yusuf57
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 322
- 665
Sema kazingua sana, msibani kwa babu wa mkewe anakaa mda wote huo. Kama nimesoma vzuri hapo anahesabu siku tatu mbele ndo mazishi, si atakaa mpaka arobaini [emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kazingua sana, msibani kwa babu wa mkewe anakaa mda wote huo. Kama nimesoma vzuri hapo anahesabu siku tatu mbele ndo mazishi, si atakaa mpaka arobaini [emoji1]
wazee wa pangu pakavu haoTuanzie hapo
Afu hajaoga,ukurutu unamuhusu safari hiiSema kazingua sana, msibani kwa babu wa mkewe anakaa mda wote huo. Kama nimesoma vzuri hapo anahesabu siku tatu mbele ndo mazishi, si atakaa mpaka arobaini [emoji1]
Nachofurahi mama yako shangazi na dada zako wako kwenye hili kundi la visodokwembeNikisikia habari sijui kisokolokwinyo kinguchiro Kinaitwa wife nawashangaa mnaoaje hawa nguchiro visodokwembe hawa unabutua basi, unaanzaje kuoa Ubaharia mtausikia tu.
Kuna mwamba kauliza una uhakika Ni mkeo huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila ushauri wa humu unatia kichwa moto
Huwa unamtia vizuri?
Yupo na Ma-Ex wake wanaomkojoza
Unasepa binamu anaitumia mpaka arobaini iishe
Zamu ya mabinamu kuhudumiwa
[emoji23][emoji23][emoji23]
hao hawapo huko, na kuna hao vishantompa ndio usipime ni kama huyo nke wa mleta Mada, habari ja muhi ?Nachofurahi mama yako shangazi na dada zako wako kwenye hili kundi la visodokwembe
Halafu na bado wachaga mnagongewa kinona.Watu wana changa michango heavy msibani we unaenda mikono mitupu...mwaga crate 10 za beer hapo na carton 30 - 50 za maji alaf usiseme neno uone.....kama bado msiba una watu wengi agiza kiroba cha sukari na mchele. Wek ndani kwa mkwe hapo....usiongee lolote.
Mangi aje bana wewe. Kwetu uchaggani haya mambo hatuulizwi. Tunatenda Tu [emoji16]
Vyote hivyo haizidi 600K na haiumizi chochote cz ni kama umempa mkeo. Weka Heshima Hapo Acha Uzembe.
Visodokwembe,vinguchiro,visokolokwinyo!Khaaaaa hatari 🤣Nikisikia habari sijui kisokolokwinyo kinguchiro Kinaitwa wife nawashangaa mnaoaje hawa nguchiro visodokwembe hawa unabutua basi, unaanzaje kuoa Ubaharia mtausikia tu.
Jmn ila wanawake wamekutwa na nn jmn,mbona siwaelewi?Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo, hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu.
Ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu, sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu, nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi, atanikuta Town.
Mkuu Pole, matumaini hutafanya mamuuz magumu.....Tumezika salama,nishadandia ndinga narudi town
Wife umemuaga?Tumezika salama,nishadandia ndinga narudi town
Yaan Kuna mtu atazuiwa kwenda misibani[emoji23][emoji23][emoji23]ila ushauri wa humu unatia kichwa moto
Huwa unamtia vizuri?
Yupo na Ma-Ex wake wanaomkojoza
Unasepa binamu anaitumia mpaka arobaini iishe
Zamu ya mabinamu kuhudumiwa
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu itakua ana 30-35Ataisoma na itamuingia kwa uchungu sana
Sijaona koment ikiuliza ana umri gani
Na aamke asubuhi avunje kuniKama huna hela bas chukua hata jembe ukwangue vinyas nyas hapo ukwen
Na mda wa kutumwa uwe unakuwa jiran ili utumwe dukan au hata kuchota maji
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hata Cha mkopo tuuuNimepanga kesho wakishazika tu,nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi,atanikuta Town.
Tatizo limeanzia hapo kwenye ukitaka kuondoka "utadandia roli la mnadani".
Nunua hata ki-passo cha kuzugia mkuu[emoji3][emoji3]
[emoji2957]Una uhakika ni mkeo huyo?