Tukubabali au tusikubali, Hayati Magufuli alikuwa mkombozi wetu

Tukubabali au tusikubali, Hayati Magufuli alikuwa mkombozi wetu

Nmeshangaa unasifia ukaguzi wa Mali ya wizi!! Badala ya kuwashauri wairudishe kwa raia.

Sheria inataka open space ziachwe ila CCM wakahodhi zote na kujenga mifremu na kumbi. Badala upinge huo ufisadi eti unasifia fremu zinalipiwa Kodi stahiki!!

Mnahalalisha ufisadi?
Nani kakwambia ule ni ufisadi? Mali za Chama sio serikali! Za serikali zalibaki serikalini, za chama zibakia na chama, au sheria ya kuanzisha vyama ilisemaje?
 
Salamu kwenu ndugu zangu katika falsafa za JPM

Kutokana na kile kinachoendelea hivi sasa,nami nimeona ni vyema nikasema haya kwenu...


Ndugu zangu katika falsafa/itikadi za MWAMBA /MZALENDO/MPAMBANAJI ...JPM nyote ni mashahidi wa mashambulizi ,matusi na dhihaka za kila aina vinavyoelekezwa kwake (ingawaje yeye hayupo tena milele ) na baadhi ya wanasiasa katika siku za hivi karibuni



Nanyi ndugu zangu hampaswi KUUMIA wala KUHUZINIKA kutokana na haya bali kufahamu kwamba hizi ni dalili za USHINDI kwetu sisi wafuasi wa falsafa zake



Kinachosababisha yote haya ni ukweli kwamba,MAMLUKI wamegundua Hayati JPM anaelekea kuwashinda pasipo yeye kuwepo na aliwashinda alipokuwepo....hivyo basi ROHO ZINAWAUMA



Kwanini roho zinawauma?


Lazima mjue kwamba 'WAKUBWA'wengi ndani ya chama hawakumpenda JPM kutokana na misimamo yake juu ya MASLAHI ya Taifa hili,na jinsi alivyokubalika kwa kiasi kikubwa miongoni mwa raia ikizingatiwa kwamba JPM kwao ni 'MSHAMBA TU WAKUJA' na wao ndio 'WENYE CHAMA NA NCHI'(wanajidanganya saaaana)




Kwakuwa wao hawakukubaliana naye na walishindwa kumfanya afanye vile walivyotaka wao ,basi wakajiaminisha kuwa hata wafuasi wake wanamuunga mkono kwa sababu tu ya kujipendekeza ili kupata chochote kitu au sababu ya kuogopa mamlaka yake kama ambavyo wao walikuwa wakimuogopa na kumuunga mkono kinafiki



Sasa cha ajabu ni zaidi ya mwaka JPM ameshatangulia mbele za haki,wao ndio wenye madaraka kwa sasa,na wanafanya vile wanavyoona wao sawa,lakini wafuasi wa Yule 'WAKUJA MSHAMBA' wanazidi kuongezeka kila Leo,na karibu kila wafanyalo
Wanajikuta wanakosolewa na kukumbushwa kwamba JPM alifanya hivi na vile ama hakufanya hivi na vile



Sasa hapo ndio ROHO ZINAPOWAUMA na sasa wameamua kupambana na Hayati kwa namna zote ikiwemo kutumia VICHECHE WA KISIASA kama Zitto



We jiulize kwanini katika kipindi hiki,ambacho nchi inakabiliwa na changamoto nyingi za kiuchumi hasa kwa wananchi wa kawaida,wanasiasa wa dizaini ya Zitto wamekazania kumzungumzia Hayati JPM na si matatizo yanayoitatiza jamii kwa sasa?



Ila wasichokijua ni kwamba katika kipindi alichokaa madarakani,JPM amefanikiwa kupanda mbegu ya mageuzi katika siasa za nchi hii,kamwe hazitorudi kuwa kama walivyozoea



Ukitaka kuthibitisha hilo angalia hata hapa hapa tu JF,kuna members kibao walikuwa wanaisapoti CCM hata kabla JPM hajawa Rais, lakini leo hii wapo mstari wa mbele kwenye kuikosoa na kutokubaliana na hiyo hiyo CCM pamoja na viongozi wake,na watu wa namna hii wapo kuanzia chamani, serikarini na mitaani,ni suala la muda tu TUTAELEWANA


hivyo ndugu zangu katika falsafa za JPM,kama nilivyowaambia hapo mwanzoni,



HAMPASWI KUHUZUNIKA wala KUUMIA kwa haya yanayoendelea sasa kwa sababu USHINDI U DHAHIRI UPANDE WETU,ndio maana WANATAPA TAPA kwa kulitambua hilo


VIVA ITIKADI ZA JPM..VIVA WAZALENDO WE KWELI WA YAIFA HILI



Nb: MODERATERS mkiona hii thread inawakera,futeni tu kama mlivyofuta ule wa juzi
 
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Ameumiza wengi lazima haki itendeke tu.
 
