Wakatoliki ni wabinafsi sana.
Unajua Nchi Zenye maendeleo makubwa kabisa duniani wala hawana hayo mambo ya ukatoliki. Korea ,Japan,China, Urusi, Uingereza, Ujerumani,Sweden ,Denmark,Irani, Pakistani, Indonesia, Uswiss, Israel,Marekani, Canada n.k. wengi wao sio wa dini hiyo. Na kwa sasa ule ukatoliki wa Zamani unapungua mana wanaanza kujua ukweli kuwa kuna ukengeufu mkubwa kwenye Kanisa hilo lililojaa watu hatari kwa usalama wa duniani chini ya mgongo wa dini.
Tanzania ina wasomi wengi wa kikatoliki lakini ni watu wabinafsi wasiojali maendeleo ya jamii zaidi ya familia zao tu na kuhakilisha Wazungu kule Vatikani wanaishi kama peponi huku waafrika wenzao wakiishi kama mashetani na kuendekeza ulevi na uzinzi basi. Maisha yanaishia hapo kwa sababu hawaamini katika ulimwengu ujao kama alivyofundisha Yesu na Manabii wengine.
Kwa hiyo suala la dini lisiwe ni sababu ya kudharau wengine.
Nilisoma na wakatoliki wengi sana. Wengi walikua wanafaulu mitihani kwa wizi wa mitihani na wakati huo walikua hata hawasomi sana zaidi ya kuwa na ihakika wa kupata mitihani wiki moja kabla ya mitihani.
Wengi baba zao walikua kwenye Idara mbalimbali na walikua na uwezo wa kupata mitihani kirahisi sana. Hali hiyo iliendelea kwa muda mrefu sana. Wengi wa wasomi wale wa wizi wa mitihani Leo ndio wanaonekana ni wasomi mana waliweza kupenye mpaka elimu ya juu. Na wengine baba zao walikua wanauwezo wa kununua mpaka nafasi za watoto wa maskini.
Wale wa madhehebu Mengine hasa Walokole walikua wanakatazwa kata kata kuiba mitihani mana ni dhambi. Hali hiyo ilisababisha Wakatoliki wawe wanaonekana kuwa wanafanya vizuri na kwendelea na masomo ya elimu ya juu lakini kiuhalisia ulikua ni wizi wa mitihani.
Hebu jiulize kama Nchi ingekua na Sheria ya kukataza pombe wale wafanyabiashara waliojaza mabaa kila kona ya miji na magesti ya uzinzi wa walevi wangefanya biashara gani! Wangeweza kushindana waislam kwenye maisha au walokole wanaoishi maisha yao halisi kwa kumhofia Mungu.
Hao intellectuals sasa nadhani umeona ni feki sio kama unavyodanganywa!!
Sent from my TECNO L8 Lite using
JamiiForums mobile app