ozone layer
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 471
- 1,935
Mkuu hela sio kila kitu maishani, ila hela huleta kila kitu. Kwa kifupi demu anakuonea aibu sababu huna kitu ilihal wenzie wamekuja na waume zao wa kiume (hope umenielewa).
Piga chini kei katafute hela kwanza ukizipata rudi kitaa oa new version na huyo demu abaki wa kuwa unachapa na kumnanga.
#Hasira zaidi ya mkizi#
Piga chini kei katafute hela kwanza ukizipata rudi kitaa oa new version na huyo demu abaki wa kuwa unachapa na kumnanga.
#Hasira zaidi ya mkizi#