Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
aloo hizi koment mbona ni balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimechokoza nyuki kusudi sasa acha nipate nundu, kila mmoja afaidi apendavyo mi nabutua tu na buzza kama sheria, acha tubutuane tu kisha tuendelee na mengine[emoji1][emoji1] unataka kila mtu abutue kwa experience ya mama ako alivyobutuliwa ukapatikana[emoji1][emoji1]
😂😂😂😂😂😂😂😂 we jamaa dahNimeoga mtoni leo mkuu, sijala mpaka sasa hivi.usafiri upo ila sina nauli mkuu,jamaa niliyemkopesha hajanilipa.
Nyie wajita sijui waikizu mna matatizo sana. Msibani mtafutane ili iweje?😡. Huna hata uwezo wa kununua jeneza la kumsitiri babu utambulike ili iweje?Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo, hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu.
Ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu, sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu, nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi, atanikuta Town.
Kwa familia zetu za kiswahili usikute hao kina binamu walikuwaga wanamtomba zamani na ndio walimtoa bikra zote ndio maana anawajali kuliko wewe[emoji1787]Kwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake. Ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu, yaani wife ni kama hanijui vile, hajui nimekula au sijala, toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo, hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu.
Ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu, sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu, nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi, atanikuta Town.
Ushauri mujarabu kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabla hujaondoka fanya juu chini uibe simu yake bila kujua alafu soma yaliyomo
Umeongea kama ukweli flani aisee,ukweli unaouma.Ndoa yenu au mapenzi yenu bado ni machanga/ mwenzako anaona aibu kuwa karibu na wewe huko, labda kutokana na hali ya kiuchumi/muonekano wako; kwa sababu huko binti anakutana na aliokuwa nao toka utotoni, kwa hiyo anaringanisha mpenzi wa fulani yukoje na wake yukoje! Kwa kifupi, huyo sio wa kumtegemea sana, kama una nafasi tafuta mke mwingine
Inategemea kama mashemeji wenyewe mamende akijichanganya tu anapigwa mboo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo wife wako hana kaka zake au ndugu zake wakiume kama vipi jichanganye na masela
[emoji38][emoji38] akisoma atafia msibaniUshauri mujarabu kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh.! Umeoga mtoni.!Nimeoga mtoni leo mkuu, sijala mpaka sasa hivi.usafiri upo ila sina nauli mkuu,jamaa niliyemkopesha hajanilipa.
anaweza kumwaga chozi watu wakadhani mkwe anamlilia babu kumbe analizwa na comments
JF ikindelea na comment za namna hii Kuna siku tutamkuta mtu kajinyonga kwenye kikengere Cha notification hapo juu😂😂😂ila ushauri wa humu unatia kichwa moto
Huwa unamtia vizuri?
Yupo na Ma-Ex wake wanaomkojoza
Unasepa binamu anaitumia mpaka arobaini iishe
Zamu ya mabinamu kuhudumiwa
😂😂😂