Tukubabali au tusikubali, Hayati Magufuli alikuwa mkombozi wetu

Tukubabali au tusikubali, Hayati Magufuli alikuwa mkombozi wetu

Alikuwa mkombozi wako ww na family yako na watu wako, kwangu mimi alikuwa mnyang'anyi! Alikuwa katili, alikuwa dhulumati! Kwangu mimi na family yangu na ukoo wangu na ndugu na jamaa zangu wote walikuwa waathirika wa magufuli, nili furahi alipolala yooo na ninasema am happy now Mimi na family na ukoo wangu na ndugu zangu na jamaa zangu wote we are so happy now.
Tutafanyaje sasa,acha tu tukuunge mkono tupinge,tumkejeli mzee baba ili tuonekane sisi ni wagumu 😂
 
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Hakua na ukombozi wowote yule shetani
 
Sijui huyu mtu alitokea wapi aisee!!!Hivi mnajua matatizo yote haya yaliletwa na mwendazake?

Lile genge la ukabila na ukaanza ukabila nchini alileta huyu mtu! Ni mtu hatari sana alikua huyu jamaa

Leo hii makovu,na maumivu yalisababishwa na mwendazake

Angalia mama anavyopata shida kujenga umoja wa kitaifa sasa hivi kuna jamii ya washamba flan hv wanajiona wao ni special cacke kwa kua walizoea kudekezwa na bwana yule yaani ni tabu kweli kweli, hata wasomeje hawaelimikagi wapo wapo tu

Tuna safari ndefu sana yote haya alileta huyo mwendazake wenu

Kuna msemo mmoja huwa nasema nyani ni nyani tu hata umlete mjini hawezi staarabika kamwe same na hilo gang wapo na hizi features na huko kwao

Nchi yetu inahitaji umoja na mshikamano ndugu zangu ukabila ni mbaya sana au hata ukanda, ila magufuli alileta ukabila nchi hii na uchato

Kila kitu sasa wa kulaumiwa ni magufuli, huwa najiuliza kwanini ee mungu uliruhusu akawa rais?maana ni mateso tu hakua na faida yoyote ile tena inabidi hata kwenye katiba iandikwe kabisa kwamba isitokee tukawa na watu kama magufuli au hata huko akatoka kiongozi FULL STOP
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
 
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Lakini corona ilimfyeka!!!!
 
Matendo yake asilimia 80% yalikuwa ni ujambazi na utapeli kwa nchi hii mfano;1.Kuzima BUNGE laivu huo ni ujambazi,2.Kufuta mikutano ya kisiasa wakati akiendelea na siasa miaka yote mitano huo ni ujambazi,3.Kumpiga TUNDU LISSU risasi,kumnyima matibabu na kumvua ubunge,4.Kumwondoa CAG kabla ya muda kisa tu amegusa kwenye 1.5 trilioni huo ni utapeli na ujambazi,5.Kubariki uchaguzi 2019 wa Serikali za mitaa kuwa wa chama kimoja huo ni ujambazi,6.Kuchafua uchaguzi wa Octoba 2020 huo ni ujambazi,7.Kuwaaminisha wananchi mbumbumbu kama wewe kuwa tuliibiwa sana wakati muda wote alikuwa kwenye kundi la waizi ccm huo ni ujambazi,8.Kusema Tanzania hakuna korona wakati dunia nzima ikiathirika na korona huo ni ujambazi,9.Kujenga Chato kuwa IKULU na Jiji kwao alikozaliwa yeye huo ni ujambazi, na mwisho 10.Kupendelea teuzi nyingi kutoka Kanda ya Ziwa kwao anakotokea huo ni ujambazi.
Lalamikieni katiba mbovu maana kwa katiba hii mbovu tuliyonayo hata huyu rais wa sasa au ajaye akiamua kuwa dikteta atakuwa tu maana katiba inampa hayao mamlaka. NDIYO MAANA NCHI HII INAONGOZWA NA UTASHI WA MTU MTU MMOJA WALA SIYO MIFUMO IMARA.
 
Yawezekana ulikuwa bado hujazaliwa, wakati wa huyo jk ndipo umeme ulipokuwa unakatika karibu kila dakika kadhaa, lakini hali hiyo ya kipuuzi ilidhibitiwa na JPM.
Sasa hali inarudi kule kule.
Jibu swali Mradi wa umeme kutumia gesi ulibuniwa Awamu Gani? Je tokea uhuru kumewahi kuwa na umeme wa gesi? Hvi angefanya magufuli si ndio mngesema kavunia rekodi kujenga Bomba la gesi na kuleta umeme wa gesi kitu ambacho hakijawahi tokea tokea uhuru!!!

