Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

Huyo wife wako hana kaka zake au ndugu zake wakiume kama vipi jichanganye na masela

Kama hajapewa heshima yake na kupelekewa hata maji basi huyu ana shida mahali
Kama hata wakwe hawamjali au mke kamtambulisha kama dereva wake wa Boda [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwema wazee?

Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo, hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu.

Ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu, sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.

Nimepanga kesho wakishazika tu, nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi, atanikuta Town.
Ni wapi huko? Madaba Songea?
 
Ana matatizo huyu jamaa ukweni hawamtambui, ukute hajatoa mahari
Yani mtu anasema anadandia Roli[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Nyie tutafute hela huo msiba ukute hajachanga hata 100 au katoa kihela mbuzi lazima mkewe amjali ex alietoa zaidi
 
Kwema wazee?

Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo, hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu.

Ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu, sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.

Nimepanga kesho wakishazika tu, nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi, atanikuta Town.
Uko sahihi. Sepa akukute kwenu. Kama ana swali akaulize mkiwa wawili.

Hapa ndo naelewa kumbe mke wangu ni bora.
 
Pia inawezekana hasaidii ukweni yupo yupo tu hadi wanamsahau kama ana exist

Too bad
Anahuzunisha kwa kweli
Kuna binadamu huwa hawajui makosa yao
Sasa hapo anamshangaa mke wake utafikiri yuko kwenye kilio asichokijua

Yaani hata mtu wa kukaa nae
Kweli kuna shida hapo
Hamna ndoa hapo
 
Too bad
Anahuzunisha kwa kweli
Kuna binadamu huwa hawajui makosa yao
Sasa hapo anamshangaa mke wake utafikiri yuko kwenye kilio asichokijua

Yaani hata mtu wa kukaa nae
Kweli kuna shida hapo
Hamna ndoa hapo
Kuna tatizo kubwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ila ushauri wa humu unatia kichwa moto

Huwa unamtia vizuri?

Yupo na Ma-Ex wake wanaomkojoza

Unasepa binamu anaitumia mpaka arobaini iishe

Zamu ya mabinamu kuhudumiwa

[emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Halafu na bado wachaga mnagongewa kinona.

Hamna Kitu Kama Hicho....Kugongewa haina silika ya ukabila or jamii flani. Mtu yeyote boya aliye mlegevu au huenda ana kasoro flani kugongewa ni lazima. Its can be chaggas, haya, zaramo, kwere, sambaa, digo, sukuma, kurya or anybody.

Swala hapa kama wakiume lazima uonyeshe uanaume katika ku provide kwa jamii yako.
 
Back
Top Bottom