hao wote walipewa Nini? Walikua wanajikomba tu kulinda vyeo.

Favor unaidai pale unapoombwa uchangie ila kama mwenyewe umejileta Kuna favor Gani hapo?

Ingekua pesa za umma tungekua na haki kulalamika, ila kama ni pesa za watu kujikomba komba then sio shida yetu maana hatuna hasara tumeingia
Tuna uhakika gani kwamba sio pesa za walipa kodi endapo mpaka sasa hakuna uthibitisho ni kina nani walichangia.
 



Kwamba Tanzania Royal Tour ilikuwa ni siasa,Royal Tour ilikuzwa kuliko uhalisia wake.

Na pia Royal Tour Documentary haikuwa na maudhui yoyote makubwa yenye ushawishi kwa watalii kuweza kuijua Tanzania pamoja na vivutio vyake.

Bali Royal Tour ilitumika na kundi la wajanja ndani na nje ya nchi hii,ili kumuweka Rais Samia karibu yao zaidi.
Na hatimae kutimiza malengo yao kisiasa na kiuchumi.

Nimeweka video links hapa,za Documentary mbili tofauti,moja ni hiyo Royal Tour,na ingine ni ya mzungu binafsi aliyetumia pesa zake kiduchu,na hatimae kuitangaza Tanzania kuliko hiyo Royal Tour.

Na hapo muelewe kwamba Royal Tour ilitumia zaidi ya Bilioni 12,huku majina ya wachangiaji yakiwekwa kapuni mpaka leo hii

Mlipigwa shilingi ngapi?
 
Hayo ni mawazo na imani yako kama Pascal Mayalla.Na kama kwako wewe ni kushukuru zaidi ya kuhoji uhalali wa kuyaficha majina ya hao wafadhili.

Wewe endelea kushukuru na kusubiri shukurani za kushukuru.

Mimi kama ni kushukuru nitamshukuru huyu mzungu aliyejitolea kutoka huko kwao na kuja kutumia muda na pesa zake kuitangaza Tanzania huku,akiwa hajaficha jina lake !

Watanzania ndio taufa pekee ambako tunamshukuru Rais badala ya kumkumbusha wajibu wake kwa walipa kodi.
Ni vile tu KATIBA inamlinda sana No.1

Bt ktk Hali ya kawaida Wananchi wamemwajiri no 1, halafu mtu huyo afadhiliwe na watu ambao hataki kuwataja majina,

Maamuzi Rahisi kabisa ni kumfuta KAZI na kufanya uchunguzi juu ya nani wafadhili na agenda nyuma ya ufadhili.

Kinga ya kutoshtakiwa ni vyema ikaondolewa kuzuia dharau za namna hii.

KATIBA mpya na TUME HURU ya UCHAGUZI ni sasa.
 
Kumbe sio pesa ya umma? Sasa kelele za Nini nyie sukuma gang? Nachojua documentary Ile ilikua kwa ajili ya branding na PR not necessarily kiuchumi.
Kaa kimya ufiche ujinga wako!
Mtu akupe ufadhili burebure tuu umeona wapi hiyo dunia ya leo...pale ni kwamba Sa100 alikuwa anawekwa sawa halafu kifuatacho ni machozi na damu kwa wadanganyika!!.
Haujiulizi kwa nn Mama alisema atawataja wafadhili wa Roho Tour lakini kapiga kimya hadi leo...ni aibu!.
 
Sidhani kama Kuna favor maana hii nchi wanaojikomba ni wengi. Shigongo alilipwa Nini licha ya kujikomba vile Hadi kutengeneza ma T shirt nchi nzima? Nakumbuka hata Private Sector ilimuita JPM na kumpigia kampeni ya wazi and possibly walimchangia Hela ya kampeni. So kwa Tanzania usishangae ni CRDB na NSSF ndio walikimbilia kutoa Hela Ili wajikombe kombe kwa Rais!!

Wanaotoa Hela wapate favor labda huko wazungu ila wa humu huwa kama mazombie yenyewe yanatoa Hela kama kujikomba sio kuomba favor.
Wewe ni CDM wa mchongo, endelea kujichomoa fuse.
 
