Tukisema Yanga SC kuna Njaa na Shida muwe mnatuelewa tafadhali

Tukisema Yanga SC kuna Njaa na Shida muwe mnatuelewa tafadhali

View attachment 1286033
Gwambina wana Stadium wamekaa kimya..Eagle queens kajiwanja kelele ..lakini sawa hamjawahi kuwa na uwanja toka dunia iumbwe
Nendeni mkaangushe miembe huko Kigamboni..Yaani viwanja wiwili ambavyo vinaendelea kujengwa utalinganisha na kimoja

Lakini unasifia nyumba ya mwenzako ilhali wewe huna tuiteje?
 
Nendeni mkaangushe miembe huko Kigamboni..Yaani viwanja wiwili ambavyo vinaendelea kujengwa utalinganisha na kimoja

Lakini unasifia nyumba ya mwenzako ilhali wewe huna tuiteje?
Kumbuka Yanga ndio timu ya kwanza kuwa nakiwanja..raisi Kenneth Kaunda ndio aliufungua..tabia nchi imetuharibia
 
Mkuu tarehe 4 naona dalili ya chama langu Simba kupigwa na Yanga au kutoa sare
EXCLUSIVE: "Nimeandika barua ya kuvunja mkataba na Yanga kwa sababu sijalipwa mishahara yangu kwa muda wa miezi mitatu sasa. Mimi ni raia wa kigeni unategemea nitaishi vipi hapa"-Lamine Moro mchezaji wa Yanga.

Chanzo Habari: Mtandao wa Shaffih Dauda Leo tarehe 7 Disemba 2019


EXCLUSIVE: Falcao ameomba kuondoka ndani ya Yanga kufuatia kutolipwa mshahara wake wa miezi miwili. Inaelezwa.

Chanzo Habari: Mtandao wa Saleh Ally ule wa salehjembe Leo tarehe 7 Disemba 2019

Naomba aliyewahi Kusikia mahala popote pale Mchezaji wa Simba SC analia ' njaa ' kama hawa Wawili wa Yanga SC aweke Ushahidi wake hapa kama huu uliowekwa hapa. Niliwaambieni Yanga SC kuwa huyo Mwenyekiti wenu ni Simba SC ' dam dam ' hamniamini na hivi tunamalizana nae ' Kimjini Mjini ' ili Kelvin Yondan atue rami Msimbazi dirisha dogo kwani Kocha mpya Ibenge kutoka DRC Congo na Pitso Mosimane kutoka Afrika Kusini wote wanamuhitaji Kikosini.

Na tarehe 4 January 2020 tunaenda Kumfukuzisha Kazi Kocha Mkwasa kwa Kipigo ' Kitakatifu ' kwa Mchina.
 
Back
Top Bottom