Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake.ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu,yani wife ni kama hanijui vile,hajui nimekula au sijala,toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo,hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu..ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu,sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu,nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi,atanikuta Town.
Huyo wife wako hana kaka zake au ndugu zake wakiume kama vipi jichanganye na masela
 
Umemuabisha sana mkeo ndio maana anakufanyia vitimbi labda ushtuke uondoke, dada zake wote wameolewa hakuna hata mmoja mume wake amekuja kwenye msiba wa babu wa wake zao zaidi wametuma tu pesa na wake zao wamewakilisha
sasa wewe mwanaume mzima msiba wa babu wa mke wako unaukalia wiki sasa hapo si hata wakwe wanakudharau na kuona huna shughuli ya maana huko mjini
Na umekuja hapa unalalamika eti hupati huduma nzuri kwa mkeo hapo msibani ina maana bado tu unatamani kuendelea kuwepo hapo msibani??
 
Watu wana changa michango heavy msibani we unaenda mikono mitupu...mwaga crate 10 za beer hapo na carton 30 - 50 za maji alaf usiseme neno uone.....kama bado msiba una watu wengi agiza kiroba cha sukari na mchele. Wek ndani kwa mkwe hapo....usiongee lolote.

Mangi aje bana wewe. Kwetu uchaggani haya mambo hatuulizwi. Tunatenda Tu [emoji16]

Vyote hivyo haizidi 600K na haiumizi chochote cz ni kama umempa mkeo. Weka Heshima Hapo Acha Uzembe.
Nauli yenyewe hana anataka adandie Lori 🤣🤣🤣🤣🤣
 
hivi babu tu, mkwe anafunga safari....si angempa tu wife nauli na rambirambi.
halafu sijui atakua mkwe kapuku make wakwe hawashtushwi na uwepo wake
Huyu anaonekana ni Jobless maana kaenda msibani na anasiku 3, mara adandie sijui fuso atokomee zake huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Inamaana mke angemjali angekaa mwezi masibani
 
Huyu anaonekana ni Jobless maana kaenda msibani na anasiku 3, mara adandie sijui fuso atokomee zake huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Inamaana mke angemjali angekaa mwezi masibani
arobaini ingemkuta hapo hapo...
bora adandie tu hilo lori mkwe aondoke, na wamemstiri ilitakiwa atumwe tumwe kupasua kuni, kuchota maji....
 
Huyu anaonekana ni Jobless maana kaenda msibani na anasiku 3, mara adandie sijui fuso atokomee zake huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Inamaana mke angemjali angekaa mwezi masibani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom