Tukubabali au tusikubali, Hayati Magufuli alikuwa mkombozi wetu

Tukubabali au tusikubali, Hayati Magufuli alikuwa mkombozi wetu


jibu hoja unakuwa kama wanasiasa.
Kipindi cha corona ndyo tungetegemea maisha yangekuwa magumu sana lakini Magu alidhibiti kila kitu.
Hii ina mahusiano gani na vyombo vya habari

Haya endelea kupata habari kamili uku gunzi la ugumu wa maisha limeng'ang'ania matakoni.

Haya endelea kupata habari kamili uku gunzi la ugumu wa maisha limeng'ang'ania matakoni.
Kipindi cha Magufuli maisha yalikuwa magumu kweli kweli, bora sasa hivi hali iko poa
 
Kwa hiyo mmekata tamaa baada ya mkombozi wenu kufariki?
Poleni sana.

Pia mkumbuke kuwa, Magufuli huyo huyo kwa watu wengine wengi alikuwa ni muuaji, mkatili, Dikteta, mfilisi na shetani.
Katika watu milioni 60 huwezi kukosa wapumbavu wachache kama 10 hivi wanaomuona muuji, na dikteta.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa mkombozi wako ww na family yako na watu wako, kwangu mimi alikuwa mnyang'anyi! Alikuwa katili, alikuwa dhulumati! Kwangu mimi na family yangu na ukoo wangu na ndugu na jamaa zangu wote walikuwa waathirika wa magufuli, nili furahi alipolala yooo na ninasema am happy now Mimi na family na ukoo wangu na ndugu zangu na jamaa zangu wote we are so happy now.
Ok kumbe ni kwa ukoo wako sawa

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Mkopmbozi wetu Tanzani ni Hayati MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE na si vinginevyo.
 
Alikua aibu kwa taifa. Hakufuata misingi ya utawala bora, hakuwaheshimu wenzake aliwafokea na kuwafukuza kazi hadharani bila kujali utu. Aliumiza watu wengi. Elimu yake aliyoisomea kwa kiingereza ilitia mashaka sana kwani hakuweza kuzungumza kiingereza ata sentence mbili kwa usahihi. Kifupi alikua ni aibu kwa taifa
Prof Lumumba alimkubali sana JPM siyo kwa kiingereza Bali kwa uzalendo na mapenzi ya dhati ya nchi hii, Leo bei za mafuta zimepandà sana lakini wenye bajaji huko moshi wanakatazwa kupandisha nauli zitaumiza wananchi????
 
Watu wasiojulikana mmekosa matonge ya mwendazake.
Mauaji ya bomu la olasiti nayo Ni magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?,mauaji ya imrani kombe nayo Ni magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ? Mauaji Dr.mvungi nayo Ni magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?
 
Kama JPM alikuwa katili na muuaji, basi angeua karibu hata robo ya Watanzania, yaani Watanzania 15,000,000 au zaidi.
Usione mtu anachapwa viboko ukajikita upande mmoja tu kwamba anaonewa. Jiulize, kwa nini mtu huyo achapwe viboko?
Lakini, kwa nini awe yeye tu na si mtu mwingine?
Tusitumie mihemko kufanya judgement ya mambo nyeti.
Kwa nini umpige risasi mchaguliwa mwenzio kisa tu unamzidi cheo?
 
Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.

Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.

Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.

Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.

2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.

3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.

4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.

5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.

6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.

Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.

Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.

Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.

Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.

Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
mkombozi wenu

ishu ni kwamba kipindi kile ilikuwa ni ngumu kutoa habari hasi kwa serikali sababu vyombo vya habari havikuwa huru
 
on Prof Lumumba alimkubali sana JPM siyo kwa kiingereza Bali kwa uzalendo na mapenzi ya dhati ya nchi hii, Leo bei za mafuta zimepandà sana lakini wenye bajaji huko moshi wanakatazwa kupandisha nauli zitaumiza wananchi????
Sometimes you must be smart, the guy was a head of the state kwanini asisifiwe na Prof Lumumba? Ukweli lazima ubakie kuwa ukweli hakuwa anajua kiingereza, strangely ndiyo lugha aliyotumia kuandika dissertation and his thesis na aliyosomea kutoka form 1. Mbona wenzake wanajua?
 
