Kuna kitu huwa kinashangaza mno,, nimegundua baadhi ya mishabiki ya bongo mara nyingi huwa inajifanya inajuwa sana mpira kuliko wenzetu i meant europe n.k
So yeyote anayemkubali Messi atakuwa amezaliwa miaka ya 80 kuja juu sio?? wakubwa je hawamo? Kwanini umkadirie mwenzio amezaliwa kwenye 1989? Umejuwaje??
Wachezaji wengi wamepita wakina Diego Pele alfredo puskas zidane cruyff n.k..lakini King is marvellous/wakipekee kuwahi kutokea...yeye ni bora uwanjani kama mshambuliaji, kiungo, winger, kua assist,
Kutengeneza nafasi, master wa passes, master of freeckick, kudribble, tackling yani inshort King Messi ni Mchezaji aliyekamilika. So Huwezi mlinganisha na vitu vya kijinga mkuu.