Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jmn mbavu zngu me 😂😂😂😂😂😂Mkuu ulitaka ukose masufuria au ?
Ukabebe majamvi?
Msibani ukiona hutumwi tumwi maana yake wamekuheshimu.
Hahahahaaaanaweza kumwaga chozi watu wakadhani mkwe anamlilia babu kumbe analizwa na comments
Huyo wife wako hana kaka zake au ndugu zake wakiume kama vipi jichanganye na maselaKwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake.ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu,yani wife ni kama hanijui vile,hajui nimekula au sijala,toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo,hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu..ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu,sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu,nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi,atanikuta Town.
Nauli yenyewe hana anataka adandie Lori 🤣🤣🤣🤣🤣Watu wana changa michango heavy msibani we unaenda mikono mitupu...mwaga crate 10 za beer hapo na carton 30 - 50 za maji alaf usiseme neno uone.....kama bado msiba una watu wengi agiza kiroba cha sukari na mchele. Wek ndani kwa mkwe hapo....usiongee lolote.
Mangi aje bana wewe. Kwetu uchaggani haya mambo hatuulizwi. Tunatenda Tu [emoji16]
Vyote hivyo haizidi 600K na haiumizi chochote cz ni kama umempa mkeo. Weka Heshima Hapo Acha Uzembe.
Acha mabinam nao waenjoy [emoji4][emoji4]kama sio ma ex boyfriend [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zamu ya mabinamu kuhudumiwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwamba mwamba akae karibu na wapishi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama huna hela bas chukua hata jembe ukwangue vinyas nyas hapo ukwen
Na mda wa kutumwa uwe unakuwa jiran ili utumwe dukan au hata kuchota maji
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyu anaonekana ni Jobless maana kaenda msibani na anasiku 3, mara adandie sijui fuso atokomee zake huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Inamaana mke angemjali angekaa mwezi masibanihivi babu tu, mkwe anafunga safari....si angempa tu wife nauli na rambirambi.
halafu sijui atakua mkwe kapuku make wakwe hawashtushwi na uwepo wake
arobaini ingemkuta hapo hapo...Huyu anaonekana ni Jobless maana kaenda msibani na anasiku 3, mara adandie sijui fuso atokomee zake huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Inamaana mke angemjali angekaa mwezi masibani
Mm mwenyee nimeshangaa mm cwez kwenda kuzika mababu aende tu mm Bab MKWE tu hao wengine niatawatuma wawakilishiKafiwa na babu we ulienda kufanya nn...siku 3 bila kuoga msiba wa babu yake wife? Akifiwa na baba ake si ndo utakaa mpaka waanue matanga? Kweli mwanaume usipokuwa mwanaume unaliwa na wanaume.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu anaonekana ni Jobless maana kaenda msibani na anasiku 3, mara adandie sijui fuso atokomee zake huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Inamaana mke angemjali angekaa mwezi masibani