Airport ilipanuliwa na nani? Je tokea uhuru Airport iliwahi kupanuliwa??

Vipi mwendokasi imewahi tengenezwa tokea uhuru kama sio awamu ya nne? Angekua JPM si mngetambaa hapa hadi chato!!

Hivi awamu Gani ilijenga barabara Kila Kona ya nchi? Iliwahi fanyika tokea uhuru?

Punguzeni utoto Kila kiongozi ana milestone zake so msikuze mambo eti tokea uhuru sijui kavunja rekodi n.k
 
Acha unafiki!! Hizo Mali nyingi ziliporwa maana zamani ilikua chama kimoja sasa tokea vyama vingi vije ilipaswa hizo Mali zirudishwe kwa Umma maana walitumia pesa za walipakodi kujengea say viwanja vya mpira, Majengo n.k

So kabla ya kusema alibana mafisadi ndani ya CCM hata umiliki tu kuhamisha CCM ulikua wa kifisadi ilipaswa azirudishe kwa Raia na sio kuendelea kuhodhi kihuni.
Ndugu mbona unaongea kwa jaziba kubwa?
Mimi niluongea taarifa yao ya kifedha maana upigaji kwenye chama chao ulikuwa si sawa! Mali zao ni nyingi lakini kipato kilikuwa kidogo!
Sababu unayosema ya kurudishwa kwa UMMA haikuwa kazi yake
 
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Magufuli was a monster of his own.
 
Siasa za kwenye mitandao zinawaponza kuamini kuwa JPM alikuwa hapendwi ..
Mlio na access ya mitandao ni wachache kati ya watanzania weng.
Hivyo main yenu na chuki zenu Kwa JPM si sahihi.

Uzalendo wa jpm Kwa taifa hili ulikuwa wa kiwango Cha juu mno.
 
Siasa za kwenye mitandao zinawaponza kuamini kuwa JPM alikuwa hapendwi ..
Mlio na access ya mitandao ni wachache kati ya watanzania weng.
Hivyo main yenu na chuki zenu Kwa JPM si sahihi.

Uzalendo wa jpm Kwa taifa hili ulikuwa wa kiwango Cha juu mno.
Yes! Wenye access ya mitandao ni wachahe sana! Tutaona tathmini kila kukicha
 
Wewe ni muongo kwa sababu Magufuli mwenyewe anadai kuwa mkombozi ni Mbowe.
 
Siasa za kwenye mitandao zinawaponza kuamini kuwa JPM alikuwa hapendwi ..
Mlio na access ya mitandao ni wachache kati ya watanzania weng.
Hivyo main yenu na chuki zenu Kwa JPM si sahihi.

Uzalendo wa jpm Kwa taifa hili ulikuwa wa kiwango Cha juu mno.
Kumbe wanaotumia mitandao ni maroboti hawaishi mtaani?

Mbona msiba wake mlidai ulifuatiliwa na watu billion 1 kupima umaarufu wake ila akikosolewa mnasema mitandaoni ni kelele tu?
 
Ndugu mbona unaongea kwa jaziba kubwa?
Mimi niluongea taarifa yao ya kifedha maana upigaji kwenye chama chao ulikuwa si sawa! Mali zao ni nyingi lakini kipato kilikuwa kidogo!
Sababu unayosema ya kurudishwa kwa UMMA haikuwa kazi yake
Nmeshangaa unasifia ukaguzi wa Mali ya wizi!! Badala ya kuwashauri wairudishe kwa raia.

Sheria inataka open space ziachwe ila CCM wakahodhi zote na kujenga mifremu na kumbi. Badala upinge huo ufisadi eti unasifia fremu zinalipiwa Kodi stahiki!!

Mnahalalisha ufisadi?
 
Yes! Wenye access ya mitandao ni wachahe sana! Tutaona tathmini kila kukicha
Kama unajua sampling then lazima uogope.... Kma waliopo mtandaoni wote wanakosoa JPM Ina maana access ikiongezeka basi waliokua hawampendi watajitokeza zaidi.

Hmu watu wanafunguka coz identity haionekani.... Mfano Mimi ukinikuta uraiani siikosoi CCM kwa nature ya cycle yangu ila nikija humu ndio nafunguka!!!

Usishangae ID nyingi humu mnazoona za upinzani ukakuta za Wana CCM rejea mambo ya kigogo2014 kuhusishwa na Makamba and nape!!?
 
Back
Top Bottom