Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Sasa ni wakati muafaka wa kuachana na misaada kutoka nje, maana nao huko kwao hali ya uchumi imekaza.
Misaada inashusha heshima, mtu anayekusaidia hata akiongea upuuzi lazima ucheke ili umridhishe.
Options ni 2 tu kwasasa.
1. Kutumia rasilimali zetu kama gas, makaa ya mawe, dhahabu, na madini mengine ya vito kujijenga.
Bila kusahau fukwe za bahari na bahari yenyewe, maziwa na mito, ardhi yenye rutuba , milima, hifadhi na wanyama pori wetu.
Rasilimali za nchi hii ni nyingi, haya matrilioni ya kodi tuyatumie kama mtaji wa ku utilize rasilimali zetu.
2. Tuendelee kulipa tozo zilizopo na ziongezwe zingine ili tupate pesa za kuendesha nchi na kuleta ustawi katika jamii.
Ila katika option namba 2 tunaomba Serikali ikiri kuwa imeshindwa kutumia rasilimali tulizojaaliwa na Mungu kuleta maendeleo kwa wananchi hivyo imependekeza tozo ndizo ziwe mbadala wake.
Sasa ni wakati muafaka wa kuachana na misaada kutoka nje, maana nao huko kwao hali ya uchumi imekaza.
Misaada inashusha heshima, mtu anayekusaidia hata akiongea upuuzi lazima ucheke ili umridhishe.
Options ni 2 tu kwasasa.
1. Kutumia rasilimali zetu kama gas, makaa ya mawe, dhahabu, na madini mengine ya vito kujijenga.
Bila kusahau fukwe za bahari na bahari yenyewe, maziwa na mito, ardhi yenye rutuba , milima, hifadhi na wanyama pori wetu.
Rasilimali za nchi hii ni nyingi, haya matrilioni ya kodi tuyatumie kama mtaji wa ku utilize rasilimali zetu.
2. Tuendelee kulipa tozo zilizopo na ziongezwe zingine ili tupate pesa za kuendesha nchi na kuleta ustawi katika jamii.
Ila katika option namba 2 tunaomba Serikali ikiri kuwa imeshindwa kutumia rasilimali tulizojaaliwa na Mungu kuleta maendeleo kwa wananchi hivyo imependekeza tozo ndizo ziwe mbadala wake.