Tukubali tu Messi Ndiye Mchezaji Mahiri Kuwahi Tokea Hapa Duniani

Tukubali tu Messi Ndiye Mchezaji Mahiri Kuwahi Tokea Hapa Duniani

key words "mchezaji bora wa wakati huu......"
Duniani wamepita wengi sana.

Huwa sielewi George Weah alikuwa mchezaji wa aina gani kuweza kufikia kuchukua mchezaji bora wa Ulaya na Dunia.....niliambiwa tu kuwa alikuwa hatari sana mpaka Waamerika kusini na Wazungu wakasubiri.....

Nadhani tuna limit ya wakati tunapofanya maamuzi ya nani ni bora!!!
 
Haters lazima waje wapinge tu 😀😀😀 yani siku ukianzisha mada "Messi ni mchezaji wa kawaida kuwahi kuokea"watukuunga mkono" binadamu bwana tunaishi kuchukiana tu,,, tena bila sababu....Wabongo bana vichekesho 😀😀😀
So Leo unakubali kuwa Messi kamzidi Maradona??
 
Labda umeanz kufuatilia mpira baada ya dinho kuach soka
Nilimuona huyo dinho kweli ni mzuri sikatai hata maradona...lkn kuna vitu Fulani adimu hawana hao
Nambie Nani Leo anatafuta hata video za Pele au hiyo dinho?,hata zikiwekwa hapo SAA hii utaona walifanya vitu vizuri lakini vya kawaida,jingine ujue Messi amekaa kwenye form hiyo kwa miaka mingi sasa kwa super standard hiyo hiyo
 
test questions for you:
1. msemo wa dukinah! ulitumika mwaka gani hapa TZ?
2. jeifongo ni kitu gani? ilitumika hapa Tanzania mwaka gani?
3. lini ulisikia mara ya kwanza neno veve au les kamalee?
1,duu kinaa=haina shida
2,Jeifongo=ni Gari za kijeshi zilikua maarufu miaka ya19 79 hapa Tz
3,Veve=Bendi ya muziki wa dansi miaka hiyo likipigwa kwa santuli Mimi Na bibi yenu hata kama tunakula chakula tunaacha kwa muda tunasakata bumping
 
1,duu kinaa=haina shida
2,Jeifongo=ni Gari za kijeshi zilikua maarufu miaka ya19 79 hapa Tz
3,Veve=Bendi ya muziki wa dansi miaka hiyo likipigwa kwa santuli Mimi Na bibi yenu hata kama tunakula chakula tunaacha kwa muda tunasakata bumping

kwa haya majibu kwanza nimegundua kuna mtu kakujibia halafu ww bado mdogo.
1. dukinah umepatia kuwa maana yake ni haina tabu
2. jeifongo zilikuja wakati wa vita vya msumbiji 1974-75 sio 1976
3. veve ni kweli ni bendi ya muziki lakini hukuwa specific inatoka wapi. yote yasema wewe ni wa juzi juzi.

Nikipiga hesabu unavyomsifia messi nakukadiria umezaliwa kwenye 1989 na hapo nimekupendelea maana hiyo ya bibi yetu ni exaggeration usioiweza kabisa.

Sasa kulikuwa na manguli wengi wenye vitu vya ajabu waliopata kuwepo kabla ya messi. sisi tunaona hii repetition kama ambavyo utakuja msimulia mtoto wako huko 2050s
 
Haters lazima waje wapinge tu 😀😀😀 yani siku ukianzisha mada "Messi ni mchezaji wa kawaida kuwahi kuokea"watukuunga mkono" binadamu bwana tunaishi kuchukiana tu,,, tena bila sababu....Wabongo bana vichekesho 😀😀😀
UNALAZIMISHA WOTE WAMPENDE,RANGI PIA ZIKO NYINGI MBONA KILA MTU ANAPENDA YA KWAKE.
 
kwa haya majibu kwanza nimegundua kuna mtu kakujibia halafu ww bado mdogo.
1. dukinah umepatia kuwa maana yake ni haina tabu
2. jeifongo zilikuja wakati wa vita vya msumbiji 1974-75 sio 1976
3. veve ni kweli ni bendi ya muziki lakini hukuwa specific inatoka wapi. yote yasema wewe ni wa juzi juzi.

Nikipiga hesabu unavyomsifia messi nakukadiria umezaliwa kwenye 1989 na hapo nimekupendelea maana hiyo ya bibi yetu ni exaggeration usioiweza kabisa.

Sasa kulikuwa na manguli wengi wenye vitu vya ajabu waliopata kuwepo kabla ya messi. sisi tunaona hii repetition kama ambavyo utakuja msimulia mtoto wako huko 2050s

Kuna kitu huwa kinashangaza mno,, nimegundua baadhi ya mishabiki ya bongo mara nyingi huwa inajifanya inajuwa sana mpira kuliko wenzetu i meant europe n.k

So yeyote anayemkubali Messi atakuwa amezaliwa miaka ya 80 kuja juu sio?? wakubwa je hawamo? Kwanini umkadirie mwenzio amezaliwa kwenye 1989? Umejuwaje??

Wachezaji wengi wamepita wakina Diego Pele alfredo puskas zidane cruyff n.k..lakini King is marvellous/wakipekee kuwahi kutokea...yeye ni bora uwanjani kama mshambuliaji, kiungo, winger, kua assist,
Kutengeneza nafasi, master wa passes, master of freeckick, kudribble, tackling yani inshort King Messi ni Mchezaji aliyekamilika. So Huwezi mlinganisha na vitu vya kijinga mkuu.
 
Jitahidi...ipo siku woooooooote tutakuamini...jitahidi tu.
 
Minjino anajua ila kwa Messi ni Mwisho wa reli
2EA4D3EB00000578-3327081-image-a-90_1448034412952.jpg
 
Mkuu nadhani umeongelea unacho kifaham na kukiona,mm nimeanza kushabikia mpira sio mda mrefu sana lakini kuna wachezaji nimewaoona nawaapriciate .Nimeaanza mwaka 1998 kombe la dunia nimewaona wakina Zidane ,Derima,Kruvert,wote ambao walikuwa wazuri wanaosifiwa kweli kweli ila Gaucho Ronaldinyo kwangu atabaki kuwa mchezaji bora haswa kwa kunipa raha ya mpira .Yule kijana anajua mpaka kupitiliza.
 
Back
Top Bottom