Tukiwa tunasema Kanisa Katoliki ndiyo Alama rasmi ya Ukristo Tanzania na Duniani muwe mnatuelewa tafadhali

Hilo ni kitabu Muongozo chenu kinase a hivyo. Wewe unakataaje.
 
Kanisa ni moja tu. TAKATIFU, KATOLIKI LA MITUME
Ndio ulicho karirishwa huna point..brainwashed creature..endelea kuabudu upagani wa waroma na mapokeo ya mizimu yao kwa jina la watakatifu..hakuna wokovu huko.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hiki kitabu aliandika Yesu au binadamu kama wewe? Hivi nikikuletea kitabu alichoandika sheikh Ponda what do you expect to read in.
Kitabu kimeandikwa na wa katoliki wenzako unao waabudu walioko Roma. Na Papa akadondoka masignature. Tatizo mna uoga wa ukweli ndio shida yenu. Ingia library zenu usome Acha uvivu. Ukweli utakuweka huru.
 
1.

Kanisa haliabudu sanamu. Wakristo wa kwanza walikuwa wanasali sunday. Hakuna anayeabudu watakatifu. embu ingia ata google basi uondoe ujinga kidogo kwenye source za maana.
Ukishahadithiwa nenda kakae library zenu usome. Msiwe kama watoto wa Mudy maana wao ndo Wanapenda kuhadithiwa zaidi. Siku mliibadili nyingi miaka 300plus huko mbele na mmeandika wenyewe kwa ajili ya wakatoliki wote ulimwenguni kama Muongozo. Sema wavivu wa kusoma hiyo ndo shida ya mtu mweusi.....kaa usome na ufungue huo ubongo usibaki kwenye box moja tu. Get out of Matrix!!!
 
mleta mada tuliza akili, umeweka title kama wamiliki wa account za youtube wakitafute views. Sentensi ni ya kawaida na moja ya kiini ni "nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao".

Hakika ziko ishara kwa wanaotafakari. Tambua hili.
 
Ndo nini sasa hicho umeandika?
Sikiliza wewe msabato au whatever you are. Acha kubebebeshwa conspiracy na mawakala wa shetani. The father of lies. Yani hicho ki app ulichoscreenshot sio Catechism kwanzia spelling mpaka content. Yani catechism ya kina Hellen G White. Hivi unaijua catechism sawasawa? suala la kuabudu siku ya kwanza ya juma yani sunday lilianza wakati wa Yesu soma Luka 24:51, Yesu alifufuka on sunday, alipaa on sunday, na alikuwa anatokea siku ya kwanza ya juma. Wakristo wa kwanza wote walikuwa wanasali jumapili. Sabato ya wayahudi inaheshimiwa lakini Yesu aliitengua. Msijichanganye. Wakristo wote misa yani breaking of bread walivokuwa wanaita zama hizo ambayo ndio kanisa kila jumapili wanafanya ilikuwa inafanyika hivo. Na sio council gani sijui umetoa wapi huo uzushi eti ndio iliyobadilisha siku. Soma acha uvivu alafu soma ukiwa huna bias yoyote kwenye source credible. Sio unasoma mambo ya Kanisa katoliki kwa wasabato alafu unategemea waandike nini? Wakati waasisi wao tu ni waongo.
 
Ukiona adui anakusifia jitafakari
 
Ndo maana nakwambia wewe ni mvivu wa kusoma. Eti Yesu aliibadili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "Yeye Alisema atayezishika Amri zangu" na moja wapo ni kuishika siku ya sabato... Ukitaka kubadili hiyo siku mwambie Mungu aumbe upya Dunia.
Halafu eti waita kikaratasi... [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23] Ndo maana nakwambia usiwe mvivu kama watoto wa Mudy.... Nenda kasome VITABU VYENU mlivyoandikiwa na makadinali wenu na vikasainiwa na Papa wenu huyo ambae mna sema ndo kaachiwa funguo duniani[emoji23][emoji23][emoji23] usikae na uoga wa kujua ukweli. Toka kwenye box kijana. Kasome tena matendo ya mitume yoooote uone lini walisali J2???? Akina petro na wenzake....kamsome Paul pia uone lini alisali J2. Na pia nipe kifungu ambao Yesu Alisema kuanzia Sasa nimebadili siku ya sabato....kitabu chenu kiko wazi kuwa mliibadili nyie miaka 300 later.... Na kama ulikuwa hujui ndo ujue. Usiwe mvivu
 
Lini Papa aliunga mkono mashoga? Au wewe ni shoga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…