Tukubabali au tusikubali, Hayati Magufuli alikuwa mkombozi wetu

Tukubabali au tusikubali, Hayati Magufuli alikuwa mkombozi wetu

Matendo yake asilimia 80% yalikuwa ni ujambazi na utapeli kwa nchi hii mfano;1.Kuzima BUNGE laivu huo ni ujambazi,2.Kufuta mikutano ya kisiasa wakati akiendelea na siasa miaka yote mitano huo ni ujambazi,3.Kumpiga TUNDU LISSU risasi,kumnyima matibabu na kumvua ubunge,4.Kumwondoa CAG kabla ya muda kisa tu amegusa kwenye 1.5 trilioni huo ni utapeli na ujambazi,5.Kubariki uchaguzi 2019 wa Serikali za mitaa kuwa wa chama kimoja huo ni ujambazi,6.Kuchafua uchaguzi wa Octoba 2020 huo ni ujambazi,7.Kuwaaminisha wananchi mbumbumbu kama wewe kuwa tuliibiwa sana wakati muda wote alikuwa kwenye kundi la waizi ccm huo ni ujambazi,8.Kusema Tanzania hakuna korona wakati dunia nzima ikiathirika na korona huo ni ujambazi,9.Kujenga Chato kuwa IKULU na Jiji kwao alikozaliwa yeye huo ni ujambazi, na mwisho 10.Kupendelea teuzi nyingi kutoka Kanda ya Ziwa kwao anakotokea huo ni ujambazi.
Tunahitaji jambazi aje apambane na majambazi ya mizoga.
 
Sometimes you must be smart, the guy was a head of the state kwanini asisifiwe na Prof Lumumba? Ukweli lazima ubakie kuwa ukweli hakuwa anajua kiingereza, strangely ndiyo lugha aliyotumia kuandika dissertation and his thesis na aliyosomea kutoka form 1. Mbona wenzake wanajua?
Nanoi huyo anaejua kiingereza ukimtoa Nyerere na mkapa??
Kikwete alisoma hotuba same to Zumaridi wenu.
 
JPM mwacheni apumzike basi khaaaaaa....

Mnamtetea saaaaana,,, kama alifanya makubwa acheni watu wayaone....


Acha kupiga mayowe, waache watu waone wenyewe - Unknown
 
Mapato ya chama yalipaa kutoka milioni 50 hadi trion moja na nusu maana ccm walidhiodhi kitapeli,
Walikodisha vibanda kwa kwa laki nusu na kulipa ofisi za ccm elf25,
 
Sasa kama huyo tajiri alitesa ndipo akapata ni kwa nini nae asiteseke?ungejua wanayofanya katika ulimwengu wa roho!!!!
 
Alikuwa mkombozi wako ww na family yako na watu wako, kwangu mimi alikuwa mnyang'anyi! Alikuwa katili, alikuwa dhulumati! Kwangu mimi na family yangu na ukoo wangu na ndugu na jamaa zangu wote walikuwa waathirika wa magufuli, nili furahi alipolala yooo na ninasema am happy now Mimi na family na ukoo wangu na ndugu zangu na jamaa zangu wote we are so happy now.
Alikuwa anakuja kuomba chakula kwako?
 
Alikuwa mkombozi wako ww na family yako na watu wako, kwangu mimi alikuwa mnyang'anyi! Alikuwa katili, alikuwa dhulumati! Kwangu mimi na family yangu na ukoo wangu na ndugu na jamaa zangu wote walikuwa waathirika wa magufuli, nili furahi alipolala yooo na ninasema am happy now Mimi na family na ukoo wangu na ndugu zangu na jamaa zangu wote we are so happy now.
Umestaarabika yakhee!
Hakika walioathirika wanajulikana. Wezi, wavivu wa kazi,majangili wa rasilimali, wachimba migodi mafilisi,wakwepa kodi,wafanyakazi haramu na listi inaendelea...
Nina uhakika jamii yako imo kati ya hao juu.

Watu wake wa Hayati wamekuwa wanateseka kwa karne nyingi.

Weka akiba uzandiki wako na hasama zako.
Mtashindwa tu
 
Hivi sukari ilipanda bei wakati Gani? mbona mnapenda sana kumkuza JPM?

Uchumi ulipanda sababu tu ya Miradi mingi kujengwa say SGR, JNHEP, Bombardiers, Kibaha highway etc so kwenye GDP unaonekana component ya investment inapanda juu even though faida za moja kwa moja hazijaonekana maana Miradi haijakamilika.

Kingine TRA ilikua inakamua wafanyabiashara so walikua hawachukui faida ila mpaka mtaji so obvious mwanzoni Hazina lazima ijae pesa ila long run ndio wafanyabiashara wanapungua na ajira kuisha, mwisho wa siku ndio uchumi unaanza kuona effects za kupungua wawekezaji!!

Kingine JPM alicheza na media sana, mfano ajali za vivuko,matetemeko, sijui lucky Vincent zilitokea awamu Gani? Wanajeshi wetu huko DRC zaidi ya 20 waliuawa awamu Gani? Ila kwa sababu media ziliminywa zikawa haziripoti mara kwa mara hizi ajali labda social media tu so ikajengwa perception kuwa ajali ziliisha.

Kuhusu umeme performance audit ya CAG ilionyesha mashine zilikua overrun zaidi ya scheduled maintenance Ili tu kufurahisha JPM madhara yake imebidi zifanyiwe maintenance sahivi hadi kusababisha umeme ukatike katike sana. Sasa hapo Nako mnamsifia JPM? au mnashauri na Makamba asingefanya maintenance ilimradi tu umeme usikatike mfurahi?

