Tukiweka pembeni ufia Dini kwanini makanisani kuna walinzi na viongozi wa dini wana walinzi lakini sisi waumini tunaambiwa malaika watatulinda?

Tukiweka pembeni ufia Dini kwanini makanisani kuna walinzi na viongozi wa dini wana walinzi lakini sisi waumini tunaambiwa malaika watatulinda?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Makanisani yote makubwa ya mjini yana walinzi na mageti ukienda kwa watumishi (manabii,Mitume)
wana bodyguard zaidi ya 4 na wanawalipa kabisa.Imefikia wakati hata akiwa anahubiri huko madhabahuni ana walinzi.Angalia ibada za Geodav na kiboko ya wachawi.

Zaidi ya yote ukifika kwenye familia zao licha ya kuwa na Cctiv camera,walinz,i mbwa wa kali wa kizungu bado anakuwa na fensi ya umeme!!

Huku sisi hata mbwa koko hatuna tuna amini tunalindwa na Mungu na malaika zake kwanini hawa watumishi wasilindwe na malaika vilevile kama sisi?

Pale MADINA(makka) wanaponenda kuhiji waislamu panalindwa na bunduki ulinzi ni mkali masaa24 ni zaidi ya ikulu wala hakuna ubishi.Ina maana mwenyezi Mungu hatoshi kupalinda pale hadi serikali iweke bajeti kubwa kwa ajiri ya kuparinda pale?

Ebu tujiulize wao hawapendi kulindwa na malaika?
Au malaika ni dhaifu sana kuliko mbwa na bodyguard?

Kwanini makanisani tusisali na kuomba kuwa haya makanisa yalindwe na malaika na kuepusha michango kwa ajiri ya kulipa walinzi?

Je kuna sababu zozote za msingi hasa kimaandiko zinazo weza kutetea hili?


View: https://www.facebook.com/permalink.php?id=1034459669967235&story_fbid=3860610510685456
 
Maarifa na akili
IMG_0622.jpeg
 
Geodevie ndio alianzisha tight security kama rais japo kakobe alikuwa na ulinzi mkubwa pale kwenye mageti ya kanisa lake mwenge. Wengine nao wakaiga mbwembwe za ulinzi. Kakobe ilikuwa akienda congo analindwa na wanajeshi kama rais. Hawa walinzi wa wahubiri kasoro yao hawana silaha za kuonekana kwa macho ila wachunguji wengine kama kina gwajima wana bastola wale. Sasa kama wachungaji, mitume na manabii wanajilinda kimwili sisi waumini tufanyaje?
 
Kama viongozi wa dini wangekua na mtindo wa maisha kama huyu padre hata nusu tu au robo tusingekuwa tunaongea hivi.
Huyu padre mission alizo zianzisha na anazo simamia lugha rahisi ya kumuita ni tajiri, ila ana uishi ufukara kwa unyenyekevu mkubwa.
Screenshot_20250218-105539_Google Go.jpg
 
Kama viongozi wa dini wangekua na mtindo wa maisha kama huyu padre hata nusu tu au robo tusingekuwa tunaongea hivi.
Huyu padre mission alizo zianzisha na anazo simamia lugha rahisi ya kumuita ni tajiri, ila ana uishi ufukara kwa unyenyekevu mkubwa.
View attachment 3240298
Romani catholic Askofu au padre halindwi hata na mgambo. hata ukienda kwao hasa hizi parokia za vijijini hakuna walinzi kabisa amani amani tu.


Huu ndo ukristo wenyewe
 
Makanisani yote makubwa ya mjini yana walinzi na mageti ukienda kwa watumishi (manabii,Mitume)
wana bodyguard zaidi ya 4 na wanawalipa kabisa.Imefikia wakati hata akiwa anahubiri huko madhabahuni ana walinzi.Angalia ibada za Geodav na kiboko ya wachawi.

Zaidi ya yote ukifika kwenye familia zao licha ya kuwa na Cctiv camera,walinz,i mbwa wa kali wa kizungu bado anakuwa na fensi ya umeme!!

Huku sisi hata mbwa koko hatuna tuna amini tunalindwa na Mungu na malaika zake kwanini hawa watumishi wasilindwe na malaika vilevile kama sisi?

Pale MADINA(makka) wanaponenda kuhiji waislamu panalindwa na bunduki ulinzi ni mkali masaa24 ni zaidi ya ikulu wala hakuna ubishi.Ina maana mwenyezi Mungu hatoshi kupalinda pale hadi serikali iweke bajeti kubwa kwa ajiri ya kuparinda pale?

Ebu tujiulize wao hawapendi kulindwa na malaika?
Au malaika ni dhaifu sana kuliko mbwa na bodyguard?

Kwanini makanisani tusisali na kuomba kuwa haya makanisa yalindwe na malaika na kuepusha michango kwa ajiri ya kulipa walinzi?

Je kuna sababu zozote za msingi hasa kimaandiko zinazo weza kutetea hili?


View: https://www.facebook.com/permalink.php?id=1034459669967235&story_fbid=3860610510685456

Malaika watakulinda kiroho, waianzi watakulinda kinwili, akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Back
Top Bottom