Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #81
Hakuna mahali popote kwenye andiko hili nimesema watumishi sisi wametuzuia.Hoja yangu ni kwamba kwanini wao walindwe ili hali sisi wanatuambia tutalindwa na malaika?Unasema watumishi wanalindwa na bodyguards kwani wew umezuiwa kuwa na bodyguards?
Ni kweli usemayo hata wewe unapaswa umuombe mungu riziki na uache kufanya kazi urelax tuMakanisani yote makubwa ya mjini yana walinzi na mageti ukienda kwa watumishi (manabii,Mitume)
wana bodyguard zaidi ya 4 na wanawalipa kabisa.Imefikia wakati hata akiwa anahubiri huko madhabahuni ana walinzi.Angalia ibada za Geodav na kiboko ya wachawi.
Zaidi ya yote ukifika kwenye familia zao licha ya kuwa na Cctiv camera,walinz,i mbwa wa kali wa kizungu bado anakuwa na fensi ya umeme!!
Huku sisi hata mbwa koko hatuna tuna amini tunalindwa na Mungu na malaika zake kwanini hawa watumishi wasilindwe na malaika vilevile kama sisi?
Pale MADINA(makka) wanaponenda kuhiji waislamu panalindwa na bunduki ulinzi ni mkali masaa24 ni zaidi ya ikulu wala hakuna ubishi.Ina maana mwenyezi Mungu hatoshi kupalinda pale hadi serikali iweke bajeti kubwa kwa ajiri ya kuparinda pale?
Ebu tujiulize wao hawapendi kulindwa na malaika?
Au malaika ni dhaifu sana kuliko mbwa na bodyguard?
Kwanini makanisani tusisali na kuomba kuwa haya makanisa yalindwe na malaika na kuepusha michango kwa ajiri ya kulipa walinzi?
Je kuna sababu zozote za msingi hasa kimaandiko zinazo weza kutetea hili?
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/permalink.php?id=1034459669967235&story_fbid=3860610510685456
HeheheNi walaghai na hawapaswi kusikilizwa.
Maandiko yanasema "Fanya kazi siku sita" Hakuna andiko lisemalo u relax halipo.Paulo alienda mbali zaidi kwa kusema "Asiye fanya kazi na asile" maana yake afe kabisa. Ipi hoja yako mkuu?Ni kweli usemayo hata wewe unapaswa umuombe mungu riziki na uache kufanya kazi urelax tu
Paulo!!! Paulo ndo naniMaandiko yanasema "Fanya kazi siku sita" Hakuna andiko lisemalo u relax halipo.Paulo alienda mbali zaidi kwa kusema "Asiye fanya kazi na asile" maana yake afe kabisa. Ipi hoja yako mkuu?
Hoja yako ni ipi? Mungu kasema fanya kazi siku sita hajawahi sema u relax tu.Paulo!!! Paulo ndo nani
SawaHoja yako ni ipi? Mungu kasema fanya kazi siku sita hajawahi sema u relax tu.
Paulo ni mtume wa yesu aliyenadika nyaraka nyingi zaidi kuliko mtume yeyote yule!!
waraka wa paulo kwa waefeso 1:1
Kutoka kwa Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu. Kwa watu wa Mungu walio waaminifu kwa Kristo Yesu. 2 Nawa takieni neema ya Mungu na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo. 3 Asifiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ametu bariki sisi kwa kila baraka za kiroho zitokazo mbinguni tukiwa ndani ya Kristo
Ukristo upi haufanyi biashara?Usichanganye Ukristo na wafanyabiashara wa Ukristo.
Ni hakika wote wajiitao manabii sijui mitume wote ni wafanyabiashara ndio maana wana ukwasi na hofu nyingi kiasi cha kulindwa
Mmarekani ndio Bin Adam wa kwanza kuweka unyayo wake Mwezini.Makanisani yote makubwa ya mjini yana walinzi na mageti ukienda kwa watumishi (manabii,Mitume)
wana bodyguard zaidi ya 4 na wanawalipa kabisa.Imefikia wakati hata akiwa anahubiri huko madhabahuni ana walinzi.Angalia ibada za Geodav na kiboko ya wachawi.
Zaidi ya yote ukifika kwenye familia zao licha ya kuwa na Cctiv camera,walinz,i mbwa wa kali wa kizungu bado anakuwa na fensi ya umeme!!
Huku sisi hata mbwa koko hatuna tuna amini tunalindwa na Mungu na malaika zake kwanini hawa watumishi wasilindwe na malaika vilevile kama sisi?
Pale MADINA(makka) wanaponenda kuhiji waislamu panalindwa na bunduki ulinzi ni mkali masaa24 ni zaidi ya ikulu wala hakuna ubishi.Ina maana mwenyezi Mungu hatoshi kupalinda pale hadi serikali iweke bajeti kubwa kwa ajiri ya kuparinda pale?
