Tukubabali au tusikubali, Hayati Magufuli alikuwa mkombozi wetu

Tukubabali au tusikubali, Hayati Magufuli alikuwa mkombozi wetu

Yawezekana hujaelewa somo.
Ni kwamba, JPM alifanikiwa kufanya makubwa yaliyoshindikana tangu enzi za Mwalimu.
Hapo nazungumzia JNHP, IKULU kuhamia Dodoma nk.

Lakini pia kabla yake vibaka walitapakaa kila kona, lakini alipoingia tu madarakani, vibaka wote walipotelea kusikojulikana.
JPM aliacha Mfuko wa mbolea ukiuzwa kwa sh 45000/50000 lakini sasa mfuko huo umepanda bei na sasa unauzwa kwa sh. 130,000 hadi 150,000. Si mbolea tu, hata vitu vingine vinapanda bei kila kukicha.
Jiwe alikuwa laana kwa taifa.
 
Hujakosea, ni kweli alikuwa muuaji kwa wezi,majambazi, panya road na ndiomana alifanikiwa kuyapunguza,mkatili, dikteta kwa kusimamia sheria na kutocheka cheka na wazembe selikalini. mfilisi kwa matapeli na wezi waliofilisi nchi hii we ulitakaje?[emoji41]
Kweli alikuwa Rais wa wanyonge kama wewe, hata kuandika tu hujui. Sasa wewe siyo mnyonge kweli?
 
Alikuwa Rais mwenye akili nyingi kuwahi kutokea.

Yani Rais ambae hadanganyiki hovyohovyo.
Rasi anaejiamini, rais anae fuatilia maagizoyake, rais anae fanya ziara za kushtukiza,ambae mbali na taarifa anazopewa na wasaidiziwake yeye mwenyewe anauwezo wa kuzichambua na kupata ukweli.

Kikubwa zaidi hakuwa muoga, na hakutaka kuyumbishwa na matajiri na mabeberu.

Aliweza kuanzisha miradi mikubwa ya kimkakati bila kupanda ndege kwenda ulaya.

Ndio maana watanzania wote walimuamini sana sana sana.

Viongozi acheni kumpiga vijembe magu, pigeni kazi tuwapime kwa jinsi mnavyo tuhudumia, acheni wivu.
Eti watanzania wote. So unadhani Watanzania wote ni wanyonge au wapumbavu kama wew?
 
Umesahau mengine,
Kujenga Ikulu Dodoma huo ni ujambazi, kudhibiti ajali za kijinga kijinga huo ni ujambazi, kutokomeza vibaka waliokuwa wametapakaa mitaani huo ni ujambazi, kuiingiza Nchi katika uchumi wa kati huo ni ujambazi, kuleta nidhamu ya watumishi wa umma huo ni ujambazi nk.
The guy was an idiot
 
Siasa za kwenye mitandao zinawaponza kuamini kuwa JPM alikuwa hapendwi ..
Mlio na access ya mitandao ni wachache kati ya watanzania weng.
Hivyo main yenu na chuki zenu Kwa JPM si sahihi.

Uzalendo wa jpm Kwa taifa hili ulikuwa wa kiwango Cha juu mno.
Kwenu wanyonge msioweza nunua hata smartphone. Kwa watu wenye weledi Jiwe was a monster of his own.
 
Salamu kwenu ndugu zangu katika falsafa za JPM

Kutokana na kile kinachoendelea hivi sasa,nami nimeona ni vyema nikasema haya kwenu...


Ndugu zangu katika falsafa/itikadi za MWAMBA /MZALENDO/MPAMBANAJI ...JPM nyote ni mashahidi wa mashambulizi ,matusi na dhihaka za kila aina vinavyoelekezwa kwake (ingawaje yeye hayupo tena milele ) na baadhi ya wanasiasa katika siku za hivi karibuni



Nanyi ndugu zangu hampaswi KUUMIA wala KUHUZINIKA kutokana na haya bali kufahamu kwamba hizi ni dalili za USHINDI kwetu sisi wafuasi wa falsafa zake



Kinachosababisha yote haya ni ukweli kwamba,MAMLUKI wamegundua Hayati JPM anaelekea kuwashinda pasipo yeye kuwepo na aliwashinda alipokuwepo....hivyo basi ROHO ZINAWAUMA



Kwanini roho zinawauma?


