Jiwe alikuwa laana kwa taifa.Yawezekana hujaelewa somo.
Ni kwamba, JPM alifanikiwa kufanya makubwa yaliyoshindikana tangu enzi za Mwalimu.
Hapo nazungumzia JNHP, IKULU kuhamia Dodoma nk.
Lakini pia kabla yake vibaka walitapakaa kila kona, lakini alipoingia tu madarakani, vibaka wote walipotelea kusikojulikana.
JPM aliacha Mfuko wa mbolea ukiuzwa kwa sh 45000/50000 lakini sasa mfuko huo umepanda bei na sasa unauzwa kwa sh. 130,000 hadi 150,000. Si mbolea tu, hata vitu vingine vinapanda bei kila kukicha.
Kweli alikuwa Rais wa wanyonge kama wewe, hata kuandika tu hujui. Sasa wewe siyo mnyonge kweli?Hujakosea, ni kweli alikuwa muuaji kwa wezi,majambazi, panya road na ndiomana alifanikiwa kuyapunguza,mkatili, dikteta kwa kusimamia sheria na kutocheka cheka na wazembe selikalini. mfilisi kwa matapeli na wezi waliofilisi nchi hii we ulitakaje?[emoji41]
Eti watanzania wote. So unadhani Watanzania wote ni wanyonge au wapumbavu kama wew?Alikuwa Rais mwenye akili nyingi kuwahi kutokea.
Yani Rais ambae hadanganyiki hovyohovyo.
Rasi anaejiamini, rais anae fuatilia maagizoyake, rais anae fanya ziara za kushtukiza,ambae mbali na taarifa anazopewa na wasaidiziwake yeye mwenyewe anauwezo wa kuzichambua na kupata ukweli.
Kikubwa zaidi hakuwa muoga, na hakutaka kuyumbishwa na matajiri na mabeberu.
Aliweza kuanzisha miradi mikubwa ya kimkakati bila kupanda ndege kwenda ulaya.
Ndio maana watanzania wote walimuamini sana sana sana.
Viongozi acheni kumpiga vijembe magu, pigeni kazi tuwapime kwa jinsi mnavyo tuhudumia, acheni wivu.
The guy was an idiotUmesahau mengine,
Kujenga Ikulu Dodoma huo ni ujambazi, kudhibiti ajali za kijinga kijinga huo ni ujambazi, kutokomeza vibaka waliokuwa wametapakaa mitaani huo ni ujambazi, kuiingiza Nchi katika uchumi wa kati huo ni ujambazi, kuleta nidhamu ya watumishi wa umma huo ni ujambazi nk.
Kwenu wanyonge msioweza nunua hata smartphone. Kwa watu wenye weledi Jiwe was a monster of his own.Siasa za kwenye mitandao zinawaponza kuamini kuwa JPM alikuwa hapendwi ..
Mlio na access ya mitandao ni wachache kati ya watanzania weng.
Hivyo main yenu na chuki zenu Kwa JPM si sahihi.
Uzalendo wa jpm Kwa taifa hili ulikuwa wa kiwango Cha juu mno.
Acha uongo wewe sukuma gang, yaani unamaanisha kuwa wajinga au wanyonge kila siku wanaongezeka? PatheticSalamu kwenu ndugu zangu katika falsafa za JPM
Kutokana na kile kinachoendelea hivi sasa,nami nimeona ni vyema nikasema haya kwenu...
Ndugu zangu katika falsafa/itikadi za MWAMBA /MZALENDO/MPAMBANAJI ...JPM nyote ni mashahidi wa mashambulizi ,matusi na dhihaka za kila aina vinavyoelekezwa kwake (ingawaje yeye hayupo tena milele ) na baadhi ya wanasiasa katika siku za hivi karibuni
Nanyi ndugu zangu hampaswi KUUMIA wala KUHUZINIKA kutokana na haya bali kufahamu kwamba hizi ni dalili za USHINDI kwetu sisi wafuasi wa falsafa zake
Kinachosababisha yote haya ni ukweli kwamba,MAMLUKI wamegundua Hayati JPM anaelekea kuwashinda pasipo yeye kuwepo na aliwashinda alipokuwepo....hivyo basi ROHO ZINAWAUMA
Kwanini roho zinawauma?
Lazima mjue kwamba 'WAKUBWA'wengi ndani ya chama hawakumpenda JPM kutokana na misimamo yake juu ya MASLAHI ya Taifa hili,na jinsi alivyokubalika kwa kiasi kikubwa miongoni mwa raia ikizingatiwa kwamba JPM kwao ni 'MSHAMBA TU WAKUJA' na wao ndio 'WENYE CHAMA NA NCHI'(wanajidanganya saaaana)
Kwakuwa wao hawakukubaliana naye na walishindwa kumfanya afanye vile walivyotaka wao ,basi wakajiaminisha kuwa hata wafuasi wake wanamuunga mkono kwa sababu tu ya kujipendekeza ili kupata chochote kitu au sababu ya kuogopa mamlaka yake kama ambavyo wao walikuwa wakimuogopa na kumuunga mkono kinafiki
Sasa cha ajabu ni zaidi ya mwaka JPM ameshatangulia mbele za haki,wao ndio wenye madaraka kwa sasa,na wanafanya vile wanavyoona wao sawa,lakini wafuasi wa Yule 'WAKUJA MSHAMBA' wanazidi kuongezeka kila Leo,na karibu kila wafanyalo
Wanajikuta wanakosolewa na kukumbushwa kwamba JPM alifanya hivi na vile ama hakufanya hivi na vile
Sasa hapo ndio ROHO ZINAPOWAUMA na sasa wameamua kupambana na Hayati kwa namna zote ikiwemo kutumia VICHECHE WA KISIASA kama Zitto
We jiulize kwanini katika kipindi hiki,ambacho nchi inakabiliwa na changamoto nyingi za kiuchumi hasa kwa wananchi wa kawaida,wanasiasa wa dizaini ya Zitto wamekazania kumzungumzia Hayati JPM na si matatizo yanayoitatiza jamii kwa sasa?
