Tukiweza kutenganisha Serikali na Chama ndipo Nchi itakaa sawa na mambo ya hovyo ikiwemo mauaji yatakoma

Tukiweza kutenganisha Serikali na Chama ndipo Nchi itakaa sawa na mambo ya hovyo ikiwemo mauaji yatakoma

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Tuliosoma vyuo vikuu tuliona. Vijana waliokuwa UVCCM ndo wengi wao walikuja kuajiriwa Serikalini na kuingizwa kwenye vyombo vya dola ikiwemo usalama wa Taifa.

Mimi niliosoma nao waliokuwa mstari wa mbele huko UVCCM wengi saivi ndo Watendaji Wakuu katika taasisi mbalimbali za Serikali na wana vyeo vikubwa ikiwemo DAS, DED, KM, NKM, CEOs katika mashirika ya Umma.

Kati ya sehemu ambapo nchi hii ilifeli ni kuendelea na mfumo wa chama kimoja katika kuendesha nchi baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi.

Leo hii CCM na Jumuiya zao ikiwemo UVCCM wanajiona kuwa wao ni sehemu ya Serikali na vyombo vya dola. Wanajiona wanaweza fanya chochote kama Serikali na vyombo vya dola wakati kiuhalisia baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi chama chao kilipaswa kuwa chama tu kinachofanya shughuli za kichama tu!

Madhila tuyapota leo tutaweza kuyakomesha pale tu tutakapoweza kukitenganisha Chama cha Mapinduzi na Serikali na hili litawezekana tu kupitia KATIBA MPYA.

Wenye akili watanielewa

Lord Denning!
 
Kutenganisha chama na serikali haiwezekani na haijawahi kuwezekana, na kama iliwezekana ilifanyika kwa muda na ikafeli.

Na hiyo ni kwasababu wananchi wengi wamezipa nguvu serikali taratibu taratibu mpaka serikali imekuwa all-powerfull. Kitu kidogo tu, serikali inatungia sheria au kuunda taasisi au mamlaka ( Fikiria kuna hadi Bodi ya Nyama na maziwa na sijui tofauti ya kazi yao na TFDA ni nini) . Matokeo yake serikali zimekuwa ni entities kubwa na sasa zinahitaji nguvukazi kwenye hzo taasisi. walio madarakani wanawapa ndugu zao kazi kwenye hizo taasisi and the cycle goes on for generations.

Kiufupi demokrasia kama mfumo wa uongozi umepitwa na wakati. Demokrasia zote zilizokomaa zimegeuka kuwa oligarchies sasa hivi. Kama unabisha nitajie nchi.
 
Kutenganisha chama na siasa haiwezekani na haijawahi kuwezekana, na kama iliwezekana ilifanyika kwa muda na ikafeli.

Na hiyo ni kwasababu wananchi wengi wamezipa nguvu serikali taratibu taratibu mpaka serikali imekuwa all-powerfull. Kitu kidogo tu, serikali inatungia sheria au kuunda taasisi au mamlaka ( Fikiria kuna hadi Bodi ya Nyama na maziwa na sijui tofauti ya kazi yao na TFDA ni nini) . Matokeo yake serikali zimekuwa ni entities kubwa na sasa zinahitaji nguvukazi kwenye hzo taasisi. walio madarakani wanawapa ndugu zao kazi kwenye hizo taasisi and the cycle goes on for generations.

Kiufupi demokrasia kama mfumo wa uongozi umepitwa na wakati. Demokrasia zote zilizokomaa zimegeuka kuwa oligarchies sasa hivi. Kama unabisha nitajie nchi.
Ni chama na Serikali sio Chama na siasa
 
Chama huzaa serikali, unajua hivyo

USSR
Hizo ni akili za kijinga. Bado unaishi kwa akili cha kipindi cha chama kimoja kama ilivyo kwa wana CCM wengi.

Kwenye mifumo ya kidemokrasia ya vyama vingi na utawala bora hakuna kitu kama hicho!

Chama ni chama na Serikali ni Serikali.

Na hakuna sehemu chama kinaweza gusa au ingia kwenye mifumo thabiti ya Serikali
 
Kutenganisha chama na serikali haiwezekani na haijawahi kuwezekana, na kama iliwezekana ilifanyika kwa muda na ikafeli.

