Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mtoa mada anajuta huko uliko[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Na JF ninge delete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada anajuta huko uliko[emoji23][emoji23]
Huyo wife wako hana kaka zake au ndugu zake wakiume kama vipi jichanganye na masela
Ni wapi huko? Madaba Songea?Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo, hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu.
Ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu, sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu, nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi, atanikuta Town.
Ana matatizo huyu jamaa ukweni hawamtambui, ukute hajatoa mahariKama hajapewa heshima yake na kupelekewa hata maji basi huyu ana shida mahali
Kama hata wakwe hawamjali au mke kamtambulisha kama dereva wake wa Boda [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani mtu anasema anadandia Roli[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Nyie tutafute hela huo msiba ukute hajachanga hata 100 au katoa kihela mbuzi lazima mkewe amjali ex alietoa zaidiAna matatizo huyu jamaa ukweni hawamtambui, ukute hajatoa mahari
Unaweza jikuta unagairisha kuomba ushauri sababu unajua comment zitakazoshushwaKuna mwamba kauliza una uhakika Ni mkeo huyo[emoji23][emoji23]
😂😂😂Yaan Kuna mtu atazuiwa kwenda misibani
Uko sahihi. Sepa akukute kwenu. Kama ana swali akaulize mkiwa wawili.Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo, hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu.
Ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu, sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu, nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi, atanikuta Town.
Ana matatizo huyu jamaa ukweni hawamtambui, ukute hajatoa mahari
Pia inawezekana hasaidii ukweni yupo yupo tu hadi wanamsahau kama ana existKwa hiyo ana madeni duuuu [emoji23][emoji23]
Pia inawezekana hasaidii ukweni yupo yupo tu hadi wanamsahau kama ana exist
Kuna tatizo kubwaToo bad
Anahuzunisha kwa kweli
Kuna binadamu huwa hawajui makosa yao
Sasa hapo anamshangaa mke wake utafikiri yuko kwenye kilio asichokijua
Yaani hata mtu wa kukaa nae
Kweli kuna shida hapo
Hamna ndoa hapo
Kuna tatizo kubwa
[emoji1][emoji1] unataka kila mtu abutue kwa experience ya mama ako alivyobutuliwa ukapatikana[emoji1][emoji1]Nikisikia habari sijui kisokolokwinyo kinguchiro Kinaitwa wife nawashangaa mnaoaje hawa nguchiro visodokwembe hawa unabutua basi, unaanzaje kuoa Ubaharia mtausikia tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]ila ushauri wa humu unatia kichwa moto
Huwa unamtia vizuri?
Yupo na Ma-Ex wake wanaomkojoza
Unasepa binamu anaitumia mpaka arobaini iishe
Zamu ya mabinamu kuhudumiwa
[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu na bado wachaga mnagongewa kinona.