KERATO MOMBAA
Senior Member
- Feb 4, 2025
- 161
- 227
KUNA UMHM WA KUSOMA BIBLIA.. KAA UKIJUA SISI WAKRISTO TU WAFUASI WA YESU.Ni mfumo tu wa Mungu, hata huko Mbinguni kwa Mungu Mkuu kuna walinzi wanaomlinda Muumba wa vyote, ila hao walinzi wenyewe hawana ulinzi wa moja kwa moja.
petro alivyoona upuuz umezd alimkat mtu sikio, yesu akasikitika sana
kitendo cha yesu kukataa ile tabia, alimanisha kuwa huo ulinzi haufai.
HATA HVO BIBLIA INASEMA TOKEA ZAMANI KULIKUWEPO NA WALINZI WA KIMWILI WA NYUMBA YA NYUMBA.