Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,920
- 8,675
WAOAJI wengi mnalia lia sanaaaa siku hizi,,, na nikisema Acheni KUOA,,, mnaniona Kenge.
Inaonekana wanaume sasa wameanza tabia za kudeka deka,, mnataka mambo ya kike,, mtu yuko msibani bado unataka akupetipeti,,, ili iweje.!?? Badala wewe ndio uwe nae karibu vile yeye ndio kafiwa. Dume zima unataka mfiwa akuhudumie...
Be a man,,, fanya kilicho kupeleka,,achana na yasiyokuhusu ya wife na binamu zake....
BUT ukiona mara nyingi una hisia kuwa mabinamu wanakula wife,, basi 90% huwa ni kweli...Zika Ondoka nae
Inaonekana wanaume sasa wameanza tabia za kudeka deka,, mnataka mambo ya kike,, mtu yuko msibani bado unataka akupetipeti,,, ili iweje.!?? Badala wewe ndio uwe nae karibu vile yeye ndio kafiwa. Dume zima unataka mfiwa akuhudumie...
Be a man,,, fanya kilicho kupeleka,,achana na yasiyokuhusu ya wife na binamu zake....
BUT ukiona mara nyingi una hisia kuwa mabinamu wanakula wife,, basi 90% huwa ni kweli...Zika Ondoka nae