Mauaji ya bomu la olasiti nayo Ni magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?,mauaji ya imrani kombe nayo Ni magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ? Mauaji Dr.mvungi nayo Ni magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?
Matendo yake asilimia 80% yalikuwa ni ujambazi na utapeli kwa nchi hii mfano;1.Kuzima BUNGE laivu huo ni ujambazi,2.Kufuta mikutano ya kisiasa wakati akiendelea na siasa miaka yote mitano huo ni ujambazi,3.Kumpiga TUNDU LISSU risasi,kumnyima matibabu na kumvua ubunge,4.Kumwondoa CAG kabla ya muda kisa tu amegusa kwenye 1.5 trilioni huo ni utapeli na ujambazi,5.Kubariki uchaguzi 2019 wa Serikali za mitaa kuwa wa chama kimoja huo ni ujambazi,6.Kuchafua uchaguzi wa Octoba 2020 huo ni ujambazi,7.Kuwaaminisha wananchi mbumbumbu kama wewe kuwa tuliibiwa sana wakati muda wote alikuwa kwenye kundi la waizi ccm huo ni ujambazi,8.Kusema Tanzania hakuna korona wakati dunia nzima ikiathirika na korona huo ni ujambazi,9.Kujenga Chato kuwa IKULU na Jiji kwao alikozaliwa yeye huo ni ujambazi, na mwisho 10.Kupendelea teuzi nyingi kutoka Kanda ya Ziwa kwao anakotokea huo ni ujambazi.
 
Sometimes you must be smart, the guy was a head of the state kwanini asisifiwe na Prof Lumumba? Ukweli lazima ubakie kuwa ukweli hakuwa anajua kiingereza, strangely ndiyo lugha aliyotumia kuandika dissertation and his thesis na aliyosomea kutoka form 1. Mbona wenzake wanajua?
Mazingira ya kusomea ni tofauti ndiyo maana wengine huweza na wengine hapa lkn pamoja na matatizo hayo alikuwa anaweza kuwasiliana kwa kutumia lugha hiyo hata hivyo wakuu wengi tu hawaerzi kabisa kuongeza kiingereza,lkn kwa ujumla JPM alikuwa na akili juu ya uwezo wa kawaida.
 
Nchi hii ina kirusii kibayaa sana..ni ngumu kuendelea. Sababu kubwaa ni moja! Ideology za nchi hii ziko mbili kubwaa..ambazo zinaathir maendeleo. Mfano rais hachaguliwi kwa kuangalia ubora wake katika utendaji bali anachaguliwa kwa kuangalia mrengo wake! Kwamba kama ametawala wa mrengo huu baas ajae anatakiwa awe wa mrengo huu ili kuridhisha pande mbili kwa kila awamu! Hilo limeenda hadi kwenye kusupport na kupinga..rais akiwa wa mrengo fulani baas wale watu wote wa mrengo huo humpa support hata kama anafanya upuuzi...provided ni wa mrengo wao baas watampa support tuu..hili liko hasaa kwenye mrengo mmoja zaid..mana huo mrengo hawana habari na maendeleo ya nchi wao wameshazoea kula kulala suala la kupiga hatua kimaendeleo halipo kwao..mrengo mwingine kidogo wameachana na huo utumwaaa..asilimia kubwa wanataman kuona nchi ikisonga mbele..na wengi wao humpinga hata akiwa akiwa ni kiongoz wa mrengo wao ikiwa atafanya tofauti na matakwa ya nchi kwa ajili ya maendeleo.
Suluhisho ni lipi? Suluhisho ni moja tu
Ili hii nchi iendelee baas ni lazima igawanywee kwenye pande mbli..kuwe na nchi mbili..kila eneo litawaliwe na mrengo ambao ni pupular..baas..hapo ndipo tutaona maendeleo ya mrengo fulan huku mrengo mwingine ukiendelea kula urojo..kucheza ngoma na singeli kusoma lugha za ajab ajab na kuitupilia mbali elimu dunia.
Maendeleo hayana chama.
Ni kama nimekuelewa hivi japo umezunguza sana
 
Back
Top Bottom