IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,226
- 1,919
ZogoLumansi ndo nini[emoji848]
Itajulikana tu, Nani ni Nani?Unapotokea uchafuzi hauwezi kuwa na mkakati/mpango wa kuukabili. Unafanya maamuzi kwa misingi ya sheri ziliopo kulingana na hali hiyo. Huwezi kupanga namna ya kumkabili mwizi ila utatumia ulichonacho kumkabili kwa jinsi alivyokuvamia.
Mabavu ya mtu,dola,taasisi zizilogeuza majukumu yake na kugeuka mbeleko chama na nyenzo zake.Hoja ya kushindwa Chadema inachamgiwa na vitu vingi tu,
Na Kwa nini hasira za kususa Bunge ambazo hazina hata mshiko, shughurikieni Tume nje na ndani ya Bunge Kwa kuwaruhusu wabunge wenu waingie bungeni
Wapo bungeni kama kawaUshauri kutoka mchawi hauitajiki CHADEMA.
Mgao wako kiasi gani wao wakiwa bungeniWapo bungeni kama kawa
Nyuma ya keyboard na ID fake wengi watazikataa hizi pesa kinyume na hapo sioni wa kuuruka huu mtegoNani anayeweza kukwepa pesa za CCM zikitumwa hapo chadema
Wewe unakwepa ukweli na unajua kuwa mifumo ya sheria haifanyia kazi, kumbuka hata Msekwa mmoja wa waandika katiba wa nchi hii alisema wale covid 19 siyo wabunge sasa unatarajia nini hapo. Chama kimekwisha kutoa hukumu na mifumo na mihimili mingine ingefanya kaziTumia Ubongo wako kutawala maamuzi yako mkuu!
Ukiambiwa kuthibitisha sijui utaanzia wapi, Soma Kwanza nilichoandika na uelewe ndipo uniponde
Ni wakati gani unapaswa uthibitishe Jambo bila ya chembe ya Shaka yoyote?
Hakuna bunge ni uchafu mtupu mamluki watupu bunge liilopita kunamtu alijivua unachama hadharani tukashanga yupo bungeni tena kaletwa na spika hivikweli tunajielewaWewe unakwepa ukweli na unajua kuwa mifumo ya sheria haifanyia kazi, kumbuka hata Msekwa mmoja wa waandika katiba wa nchi hii alisema wale covid 19 siyo wabunge sasa unatarajia nini hapo. Chama kimekwisha kutoa hukumu na mifumo na mihimili mingine ingefanya kazi
Kama kweli usingekuwa mwimba mapambioMkuu sina njaa
Mkuu elewa sina njaa!!Kama kweli usingekuwa mwimba mapambio
Sahihisho.Tukubali ama tukatae, ukweli ni kwamba, CHADEMA haikuliangalia suala hili la kina Mdee na wenzake Kwa umakini kama chama
Hoja ya kina Mdee ni kwamba! waliapa kulitumikia Taifa kama wabunge wa kuteuliwa kwa sababu ipo barua iliyotoka Kwao CHADEMA yenye Baraka zote ya wao kufanya hivyo!
Ndugu zangu ni kwamba!
Pesa ni Adui wa haki, na kiukweli linapokuja swala la pesa, wenye kubaki salama ni wachache Sana na huenda hata tuliomo humu tusipone,
Tukumbuke, CCM Kwa sasa ni taasisi ambayo kiuchumi iko vizuri kuliko Wakati wowote, na kama kweli inatumia pesa zake kuvunja vunja nguvu za wapinzani wake, maana yake vyama pinzani havihitaji kukurupuka kwenye uamzi wake kushughurikia wale wanaodaiwa wanahongwa na CCM
Katika suala ambalo limehusisha wabunge wanawake kutoka Chama cha CHADEMA na namna ambavyo limeshughulikiwa, kuna dosari, na dosari hizi ndizo zitakazoifanya CCM iendelee kutumia fimbo hiyo kuviua Vyama pinzani hasa Vyama vinavyoibukia kupata umaarufu Kwa sababu ya kushindwa namna nzuri ya kudili na mienendo na Tuhuma hizo kutoka CCM
Ikumbukwe pia kwamba, zimekuwepo tu tuhuma za kuituhumu CCM kuwa inanunua watu!! Kina Tomaso tunaka uthibitisho wa Hilo
Ndiyo, Inawezekana kweli kina Mdee wamekula shere na CCM ili kuhujumu nguvu ya Chama Chao, na kama Hilo limefanyika, ndipo unaiona nguvu ya fedha inavyoweza kuangamiza hata taasisi imara kabisa, na tukumbe kipindi cha nyuma, Pesa hiyohiyo iliweza kununua Chama chote cha Chadema kupitia mgombea mmoja wa Uraisi aliyevumaga sana enzi hizo
Na kama CHADEMA wanataka Chama Chao kipone, basi kinatakiwa kudili na Mbinu hizi mbovu kutoka CCM ili kuweza kukinusuru Chama Chao, ni kudili na kila Aina ya michezo mibovu inayosababisha mvurugano kwa Chama Chao! Ile saini inayodaiwa ni ya katibu mkuu chama, ndio ingelikuwa ni Jambo la kuanza nalo ndipo kina Mdee wafuate!!
