Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi wetu wengi hawana MAONO na wana uwezo mdogo mno kiakili.Kumekua na kauli za kubeza watumishi pindi tunapo lalakikia maslahi duni. Wanasiasa wengi na watu binafsi wanekua wakitamka kuwa asiyetaka au anaye ona mshahara haitoshi aache kazi.
Ifahamike kuwa wapo watumishi ambao tuko tayari kuachia nafasi ili na wengine wapate Ajira ili sisi tukajiajiri.
Tatizo ni vile serikali imepokonya Hali ya malipo ya FAO la kujitoa.
Haina haja jambo la kubadili kazi iwe ni kejeli na dhihaka Kwa watumishi. Kazi iwe ni Moja ya haki na uhuru binafsi wa mtumishi. Mtu awe huru kupanga namna ya kutumia muda wake hapa duniania. Mtu apenge ni lini afanye mambo yake kulingana na malengo yake.
Kama Nina wito wa kuzeekea kwenye utumishi niamua mwenyewe. Kama nataka kuwa mkulima baada ya utumishi wa miaka mitano au zaidi niamue.
Sasa tuko tayari kuacha hiyo kazi ili tubadili namna ya kulitumikia taifa Kwa njia mbadala.
Tunaomba pesa zetu huko NSSF ambazo mmezishikilia kama fao la kujitoa.
Huo mshahara wenu tunashukuru Kwa hapa tulipo fika, Sasa tupishe wengine.
Tunaomba hilo fao
Huu ndio usaliti kwa taifa... Ubinafsi utalifanya taifa liendelee kuingizwa na wasiofaa !!We na nani?? Hao wanajiita wapinzani wanakula Asali huko ndio wanitetee mimi...Kila mtu apiganie tumbo lake nw.
Hapana. Sio kweli kabisa, labda kama umejiajiri na kuendesha mambo yako kwa janja janja, ukifuata taratibu zote na kulipa kodi kwa wakati, hakuna Raha kama kujiajiri.... Wasi wasi uko kwenye wateja kama wataendelea kukuunga mkono.Ukijiari tu hii nchi unaanza kupata tabu. Mfano; Utashangaa mkuu wa Wilaya anakuja kuomba hela za vikao, Mbio za mwenge, Diwani nae vivo hivyo, Katibu mwenezi nae hivyo hivyo, hapo TRA hawajaja.. ili mradi tu wakutaabishe.
Ndugu yangu . Unaongelea Mambo ya Marekani? Basi ndio maana hujui ninaloandika Mimi hapa.Hapana. Sio kweli kabisa, labda kama umejiajiri na kuendesha mambo yako kwa janja janja, ukifuata taratibu zote na kulipa kodi kwa wakati, hakuna Raha kama kujiajiri.... Wasi wasi uko kwenye wateja kama wataendelea kukuunga mkono.
Kuna wimbi kubwa la watumishi kuacha kazi na kujiajiri huko Marekani hivi sasa, hata kujiunga na jeshi kumedorora kuliko kawaida. Sababu kubwa, watu wengi wamegundua utumwa unaofanywa na waajiri hasa Serikali.... Yaliyotokea Sri Lanka ni mfano maridhawa. Karibuni private sector!!.
Muulize chifu Hangaya atakueleza kwa mapana.Hayo maneno ya ..."CHADEMA imekufa"...mpelekee Steven Wassira aya-clarify!CHADEMA ipi hiyo? Ishakukufa mda tu. Wanalamba Asali.
Ukijiunga huko unakosa tenda tena. Ilimradi tu upate tabu.
Hilo kwetu sahau, ila sio mbaya tukijipa moyoSri Lanka wameonesha mfano kile ambacho tunatakiwa kufanya before its too late.
Baada ya huo muda ulitimka?Uko sahihi, niliwahi kufanya kazi Serikalini kwa miezi 8 tu ila nilijilaumu sana, kwanza unadumaza akili tu.
Wewe.. mbona kama hauishi nchi hii?Muulize chifu Hangaya atakueleza kwa mapana.Hayo maneno ya ..."CHADEMA imekufa"...mpelekee Steven Wassira aya-clarify!
😂😂😂😂Hivi ulihamia Burundi kwa amri ya Madelu?Ofisi ya Umoja Party iko wapi hapo kijijini kwenu?Wewe.. mbona kama hauishi nchi hii?
Mpango mzima ni Umoja Party.
Ofisi zao ziko wapi? Mwenyekiti wake ni nani? Mwenyekiti, Katibu n.kWewe.. mbona kama hauishi nchi hii?
Mpango mzima ni Umoja Party.
Niko kwenye ajira binafsi kwa miaka zaidi ya ishirini sasa tena hapa hapa Tanzania.Hao unaowataja kwa ujumla wao ndio wadau wangu katika biashara.Ndugu yangu . Unaongelea Mambo ya Marekani? Basi ndio maana hujui ninaloandika Mimi hapa.
Jishughulishe , kujiajili ni kizuri ila bongo ni shida. Ukiona mtu mweusi amefanikiwa kwenye kujiajili ujue anapambana mno. Wengi ni wahindi, waalab , wasomali na wazungu. Mtanzania anasota sana kwenye nchi yake.
Wewe tulia kwanza. Ukitaka kadi utapata.Ofisi zao ziko wapi? Mwenyekiti wake ni nani? Mwenyekiti, Katibu n.k
myopic leaders indeedViongozi wetu wengi hawana MAONO na wana uwezo mdogo mno kiakili.
Hawajui wewe ukijiajiri baadae unaweza kuajiri vijana wenzako kama kumi na kiwachangia michango yao NSSF..
Yaani wana UONI HAFIFU mno na akili za KIMASKINI MNOOOO eti mtu akichukua pesa zake atasumbua mtaani baadae akizeeka halafu hana kitu. They're shortsighted wanaangalia upande mmoja tu.
Watakutengemezea msala huo hutosahau maishani mwakoUnakuwa nunda hutoi.Wakikung'ang'aniza unajiunga CHADEMA.Hawaji tena.Niamini.