Na hiyo ni kwasababu wananchi wengi wamezipa nguvu serikali taratibu taratibu mpaka serikali imekuwa all-powerfull. Kitu kidogo tu, serikali inatungia sheria au kuunda taasisi au mamlaka ( Fikiria kuna hadi Bodi ya Nyama na maziwa na sijui tofauti ya kazi yao na TFDA ni nini) . Matokeo yake serikali zimekuwa ni entities kubwa na sasa zinahitaji nguvukazi kwenye hzo taasisi. walio madarakani wanawapa ndugu zao kazi kwenye hizo taasisi and the cycle goes on for generations.

Kiufupi demokrasia kama mfumo wa uongozi umepitwa na wakati. Demokrasia zote zilizokomaa zimegeuka kuwa oligarchies sasa hivi. Kama unabisha nitajie nchi.
Marekani,
Korea Kusini,
Japan,
Ujerumani,
Finland
Ufaransa
Switzerland
 
Tuliosoma vyuo vikuu tuliona. Vijana waliokuwa UVCCM ndo wengi wao walikuja kuajiriwa Serikalini na kuingizwa kwenye vyombo vya dola ikiwemo usalama wa Taifa.

Mimi niliosoma nao waliokuwa mstari wa mbele huko UVCCM wengi saivi ndo Watendaji Wakuu katika taasisi mbalimbali za Serikali na wana vyeo vikubwa ikiwemo DAS, DED, KM, NKM, CEOs katika mashirika ya Umma.

Kati ya sehemu ambapo nchi hii ilifeli ni kuendelea na mfumo wa chama kimoja katika kuendesha nchi baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi.

Leo hii CCM na Jumuiya zao ikiwemo UVCCM wanajiona kuwa wao ni sehemu ya Serikali na vyombo vya dola. Wanajiona wanaweza fanya chochote kama Serikali na vyombo vya dola wakati kiuhalisia baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi chama chao kilipaswa kuwa chama tu kinachofanya shughuli za kichama tu!

Madhila tuyapota leo tutaweza kuyakomesha pale tu tutakapoweza kukitenganisha Chama cha Mapinduzi na Serikali na hili litawezekana tu kupitia KATIBA MPYA.

Wenye akili watanielewa

Lord Denning!
Hata ufisadi utaisha.....lakini wanufaika watakubali?
 
Tuliosoma vyuo vikuu tuliona. Vijana waliokuwa UVCCM ndo wengi wao walikuja kuajiriwa Serikalini na kuingizwa kwenye vyombo vya dola ikiwemo usalama wa Taifa.

Mimi niliosoma nao waliokuwa mstari wa mbele huko UVCCM wengi saivi ndo Watendaji Wakuu katika taasisi mbalimbali za Serikali na wana vyeo vikubwa ikiwemo DAS, DED, KM, NKM, CEOs katika mashirika ya Umma.

Kati ya sehemu ambapo nchi hii ilifeli ni kuendelea na mfumo wa chama kimoja katika kuendesha nchi baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi.

Leo hii CCM na Jumuiya zao ikiwemo UVCCM wanajiona kuwa wao ni sehemu ya Serikali na vyombo vya dola. Wanajiona wanaweza fanya chochote kama Serikali na vyombo vya dola wakati kiuhalisia baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi chama chao kilipaswa kuwa chama tu kinachofanya shughuli za kichama tu!

Madhila tuyapota leo tutaweza kuyakomesha pale tu tutakapoweza kukitenganisha Chama cha Mapinduzi na Serikali na hili litawezekana tu kupitia KATIBA MPYA.

Wenye akili watanielewa

Lord Denning!
Serikali na chama vimeungana leo?.. palikua na utekaji na mauaji huko nyuma!?..kwanza kutenganisha hivyo viwili unamaanisha nini?
 
Marekani,
Korea Kusini,
Japan,
Ujerumani,
Finland
Ufaransa
Switzerland
Marekani nakukatalia,hata ufaransa,kwingine sijafuatilia sana,marekani angalia habari ya kesi za Trump ni zakisiasa 100% tena siasa yenyewe ina mkono hata wa Ulaya wa kile wanachokiita NATO,wafaransa angalia habari ya tangu uchaguzi wao wa karibuni na kinachoendelea,wengine kama wajerumani wanaenda kwa tahadhari hata sasa ila bado mambo sii shwari kwao.
 
Back
Top Bottom