Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataisoma na itamuingia kwa uchungu sanaKafiwa na babu we ulienda kufanya nn...siku 3 bila kuoga msiba wa babu yake wife? Akifiwa na baba ake si ndo utakaa mpaka waanue matanga? Kweli mwanaume usipokuwa mwanaume unaliwa na wanaume.
Shida sanaAtaisoma na itamuingia kwa uchungu sana
Sijaona koment ikiuliza ana umri gani
uchokozi kusudi ndio huuAhahaha una maneno, mpk nimechoka.
Kwani umekufa wewe?Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake.ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu,yani wife ni kama hanijui vile,hajui nimekula au sijala,toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo,hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu..ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu,sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu,nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi,atanikuta Town.
Nakazia hapa Iba simu yakeKabla hujaondoka fanya juu chini uibe simu yake bila kujua alafu soma yaliyomo
Kama ni mabinamu kweli....Zamu ya mabinamu kuhudumiwa
Yani namie nimechanganyikiwa kama huyu aliefiwa na babu mkwe 😂😂😂Evelyn Salt umefuta nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unasepa binamu anaitumia mpaka arobaini iishe
Toka Lin mtu unaweza heshima Kwa wakwe unaakili kweli we weka heshima kwenu toka Lin mtu akaeshimika ugenini utapewa heshima ya muda Tu pesa zikikata utaisoma namba ndugu zako watakuelewa kuwa huna ela Ila si wakwe wasaidie wakwe Ila Kwa kiasii hauko pale kumfirahisha mtu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani namie nimechanganyikiwa kama huyu aliefiwa na babu mkwe [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 mmenivuruga nyie waombolezaji hapa hapa msibani kuna mfiwa kuna nguchiro na mtoto wa nguchiro[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unavurugwa na nini mama?