jibu hoja unakuwa kama wanasiasa.
Kipindi cha corona ndyo tungetegemea maisha yangekuwa magumu sana lakini Magu alidhibiti kila kitu.
Hii ina mahusiano gani na vyombo vya habari
Kwa taarifa zenyewe nazo SI zilitiwa kwenye vyungu vya nyungu 😂
 
Alikuwa mkombozi wako ww na family yako na watu wako, kwangu mimi alikuwa mnyang'anyi! Alikuwa katili, alikuwa dhulumati! Kwangu mimi na family yangu na ukoo wangu na ndugu na jamaa zangu wote walikuwa waathirika wa magufuli, nili furahi alipolala yooo na ninasema am happy now Mimi na family na ukoo wangu na ndugu zangu na jamaa zangu wote we are so happy now.
+ racketeers and cartels I guess !!
 
Alikomesha mambo yote ya blaaa blaaa, sasa yamerudi kwa kasi. Ninapenda hii "tajiri kufanyiwa lolote bila woga" sasa mguse tajiri unuke.
Kiongozi wa Serikali, mteule wa Rais, rukhsa kula kwa urefu wa kamba yake - kauli ya Rais
 
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.

Ajali gani zilipunguwa?. Mbona Kuna watu walikufa morogoro Kama Mia na meli kuzama kule ukerewe na abiria Mia ishirini kufa . Bila kisahau city boys na ajali nyingi tu. Tuache uongo ili kumsifia mtu tu.
 
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Kama alifanya yote hayo, na sasa mwaka mmoja badaye yametoweka, ujue tu yalikua ‘fake’! Lagacy haiwezi kufutwa, lakini haitetewi pia, inatakiwa ijitete yenyewe!
Mwisho; alikua mkombozi wako, siyo wetu! Kuna vitabu vitakatifu vinavyosema, ‘amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu’, kaeni na laana hiyo!
 
Tuliingia uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA na sasa tumeshuka.
Uchumi wa kati katikati ulibadilisha chochote kwenye maisha na maendeleo yako binafsi?
Je, vigezo vilivotumika vimebadilika??
 
Hata stendi ya mbezi(Magufuri BT) imewashinda kuendesha? Hamna viwanda, mnawafukuza wamaxhinga! Sehemu ndogo ya kuwastiri ni hapo, eti manispaa inapoteza mapato
 
Amesababisha ujane na watoto yatima ameongeza, umaskini kwa familia nyingi, uchumi mbovu wa leo ni matokeo ya ujinga alioufanya!! Neema alizozikuta zilikuwa za kikwete mutu ya watu!....leo ni matokeo yake ya jana!! so tegemea hali kuwa mbaya miaka kumi ijayo!
 
jibu hoja unakuwa kama wanasiasa.
Kipindi cha corona ndyo tungetegemea maisha yangekuwa magumu sana lakini Magu alidhibiti kila kitu.
Hii ina mahusiano gani na vyombo vya habari
Kwani mambo yalikuwa laini?Labda yalikuwa laini kwenu sukuma gang.Lkn kiujumla mambo yamekuwa laini baada ya kufa mungu wenu
 
Alikomesha mambo yote ya blaaa blaaa, sasa yamerudi kwa kasi. Ninapenda hii "tajiri kufanyiwa lolote bila woga" sasa mguse tajiri unuke.
Huo ndo ushamba tusioutaka.Sasa umguse tajiri kafanya nini?Kosa lake kuwa tajiri?Au unadhani wewe masikini ndo mtanzania halisi kuliko tajiri?Mawazo ya hovyo sana hayo.Yaani wewe tajiri anakukera sana katika nchi hii sio?Umasikini wako ndo ukufanye umchukie tajiri!Ulimsaidia kutafuta?Au kaiba pesa za baba ako?Washamba kama nyie haitatokea mpewe nchi hii tena.
 
Mama Samia kwa kweli ni mzigo tu, yaani yupo yupo tu....yeye na Kikwete hawatofautiana hata kidogo, wako very useless katika uongozi. Hawana maono wala dira ya uongozi.
 
jibu hoja unakuwa kama wanasiasa.
Kipindi cha corona ndyo tungetegemea maisha yangekuwa magumu sana lakini Magu alidhibiti kila kitu.
Hii ina mahusiano gani na vyombo vya habari
Corona haiku adhiri uzalishaji tumia akili
 
Kiingereza ndio kipimo cha elimu sikuhizi? Mbona wachina ni ma Tycoon na wanaongelea kingereza cha “Noti Byutifuley”
Huna akili wewe sukuma gang, wachina wanasoma kwa kiingereza? Huyo jamaa yenu kila kitu chake kina utata, kuanzia uraia wake mpaka elimu yake ni utata
 
Back
Top Bottom