Tukishinda tutamshukuru Mwenyezi Mungu, ila 98% ni Sare ya aina yoyote au tunafungwa Kuanzia Goli 2

umeshuhudia kilicho tokea?
nadhani sasa umepata jibu.
nakushauri tu acha dharau.
mabadiliko makubwa, Simba inaonyesha sasa imewekeza vyema ktk soka, na bado naamni itazidi kupanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo mpumbavu mkomavu ni wewe bila shaka
 
Ni Mpumbavu Mkomavu tu pekee ndiyo atajiaminisha na Kujidanganya huku akijipa Matumaini mbele ya Klabu Kubwa, Bingwa na Bora Afrika Al Ahly ambayo Thamani tu ya Wachezaji wake Wanne ni Thamani ya Klabu nzima ya Simba SC ambayo hadi leo hii Mohammed Dewji ' Mo ' hajaiweka katika Mfumo wa Uwekezaji kama alivyotakiwa katika Mchakato mzima.

UMEMFAHAMU MPUMBAVU KATI YAKO NA UNAYEDHANI KUWA NI MPUMBAVU?

Brother uwe unaweka akiba ua maneno.
 
Jipige kifuani mara tatu kisha sema kwa sauti kubwa MIMI NI ZEZETA WA MWISHO.
 
Juzi nilisema Simba ya sasa hivi sio Ile mlioizoea.
na level za Simba sasa hivi yanga hafiki hata robo.
angalia as vita tuliwapiga goli moja bila kwao.
Leo wameahinda goli 4 ugenini.

yanga MNATAKIWA mkubali Simba sio level yenu.
Usisahau kuwasindikiza wageni wetu [emoji19][emoji19][emoji19]
 
Kila mchezaji anayeifunga Simba.
Simba ujitahidi kumsajili.
Japo uwa mnawacheka Simba.
Mmeona faida ya KUSAJILI WACHEZAJI wanaokufunga?
 
Vp mkuu, unaweza kuwaleta kina Muller na Lewandosk wacheze na msimbazi?
 
Ulisema ukiwa mkubwa unataka kuwa kama mimi ila mapema tu umeanza kuwa kama airene

Mikogo mingi mwanaume unachamba, hapa nafikiria nikununulie shela la kanga
Anza Kumnunulia Dera Kwanza aliyepandikiza Mbegu ya Wewe kuja Duniani hivyo na ukimaliza nae ndipo uje Kwangu sasa sawa? Idiot!!!
 
TAKO MBWATAMBWATA mmepata advantage mbili.....bila mashabiki CONGO na kuwa na mashabiki DAR.......sasa jiandaeni kwa hali yoyote WAPUMBAVU NYIE.
 

Kaa kimya na ufunge bakuli lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…