Tukubali tukatae, CHADEMA haikuzichanga vema karata zake wakati wa kushughulikia usaliti wa Wabunge 19

Tukubali tukatae, CHADEMA haikuzichanga vema karata zake wakati wa kushughulikia usaliti wa Wabunge 19

Huo ndio ukweli, barua ya 19 Nov 2020 yenye majina ya wateule ilipelekwa na nani? Tunaambiwa ina saini ya KM alisaini kwa idhini ya nani na kama si yeye, fojali hii imefanywa na nani? sioni kiongozi wa Chadema anayehangaika kueleza hili tukawaelewa. Ndio maana tunajiuliza wateule waandamizi 19 waandamane na wapambe wao kwenda Dodoma, bila viongozi na waume zao ambao wengine ni makada wa chama wasijue? Kigogo2014 awe na taarifa viongozi wawe wamelala inawezekanaje hili?
 
Huo ndio ukweli, barua ya 19 Nov 2020 yenye majina ya wateule ilipelekwa na nani? Tunaambiwa ina saini ya KM alisaini kwa idhini ya nani na kama si yeye, fojali hii imefanywa na nani? sioni kiongozi wa Chadema anayehangaika kueleza hili tukawaelewa. Ndio maana tunajiuliza wateule waandamizi 19 waandamane na wapambe wao kwenda Dodoma, bila viongozi na waume zao ambao wengine ni makada wa chama wasijue? Kigogo2014 awe na taarifa viongozi wawe wamelala inawezekanaje hili?
Mkuu, hawa Chadema wanajidai kuruka njia ya kutafuta chanzo cha tatizo na kurukia kwenye jibu la tatizo

Kama watakuwa wanashughurikia migogoro Yao Kwa njia hiyo, tatizo haliwezi kuisha, ikumbukwe 2015 kuliibuka tuhuma za Chama kununuliwa na matokeo yake chanzo cha tatizo hakikuchakatwa ili kutoa jibu sahihi, Leo tena!!
 
Yaani kiongozi unatuaminisha kwamba Chadema wakubali kuhalalisha uhalifu unaofanywa na dola, yaani wahalalishe uhalifu wa dola! Chadema wanaweza kuwa na udhaifu wao lkn ktk hili nawaunga mkono kwa asili 100.

Kama kuna jambo la kipuuzi kuliko lolote ambalo Watanzania hatupaswi kukubali, ni hili la Tume kughushi nyaraka. Serikali inahusika kuchezea uchaguzi mkuu ambao kwa nchi nyingine ingekuwa watu wako mitaani, mnataka leo tuendelee kuunga mkono mambo ambayo yanaweza kusababisha vurugu nchini. Ktk hili Chadema wako sawa asili 100.

Vv
 
Hapo kwenye kuifuatilia saini iliyowaidhinisha kutoka CHADEMA ndio pangekuwa na mkwamo. Jambo linalohusu dola ndani yake kuna konakona nyingi nyengine za kisheria kama hizo. Sio rahisi Kama unavyodhani.
 
Kwa akili zako unahisi HALIMA MDEE, ESTER BULAYA na ESTHER MATIKO aligombea VITI MAALUM..? kama waligombea vipi waligombea nafasi mbili kwa wakati mmoja..?
 
Mkuu, ulichokiandika hapa ndicho nilichoshauri ndicho kiwe cha kwanza kushughurikiwa baada ya hapo kina Mdee wafuate

Kama kuna jambo la kipuuzi kuliko lolote ambalo Watanzania hatupaswi kukubali, ni hili la Tume kughushi nyaraka. Serikali inahusika kuchezea uchaguzi
 
Kwa akili zako unahisi HALIMA MDEE, ESTER BULAYA na ESTHER MATIKO aligombea VITI MAALUM..? kama waligombea vipi waligombea nafasi mbili kwa wakati mmoja..?
Mkuu, tatizo lililopo hapa, ni kutoa maoni bila kupitia Kwanza mada
 
Mkuu mbona unajikanganya!?, mara ujifanye chadema mara mshauri, embu rudia kusoma andiko lako.
 
Mbona mnahangaika Sana na CHADEMA badala ya kushughulikia ufisadi ndani ya CCM?

Mnatumia fedha nyingi za walipa kodi maskini kurubuni na kununua watu, afu unaleta porojo!
Moja ya maoni mabovu kuwahi kutokea hapa JF. Sijui kama hiyo simu unatumia ni ya kwako au ya shemeji yako. Ajabu kabisa.
 
Ila wewe na team yako mmezichanga vyema.
Mdee, Anasema anaenda kufungua kesi ya kufukuzwa chamani bila utaratibu, hoja yake akiijengea kwenye Saini ya katibu mkuu Chadema kwamba, barua ya uteuzi iliidhinishwa na katibu mkuu,

Hoja inakuwa, Je ni kweli ama zote hizo zilikuwa ni Mbinu za kisiasa?

Kama ni kweli, Chadema mtaficha wapi nyuso zenu?

Ni bora sasa Chadedma wangeanza kutafuta ukweli wa barua inayodaiwa kutoka Kwa KM ndipo kina Mdee wafukuzwe
 
Mdee, Anasema anaenda kufungua kesi ya kufukuzwa chamani bila utaratibu, hoja yake akiijengea kwenye Saini ya katibu mkuu Chadema kwamba, barua ya uteuzi iliidhinishwa na katibu mkuu,

Hoja inakuwa, Je ni kweli ama zote hizo zilikuwa ni Mbinu za kisiasa?

Kama ni kweli, Chadema mtaficha wapi nyuso zenu?

Ni bora sasa Chadedma wangeanza kutafuta ukweli wa barua inayodaiwa kutoka Kwa KM ndipo kina Mdee wafukuzwe
Wewe kwa kiwango chako unaona Mdee amefukuzwa bila utaratibu? Kwa akili yako 'saini' ya KM ni hoja ambayo Mdee anaweza kuitumia? Kabisa?
 
Back
Top Bottom