Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

Kafiwa na babu we ulienda kufanya nn...siku 3 bila kuoga msiba wa babu yake wife? Akifiwa na baba ake si ndo utakaa mpaka waanue matanga? Kweli mwanaume usipokuwa mwanaume unaliwa na wanaume.
 
Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake.ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu,yani wife ni kama hanijui vile,hajui nimekula au sijala,toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo,hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu..ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu,sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu,nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi,atanikuta Town.
Kwani umekufa wewe?
 
Toka Lin mtu unaweza heshima Kwa wakwe unaakili kweli we weka heshima kwenu toka Lin mtu akaeshimika ugenini utapewa heshima ya muda Tu pesa zikikata utaisoma namba ndugu zako watakuelewa kuwa huna ela Ila si wakwe wasaidie wakwe Ila Kwa kiasii hauko pale kumfirahisha mtu

Shaur Lako Ndio Nakueleza Sasa.....

Mkono Mtupu Haulambwi. Njoo Uchaggani Uone. Huna Hela Kaa Pembeni. We unadhani wachagga wanavyo komaa mjini kutafuta hela ukajua ni bahati mbaya....

Mchagga Usipokua na Hela Sisi Kwetu Unaonekana Failure / Hujapevuka Bado. So Kaa Kwa Kitulia.
 
Back
Top Bottom