Tukubali tu Messi Ndiye Mchezaji Mahiri Kuwahi Tokea Hapa Duniani

King Messi ni Mchezaji bora miaka 10 mfululizo hatari sana. Wala haihitaji kumcompare na michezaji mingine,, anajulikana yeye ni from another planet...

  1. King Messi
  2. King Diego
 
You know you’re unnecessarily sarcastic dude. Kujua kama umri wako wewe ni mdogo kunatoka na viashiria fulani ulivyonavyo na uwezo wangu wakukuprofile hasa pale unapofikiri uko soo analytical. I told you what your king does is a repetition. Just understand.
 
Jitahidi...ipo siku woooooooote tutakuamini...jitahidi tu.

Jukumu la Messi ni kuibeba timu namaanisha timu inashinda ndio maana hata asipofunga goli lazima utatambua uwepo wake uwanjani...either atafunga au atatoa assist za magoli au ataichachafya timu pinzani mpaka itatoa nafasi kwa wachezaji wengine kung'ara na kufunga...kitu ambacho kwa wachezaji wote waliopita na wa sasa hawana hicho kitu... Wasipofunga basi hawana kingine cha kujivunia, hawaonekani, hata kupiga chenga wachezaji wa timu pinzani ni shida. Mfalme Messi anafanya mengi akiwa uwanjani kama mchezaji.


ALL IN ALL MESSI NI MCHEZAJI BORA KUWAHI KUTOKEA KATIKA ULIMWENGU WA SOKA. NAMSHUKURU MUUMBA NIMEPATA CHA KUHADITHIA WANANGU NA WAJUKUU ZANGU PIA.
 

Ninaposema jukumu la Meesi ni kuibeba timu namaanisha timu inashinda ndio maana hata asipofunga goli lazima utatambua uwepo wake uwanjani...either atafunga au atatoa assist za magoli au ataichachafya timu pinzani mpaka itatoa nafasi kwa wachezaji wengine kung'ara na kufunga...kitu ambacho kwa wachezaji wote waliopita na wa sasa hawana hicho kitu. Wasipofunga basi hawana kingine cha kujivunia, hawaonekani, hata kupiga chenga wachezaji wa timu pinzani ni shida. Mfalme Messi anafanya mengi akiwa uwanjani kama mchezaji.


ALL IN ALL MESSI NI MCHEZAJI BORA KUWAHI KUTOKEA KATIKA ULIMWENGU WA SOKA. NAMSHUKURU MUUMBA NIMEPATA CHA KUHADITHIA KWA WANANGU NA WAJUKUU ZANGU PIA.
 
Hahahahahahahahahahaha

Wenger alisemaje?
 
punguza mhemko kwanza alafu ndio uje
 
Kwa majibu haya ina maana hata wenger amejibu upuuzi kusema Messi ndie mchezaji bora muda wote? Unawazungumzia vipi akina Jose Mourinho, Ancelloti n.k? Wote hawa wamezaliwa miaka 80 kuja juu?
 
Kwasababu ya vile vigoli vya Jan au? mbona cr7 anazitupia kila mechi. Acheni ushabiki wa kinfki
 
hayo mawadho yaqo mkuu hatukupingii.... [emoji125][emoji125]
 
Kwa majibu haya ina maana hata wenger amejibu upuuzi kusema Messi ndie mchezaji bora muda wote? Unawazungumzia vipi akina Jose Mourinho, Ancelloti n.k? Wote hawa wamezaliwa miaka 80 kuja juu?

Messi anawanyima usingizi hawa viumbe. Mi ntakuambia kitu kamanda...hawa watu tena ni wachache sana wanaompinga Messi hata 50 hawafiki humu jamiiforrums. So wanajuwa kabisa Messi ndiye mchezaji ambae hana mpinzani mpaka sasa,, wanajuwa kabisa yeye ni bora uwanjani kama mshambuliaji, kiungo, winger, kua assist,
Kutengeneza nafasi, master of passes, master of freeckick, kudribble, tackling..yani wanajuwa kabisa Messi ni Mchezaji aliyekamilika/kuwahi kutokea...
except ni wivu na chuki zinawasumbua watu hawa. Kama ulivyonena haya maneno INASEMEKANA KUWA WANAOMCHUKIA MESSI WAPO KWENYE HATARI KUBWA SANA YA KUPUNGUZA UWEPO WA MAISHA YAO HAPA DUNIANI.

 
Kwa majibu haya ina maana hata wenger amejibu upuuzi kusema Messi ndie mchezaji bora muda wote? Unawazungumzia vipi akina Jose Mourinho, Ancelloti n.k? Wote hawa wamezaliwa miaka 80 kuja juu?
Nyie jamaa vipi? Kwani wenger ndio fact checker wa mpira?
Wenger alimuona Pele mwaka 1958?
Wenger alikuwepo mwaka 1905?

Semeni mnampenda Messi, hakuna atakaye wazuia msilazimishe facts.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…