Tukubali tukatae, CHADEMA haikuzichanga vema karata zake wakati wa kushughulikia usaliti wa Wabunge 19

Tukubali tukatae, CHADEMA haikuzichanga vema karata zake wakati wa kushughulikia usaliti wa Wabunge 19

Wewe kwa kiwango chako unaona Mdee amefukuzwa bila utaratibu? Kwa akili yako 'saini' ya KM ni hoja ambayo Mdee anaweza kuitumia? Kabisa?
Hata asipoitumia mkuu, nachoweza kuhitimisha ni kwamba, mpaka kina Mdee wanaenda kuapa, walisimamia kitu kinachoitwa, Barua iliyosainiwa na KM, huoni kwamba sasa ili kuhalalisha uovu wa kina Mdee ni pamoja na kutafuta ukweli juu ya Hilo mkuu
 
Jf's leadership, I'm not happy about the change in the headline in my thread

Tafadhari rudisheni kama ilivyokuwa ikisomeka
 
Hakuna njia bora ya kushughulika na ulaghai unaofanywa na CCM tofauti na hatua ambayo Chadema wamekuwa wakichukua siku zoote .Kumbuka Chadema haipambani na CCM bali muunganiko kati ya CCM na Mamlaka na dola zoote.(Kwa mfano unapojadili swala la nani alisaini barua ya kwenda NEC unataka kutuaminisha kuwa Chadema ndio pia walioshiriki katika kumtoa Nusrat gerezani usiku wa manane?) kwa hiyo ni sahii kabisa kuwatimua kama ilivyofanyika kwa akina Zitto,Mwigamba,Kitilya na wengine wengi na ndio maana chama kimebaki salama baada ya kuwatimua hao bila kusahau Silinde na genge lake .
 
Mdee, Anasema anaenda kufungua kesi ya kufukuzwa chamani bila utaratibu, hoja yake akiijengea kwenye Saini ya katibu mkuu Chadema kwamba, barua ya uteuzi iliidhinishwa na katibu mkuu,

Hoja inakuwa, Je ni kweli ama zote hizo zilikuwa ni Mbinu za kisiasa?

Kama ni kweli, Chadema mtaficha wapi nyuso zenu?

Ni bora sasa Chadedma wangeanza kutafuta ukweli wa barua inayodaiwa kutoka Kwa KM ndipo kina Mdee wafukuzwe
Aende tu Mnyika siyo mjinga kwa kiasi hicho
 
Wewe si ni Paul Sylvester kada mwizi na mtiifu wa CCM..?

Hawa wapinzani waliokuwa wanachelewesha maendeleo ya nchi hii chini ya CCM ya John Pombe wamewezaje ghafla kuwa wa muhimu na kuwataka wawe bungeni?

In ili waendelee kuchelewesha maendeleo ya Magufuli, au siyo?

Na hivi iweje kukosea kwa CHADEMA kushughulikia mgogoro wao ambao unaowamaliza wao wenyewe ili CCM inufaike iiwe taabu na kuwaumiza nyie CCM zaidi badala ya kufurahia kwa sababu CHADEMA inatakuwa ndiyo inakufa..?

Si ndiyo mngeanza kushangilia na kuanza ili Magufuli apate mwanya wa kuanza "kuleta maendeleo kwa kasi" kama anyodaigi...??

What's wrong with you CCM..????

Honestly, muda wote nyie CCM + LB7 huwa kama hamna akili vile na hoja zetu zinasadifu hivyo...!!
 
CHADEMA isingedili moja Kwa moja na kina Mdee, badala yake ingedili na huo mfumo uliosababisha kina Mdee waape bungeni!! Yaani wafuatilie Kwanza hiyo saini inayohusishwa Kutokea kwenye ofs za CHADEMA kwamba ilitokea wapi na nani anahusika.
Inachukua miezi mingapi kufuatilia hicho unachosema? Ulitaka baada ya kuhojiana na ofisi ya KM waje wakupe mrejesho gani? Yaani wewe CCM maandazi ndiye ujitie kushauri? Bure kabisa!!
 
Kama walipewa baraka za chama sasa kwa nini waliitwa kamati ya maadili kwa mahojiano wakalala mbele ingekuwa walipewa baraka hizo si wangeenda maana ushahidi wanao ?
 
Huo ndio ukweli, barua ya 19 Nov 2020 yenye majina ya wateule ilipelekwa na nani? Tunaambiwa ina saini ya KM alisaini kwa idhini ya nani na kama si yeye, fojali hii imefanywa na nani? sioni kiongozi wa Chadema anayehangaika kueleza hili tukawaelewa. Ndio maana tunajiuliza wateule waandamizi 19 waandamane na wapambe wao kwenda Dodoma, bila viongozi na waume zao ambao wengine ni makada wa chama wasijue? Kigogo2014 awe na taarifa viongozi wawe wamelala inawezekanaje hili?
kama akili zako zina afya iliyo njema basi utamuelewa huyu mzee
 
 
Attach hiyo barua iliyowabariki kina Halima Mdee kwenda bungeni.
Akiiatach niite
We ni mtu usiye stuka ufisadi pia ulioko Chadema mnakoona kuko sawa, wenzenu tulishalionaga kitambo tukafunga mdomo, wewe kama ni mpenzi wa hicho chama pole kwa kutokujua au wewe ni mmojawapo pi.
Onyesha huo ufisadi otherwise hayo ni maneno ya khanga yanayozungumzwa na wadada
 
Hao wakina Mdee wametolewa kafara tu ya kutukanwa na kuonekana wasaliti ila walichokifanya ni mpango wa chama na si kwamba et walikurupuka na tamaa zao tu.
 
una hara badala ya kuandika, MATAGA mna upungufu wa lishe, tangu lini mkawatetea watu mliokuwa mnawananga?
 
una hara badala ya kuandika, MATAGA mna upungufu wa lishe, tangu lini mkawatetea watu mliokuwa mnawananga?
Umerogwa na uchama Wewe, na iko siku unaweza kuwa kiongozi wa kitaifa na badala ya kutumikia watu na Taifa, ukatumikia Chama, Wakati mwingine usishikwe Sana na mambo ya Chama, jadili hoja!!
 
Back
Top Bottom