Ila wasichokijua ni kwamba katika kipindi alichokaa madarakani,JPM amefanikiwa kupanda mbegu ya mageuzi katika siasa za nchi hii,kamwe hazitorudi kuwa kama walivyozoea
Ukitaka kuthibitisha hilo angalia hata hapa hapa tu JF,kuna members kibao walikuwa wanaisapoti CCM hata kabla JPM hajawa Rais, lakini leo hii wapo mstari wa mbele kwenye kuikosoa na kutokubaliana na hiyo hiyo CCM pamoja na viongozi wake,na watu wa namna hii wapo kuanzia chamani, serikarini na mitaani,ni suala la muda tu TUTAELEWANA
hivyo ndugu zangu katika falsafa za JPM,kama nilivyowaambia hapo mwanzoni,
HAMPASWI KUHUZUNIKA wala KUUMIA kwa haya yanayoendelea sasa kwa sababu USHINDI U DHAHIRI UPANDE WETU,ndio maana WANATAPA TAPA kwa kulitambua hilo
VIVA ITIKADI ZA JPM..VIVA WAZALENDO WE KWELI WA YAIFA HILI
Nb: MODERATERS mkiona hii thread inawakera,futeni tu kama mlivyofuta ule wa juzi
Mkombozi aliyepora Korosho za wana wa kusini?.Ndugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.
Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.
Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.
Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.
2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.
3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.
4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.
5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.
6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.
Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.
Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.
Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.
Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.
Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Mkombozi wa tumbo lakoNdugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.
Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.
Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.
Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.
2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.
3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.
4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.
5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.
6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.
Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.
Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.
Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.
Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.
Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
Wewe ni mpumbavu kama Jiwe.Mshamba ni yule anaeogopa kumhoji tajiri kuhusu pesa za umma alizopora. JPM hakuogopa hilo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi! Alifanya maamuzi magumu sana ya kulisaidia Taifa, wameamua kurudi kulekule, sidhani kama kunakitachoendeleaNdugu zanguni, hapo nyuma kidogo na sasa kwa uchache baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kauli za kubeza kazi nzuri zilizofanywa na JPM kwa kejeli na dhihaka.
Nadhani lengo lao kubwa ni kutaka kufuta Legacy yake. Ukweli ni kwamba, hakuna mtu awaye yote anayeweza kufuta Legacy ya JPM.
Mbaya zaidi ni kwamba,wanapozidi kumbeza JPM na kazi zake ndipo wanapozidi kuumbuka zaidi.
Hapo ni lazima tukubabali kuwa, Mungu yupo upande wa JPM.
Ikumbukwe kwamba:-
1. JPM aliingiza Nchi katika uchumi wa kati katikati ya kipindi cha CORONA, lakini sasa tunaambiwa uchumi umeshuka.
2.Wakati wa JPM, vibaka walitoweka kabisa, lakini sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu.
3. Wakati wa JPM, watumishi wa serikali walikuwa na nidhamu na walitekeleza wajibu wao ipasavyo lakini sasa ni balaa tupu. Hata kama ilikuwa nidhamu ya woga kama wanavyosema wengine lakini ilisaidia.
4. Wakati wa JPM, bei za vitu hazijawahi kupanda kiholela holela hivi, lakini sasa kila Mtanzania anajua hali ilivyo huku mtaani. Hali ni mbaya kweli kweli.
5. Wakati wa JPM, Ajali nyingi za kijinga kijinga zilikwisha kabisa lakini sasa zimerudi kwa kasi ya ajabu na kila mtu ni shahidi.
6. Wakati wa JPM, umeme haujawahi kukatikakatika kihuni huni namna hii, lakini sasa kila Mtanzania ni shahidi.
Hayo ni machache tu, yapo mengi mazuri yaliyofanywa na JPM yaliyokuwa msaada kwa Watanzania.
Rai yangu kwa viongozi ni kwamba, fanyeni tathmini ya kina muone mmekosea wapi na mjirekebishe.
Kamwe msihalalishe UDHAIFU wenu kwa kumdhihaki JPM, haitawasaidia isipokuwa mtaharibikiwa zaidi.
Acheni visingizio vya ajabu ajabu, maana sasa kila mnapofeli jambo fulani mnasingizia CORONA kana kwamba CORONA imeanza baada ya JPM kututoka.
Hivi karibuni mmeanza kusingizia vita vya Urusi na Ukraine. Visingizio vingi ni dalili za wazi kabisa za udhaifu wa kiongozi/viongozi.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.