Ebu tujiulize wao hawapendi kulindwa na malaika?
Au malaika ni dhaifu sana kuliko mbwa na bodyguard?
Kwanini makanisani tusisali na kuomba kuwa haya makanisa yalindwe na malaika na kuepusha michango kwa ajiri ya kulipa walinzi?
Je kuna sababu zozote za msingi hasa kimaandiko zinazo weza kutetea hili?
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/permalink.php?id=1034459669967235&story_fbid=3860610510685456
Nikweli.Mmarekani ndio Bin Adam wa kwanza kuweka unyayo wake Mwezini.
Viapo vya ufukara useja na utii ni viapo vya mapadre huapa na kuazimia kuviishi.Kiapo cha ufukara
Padre, mwalimu , mwanzilishi wa shule kadhaa.Ndo nani na yupo nchi gani na anafanya nini?
Kweli kabisa ingawa si wote kwa kweli.Romani catholic Askofu au padre halindwi hata na mgambo. hata ukienda kwao hasa hizi parokia za vijijini hakuna walinzi kabisa amani amani tu.
Huu ndo ukristo wenyewe
Wewe ni kanisa gani ndugu?Na kiongozi wako mwenye ulizi ni yupi?Na mara ngapi waumini mmeambiwa mtalindwa na malaika?Makanisani yote makubwa ya mjini yana walinzi na mageti ukienda kwa watumishi (manabii,Mitume)
wana bodyguard zaidi ya 4 na wanawalipa kabisa.Imefikia wakati hata akiwa anahubiri huko madhabahuni ana walinzi.Angalia ibada za Geodav na kiboko ya wachawi.
Zaidi ya yote ukifika kwenye familia zao licha ya kuwa na Cctiv camera,walinz,i mbwa wa kali wa kizungu bado anakuwa na fensi ya umeme!!
Huku sisi hata mbwa koko hatuna tuna amini tunalindwa na Mungu na malaika zake kwanini hawa watumishi wasilindwe na malaika vilevile kama sisi?
Pale MADINA(makka) wanaponenda kuhiji waislamu panalindwa na bunduki ulinzi ni mkali masaa24 ni zaidi ya ikulu wala hakuna ubishi.Ina maana mwenyezi Mungu hatoshi kupalinda pale hadi serikali iweke bajeti kubwa kwa ajiri ya kuparinda pale?
Ebu tujiulize wao hawapendi kulindwa na malaika?
Au malaika ni dhaifu sana kuliko mbwa na bodyguard?
Kwanini makanisani tusisali na kuomba kuwa haya makanisa yalindwe na malaika na kuepusha michango kwa ajiri ya kulipa walinzi?
Je kuna sababu zozote za msingi hasa kimaandiko zinazo weza kutetea hili?
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/permalink.php?id=1034459669967235&story_fbid=3860610510685456
Hayo ni maneno yako au ya nani mini me
Matapeli na mafisadi wa dini hawawezi lindwa na ROHO MTAKATIFU, ndyo maan lazima walindwe na mabaunsa (nguvu ya ki-ulimwengu)Makanisani yote makubwa ya mjini yana walinzi na mageti ukienda kwa watumishi (manabii,Mitume)
wana bodyguard zaidi ya 4 na wanawalipa kabisa.Imefikia wakati hata akiwa anahubiri huko madhabahuni ana walinzi.Angalia ibada za Geodav na kiboko ya wachawi.
Zaidi ya yote ukifika kwenye familia zao licha ya kuwa na Cctiv camera,walinz,i mbwa wa kali wa kizungu bado anakuwa na fensi ya umeme!!
Huku sisi hata mbwa koko hatuna tuna amini tunalindwa na Mungu na malaika zake kwanini hawa watumishi wasilindwe na malaika vilevile kama sisi?
Pale MADINA(makka) wanaponenda kuhiji waislamu panalindwa na bunduki ulinzi ni mkali masaa24 ni zaidi ya ikulu wala hakuna ubishi.Ina maana mwenyezi Mungu hatoshi kupalinda pale hadi serikali iweke bajeti kubwa kwa ajiri ya kuparinda pale?
Ebu tujiulize wao hawapendi kulindwa na malaika?
Au malaika ni dhaifu sana kuliko mbwa na bodyguard?
Kwanini makanisani tusisali na kuomba kuwa haya makanisa yalindwe na malaika na kuepusha michango kwa ajiri ya kulipa walinzi?
Je kuna sababu zozote za msingi hasa kimaandiko zinazo weza kutetea hili?
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/permalink.php?id=1034459669967235&story_fbid=3860610510685456
Kobazi mpaka huwa wanampigania Mungu wao kama vile yeye hana nguvuNi walaghai na hawapaswi kusikilizwa.