Lazima mjue kwamba 'WAKUBWA'wengi ndani ya chama hawakumpenda JPM kutokana na misimamo yake juu ya MASLAHI ya Taifa hili,na jinsi alivyokubalika kwa kiasi kikubwa miongoni mwa raia ikizingatiwa kwamba JPM kwao ni 'MSHAMBA TU WAKUJA' na wao ndio 'WENYE CHAMA NA NCHI'(wanajidanganya saaaana)




Kwakuwa wao hawakukubaliana naye na walishindwa kumfanya afanye vile walivyotaka wao ,basi wakajiaminisha kuwa hata wafuasi wake wanamuunga mkono kwa sababu tu ya kujipendekeza ili kupata chochote kitu au sababu ya kuogopa mamlaka yake kama ambavyo wao walikuwa wakimuogopa na kumuunga mkono kinafiki



Sasa cha ajabu ni zaidi ya mwaka JPM ameshatangulia mbele za haki,wao ndio wenye madaraka kwa sasa,na wanafanya vile wanavyoona wao sawa,lakini wafuasi wa Yule 'WAKUJA MSHAMBA' wanazidi kuongezeka kila Leo,na karibu kila wafanyalo
Wanajikuta wanakosolewa na kukumbushwa kwamba JPM alifanya hivi na vile ama hakufanya hivi na vile



Sasa hapo ndio ROHO ZINAPOWAUMA na sasa wameamua kupambana na Hayati kwa namna zote ikiwemo kutumia VICHECHE WA KISIASA kama Zitto



We jiulize kwanini katika kipindi hiki,ambacho nchi inakabiliwa na changamoto nyingi za kiuchumi hasa kwa wananchi wa kawaida,wanasiasa wa dizaini ya Zitto wamekazania kumzungumzia Hayati JPM na si matatizo yanayoitatiza jamii kwa sasa?



Ila wasichokijua ni kwamba katika kipindi alichokaa madarakani,JPM amefanikiwa kupanda mbegu ya mageuzi katika siasa za nchi hii,kamwe hazitorudi kuwa kama walivyozoea



Ukitaka kuthibitisha hilo angalia hata hapa hapa tu JF,kuna members kibao walikuwa wanaisapoti CCM hata kabla JPM hajawa Rais, lakini leo hii wapo mstari wa mbele kwenye kuikosoa na kutokubaliana na hiyo hiyo CCM pamoja na viongozi wake,na watu wa namna hii wapo kuanzia chamani, serikarini na mitaani,ni suala la muda tu TUTAELEWANA


hivyo ndugu zangu katika falsafa za JPM,kama nilivyowaambia hapo mwanzoni,



HAMPASWI KUHUZUNIKA wala KUUMIA kwa haya yanayoendelea sasa kwa sababu USHINDI U DHAHIRI UPANDE WETU,ndio maana WANATAPA TAPA kwa kulitambua hilo


VIVA ITIKADI ZA JPM..VIVA WAZALENDO WE KWELI WA YAIFA HILI



Nb: MODERATERS mkiona hii thread inawakera,futeni tu kama mlivyofuta ule wa juzi
Acha uongo wewe sukuma gang, yaani unamaanisha kuwa wajinga au wanyonge kila siku wanaongezeka? Pathetic
 
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Mkombozi aliyepora Korosho za wana wa kusini?.
Mkombozi aliyeongeza makato ya bodi ya mikopo bila kuongea mishahara kwa watumishi wa umma?
Mkombozi aliyemuita na kununua MINDEGE BILA kufuata sheria za manunuzi?
Mkombozi aliyeua na kupiga risasi waliokosa?
Mkombozi aliyepambana kununua wabunge wa upinzani na kurudia tena uchaguzi?
Mkombozi aliyeipendelea TANROAD na MAYANGA CONSTRUCTION?
kkamfufue uzikwe wewe. Kwetu sisi Bwana alitenda maajabu kuliondoa lile dubwasha
 
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Mkombozi wa tumbo lako
 
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Uko sahihi! Alifanya maamuzi magumu sana ya kulisaidia Taifa, wameamua kurudi kulekule, sidhani kama kunakitachoendelea
 
Back
Top Bottom