Hayo yaliyobaki ni media propaganda tu kuliko uhalisia..... Mfano uchumi wa kati tulioingia ulikua Low-Middle Income yaani uchumi wa kati wa CHINI So haikua sustainable lakini tungefika uchumi wa kati wa JUU hapo tungesema tumeporomoka sana.

Msikuze mambo sana JPM was average but branding ilikua kubwa kuliko uhalisia.
Yawezekana hujaelewa somo.
Ni kwamba, JPM alifanikiwa kufanya makubwa yaliyoshindikana tangu enzi za Mwalimu.
Hapo nazungumzia JNHP, IKULU kuhamia Dodoma nk.

Lakini pia kabla yake vibaka walitapakaa kila kona, lakini alipoingia tu madarakani, vibaka wote walipotelea kusikojulikana.
JPM aliacha Mfuko wa mbolea ukiuzwa kwa sh 45000/50000 lakini sasa mfuko huo umepanda bei na sasa unauzwa kwa sh. 130,000 hadi 150,000. Si mbolea tu, hata vitu vingine vinapanda bei kila kukicha.
 
Matendo yake asilimia 80% yalikuwa ni ujambazi na utapeli kwa nchi hii mfano;1.Kuzima BUNGE laivu huo ni ujambazi,2.Kufuta mikutano ya kisiasa wakati akiendelea na siasa miaka yote mitano huo ni ujambazi,3.Kumpiga TUNDU LISSU risasi,kumnyima matibabu na kumvua ubunge,4.Kumwondoa CAG kabla ya muda kisa tu amegusa kwenye 1.5 trilioni huo ni utapeli na ujambazi,5.Kubariki uchaguzi 2019 wa Serikali za mitaa kuwa wa chama kimoja huo ni ujambazi,6.Kuchafua uchaguzi wa Octoba 2020 huo ni ujambazi,7.Kuwaaminisha wananchi mbumbumbu kama wewe kuwa tuliibiwa sana wakati muda wote alikuwa kwenye kundi la waizi ccm huo ni ujambazi,8.Kusema Tanzania hakuna korona wakati dunia nzima ikiathirika na korona huo ni ujambazi,9.Kujenga Chato kuwa IKULU na Jiji kwao alikozaliwa yeye huo ni ujambazi, na mwisho 10.Kupendelea teuzi nyingi kutoka Kanda ya Ziwa kwao anakotokea huo ni ujambazi.
Jamani mbona hayo juu yalikuwa ni mlolongo mrefu wa malani(ilani) ya chama cha alichokuwa anawakilisha.
Mmnamsema kana kuwa hakuwa binadamu anayetenda makosa, huo ni ujambazi wa asili ya Ubinadamu.

Ridhaa aliyopata ilimfanya kiburi kupita kiasi. Wenyewe mnawajua waliompa ridhaa hiyo?
Kweli kuna mashetani duniani, chagueni upande, Lakini mkumbuke kila pande lina sehemu ya kufikia, Umilele.

Naionea huruma familia yake ya kwanza, mjane wake, watoto zake. Jaribuni kuwa na bakshishi ya maneno ya kubeza mfuu.
 
IKULU kuhamia Dodoma nk.
Hili Lina tija Gani? Yaani serikali kuhamia Dodoma ni mafanikio? Au ni gharama tu kwa raia maskini?

Hivi hiyo pesa ingepelekwa kwenye bajeti ya maendeleo ya kilimo ambayo huwa inatekelezwa chini ya 20% unadhani tungekuwa wapi sahivi kma sio uchumi wa kati juu??

Kuna mambo ya kumsifia ila sio kuhamia dodoma hiko means nothing.....

Afu unasema eti Bwawa La Nyerere limeshindIkana toka uhuru? Kwani kusambaza umeme wa gesi uliwezekana tangia uhuru? Maana kama shida ilikua ni umeme tu mbona hamtoi credit kwa Kinyerezi 1 and 2 ambayo ni Miradi ilianza na Jk?

Unafiki unawasaidia nini?
 
Mapato ya chama yalipaa kutoka milioni 50 hadi trion moja na nusu maana ccm walidhiodhi kitapeli,
Walikodisha vibanda kwa kwa laki nusu na kulipa ofisi za ccm elf25,
Acha unafiki!! Hizo Mali nyingi ziliporwa maana zamani ilikua chama kimoja sasa tokea vyama vingi vije ilipaswa hizo Mali zirudishwe kwa Umma maana walitumia pesa za walipakodi kujengea say viwanja vya mpira, Majengo n.k

So kabla ya kusema alibana mafisadi ndani ya CCM hata umiliki tu kuhamisha CCM ulikua wa kifisadi ilipaswa azirudishe kwa Raia na sio kuendelea kuhodhi kihuni.
 
Kwa hiyo mmekata tamaa baada ya mkombozi wenu kufariki?
Poleni sana.

Pia mkumbuke kuwa, Magufuli huyo huyo kwa watu wengine wengi alikuwa ni muuaji, mkatili, Dikteta, mfilisi na shetani.
Hujakosea, ni kweli alikuwa muuaji kwa wezi,majambazi, panya road na ndiomana alifanikiwa kuyapunguza,mkatili, dikteta kwa kusimamia sheria na kutocheka cheka na wazembe selikalini. mfilisi kwa matapeli na wezi waliofilisi nchi hii we ulitakaje?😎
 
Back
Top Bottom