Sasa wewe mtoto wa nguchiro unaitwaje?Nikisikia habari sijui kisokolokwinyo kinguchiro Kinaitwa wife nawashangaa mnaoaje hawa nguchiro visodokwembe hawa unabutua basi, unaanzaje kuoa Ubaharia mtausikia tu.
Ahahaha una maneno, mpk nimechoka.Nikisikia habari sijui kisokolokwinyo kinguchiro Kinaitwa wife nawashangaa mnaoaje hawa nguchiro visodokwembe hawa unabutua basi, unaanzaje kuoa Ubaharia mtausikia tu.
Toka Lin mtu unaweza heshima Kwa wakwe unaakili kweli we weka heshima kwenu toka Lin mtu akaeshimika ugenini utapewa heshima ya muda Tu pesa zikikata utaisoma namba ndugu zako watakuelewa kuwa huna ela Ila si wakwe wasaidie wakwe Ila Kwa kiasii hauko pale kumfirahisha mtuWatu wana changa michango heavy msibani we unaenda mikono mitupu...mwaga crate 10 za beer hapo na carton 30 - 50 za maji alaf usiseme neno uone.....kama bado msiba una watu wengi agiza kiroba cha sukari na mchele. Wek ndani kwa mkwe hapo....usiongee lolote.
Mangi aje bana wewe. Kwetu uchaggani haya mambo hatuulizwi. Tunatenda Tu [emoji16]
Vyote hivyo haizidi 600K na haiumizi chochote cz ni kama umempa mkeo. Weka Heshima Hapo Acha Uzembe.