Wala siyo hisia we mwenyewe shahidi media zilivyokua zinampamba JPM, CRDB mpaka ikafungua tawi Chato, VETA wakapeleka chuo, TPA nayo ikapeleka bandari, hao wote walipewa Nini? Walikua wanajikomba tu kulinda vyeo.

Favor unaidai pale unapoombwa uchangie ila kama mwenyewe umejileta Kuna favor Gani hapo?

Ingekua pesa za umma tungekua na haki kulalamika, ila kama ni pesa za watu kujikomba komba then sio shida yetu maana hatuna hasara tumeingia
Hayo mambo ya CRDB na Chato hapa sioni yameingiaje kwenye mjadala uliopo..

Umeandika mengi kuonesha kama vile ulikuwepo kwenye hicho kikao cha majadiliano kati ya Samia na mfadhili wake, unaweza kutuambia hicho kikao kilifanyikia wapi na tarehe ngapi?

Anyway, mimi ninachotaka, Rais akiwa kama mtumishi wetu, atuambie hizo pesa za Royal Tour zimetoka wapi tumalizane, au wewe unaipenda serikali inayoendeshwa kwa siri?
 
Hii Nchi kupigwa sio jambo la ajabu, Tulipigwa EPA, ESCROW wakati wa JK, tukapigwa RADA wakati wa Mkapa, tukapigwa 1.5T, hasara ya maujenzi huko CHATO, ununuzi wa Ndege nk wakati wa Magu, leo Royal Tour, afadhali hata hiyo tunainjoy kumuona mama akisukuma Landcruiser Mkonga.
 



Kwamba Tanzania Royal Tour ilikuwa ni siasa,Royal Tour ilikuzwa kuliko uhalisia wake.

Na pia Royal Tour Documentary haikuwa na maudhui yoyote makubwa yenye ushawishi kwa watalii kuweza kuijua Tanzania pamoja na vivutio vyake.

Bali Royal Tour ilitumika na kundi la wajanja ndani na nje ya nchi hii,ili kumuweka Rais Samia karibu yao zaidi.
Na hatimae kutimiza malengo yao kisiasa na kiuchumi.

Nimeweka video links hapa,za Documentary mbili tofauti,moja ni hiyo Royal Tour,na ingine ni ya mzungu binafsi aliyetumia pesa zake kiduchu,na hatimae kuitangaza Tanzania kuliko hiyo Royal Tour.

Na hapo muelewe kwamba Royal Tour ilitumia zaidi ya Bilioni 12,huku majina ya wachangiaji yakiwekwa kapuni mpaka leo hii

Ni kweli kabisa tuache unafiki, Royal Tour ilikosa Content Analysis ya maana hasa Content Indicators na Forms Indicators, The key elements for a promotional videos especially tourst destination promotion video hazitoshi, Tanzania nchi ya kipumbavu sana duniani, Mungu atawakuta hoi.
 
Ni mfadhili mzalendo mzawa ambaye ameifadhili kwa kujitolea tuu kwa uzalendo bila kuhitaji anything in return!.
Tuwe wa shukrani kwa Wazalendo kama hawa!. Watanzania tujenge utamaduni wa kuwa na shukrani kwa mema na mazuri yoyote tunayotendewa.
P
Ni mfadhili mzalendo ambaye amejitolea bila kuhitaji anything in return 😂😂
Tz tuendelee kupigwa tuu mana hatujitambui.
 
Ni vile tu KATIBA inamlinda sana No.1

Bt ktk Hali ya kawaida Wananchi wamemwajiri no 1, halafu mtu huyo afadhiliwe na watu ambao hataki kuwataka majina,

Maamuzi Rahisi kabisa ni kumfuta KAZI na kufanya uchunguzi juu ya nani wafadhili na agenda nyuma ya ufadhili.

Kinga ya kutoshtakiwa ni vyema ikaondolewa kuzuia dharau za namna hii.
100% True said.
 
Serikali yoyote duniani ikifikia hatua ya kufadhiliwa na watu au taasisi binafsi kutekeleza majukumu yake ni sawa na imenunuliwa/imewekwa mfukoni!.
Na ndio maana leo Mama ANAYAOMBA mafisadi wa ripoti ya CAG yatupishe!.
 
Back
Top Bottom