Mf. Mdee na wenzake, wanasema, wao wamepewa Baraka zote za kushiriki Bunge Kupitia ofsi ya KM Chadema,
CHADEMA isingedili moja Kwa moja na kina Mdee, badala yake ingedili na huo mfumo uliosababisha kina Mdee waape bungeni!! Yaani wafuatilie Kwanza hiyo saini inayohusishwa Kutokea kwenye ofs za CHADEMA kwamba ilitokea wapi na nani anahusika.
Naamini ingebainika, na kama ingebainika, moja Kwa moja inahusisha Chama cha CCM, CCM tungeidharau watu wengi sana na endapo wangelikumbatia Kwa namna yoyote Ile, wao CCM lingewaletea matatizo makubwa ya kuaminika Kwa wananchi kuhusu swala la kushughurikia Rushwa nchini.
Kilicho fanyika Kwa CHADEMA sasa, ni kujaribu kufunika kidonda Kwa bandage bila dawa yake, bado kina Mdee wengine wataendelea kupigwa pesa humo ndani ya CHADEMA na kuendelea kufukuzwa, Zifedhehesheni Kwanza njia mbovu mnazozituhumu Kutokea CCM.
CHADEMA tujitahidi Sana kudili na mifumo na ujanja ujanja wa CCM kutaka kuuwa Vyama vya Upinzani nchini, na endapo tutakuwa tunadili na tunodhani ni wasaliti tu wa chama, pengine huo mchezo Usiwe na kikomo, Ukiniuliza kwamba kwamba, ni Nani anayeweza kukwepa pesa za CCM zikitumwa hapo chadema, nitakwambia, Ni Lissu pekee ambaye anaweza kuzikwepa angalau Kwa 70% lakini wengine wote, hakuna atakwepa pesa hizo.
Kataeni ubaya unaotengenezwa na CCM na kuushughurikia Kisha kuanika na kutilia mashaka juu ya kile CCM wanawaaminisha wananchi na Dunia kuwa wanashughurikia na kaikomesha Rushwa, mkidhibiti Hilo mtakiponya Chama chenu na Vyama vingine vya upinzani, la sivyo zitaendelea kuwa ni tuhuma tu zisizo na msingi wowote na mtaendelea kutimua wanachama wengine wengi tu hapo kama kweli CCM inacheza mchezo huo.
Usipoitoa CCM madarakani hujaanza safari ya kwenda Ikulu, sasa hapo vita yako itakuwa juu ya Nani kama si vita Kati yako na CCMSahihisho.
CHADEMA kina ajenda ya wananchi na nchi na si kushindana na CCM. Kinapingana na CCM kwa hoja zinazoshuhudiwa na wananchi wote.
Acha uongo Barua haikuandikwa na ChademaTukubali ama tukatae, ukweli ni kwamba, CHADEMA haikuliangalia suala hili la kina Mdee na wenzake Kwa umakini kama chama
Hoja ya kina Mdee ni kwamba! waliapa kulitumikia Taifa kama wabunge wa kuteuliwa kwa sababu ipo barua iliyotoka Kwao CHADEMA yenye Baraka zote ya wao kufanya hivyo!
Ndugu zangu ni kwamba!
Pesa ni Adui wa haki, na kiukweli linapokuja swala la pesa, wenye kubaki salama ni wachache Sana na huenda hata tuliomo humu tusipone,
Tukumbuke, CCM Kwa sasa ni taasisi ambayo kiuchumi iko vizuri kuliko Wakati wowote, na kama kweli inatumia pesa zake kuvunja vunja nguvu za wapinzani wake, maana yake vyama pinzani havihitaji kukurupuka kwenye uamzi wake kushughurikia wale wanaodaiwa wanahongwa na CCM
Katika suala ambalo limehusisha wabunge wanawake kutoka Chama cha CHADEMA na namna ambavyo limeshughulikiwa, kuna dosari, na dosari hizi ndizo zitakazoifanya CCM iendelee kutumia fimbo hiyo kuviua Vyama pinzani hasa Vyama vinavyoibukia kupata umaarufu Kwa sababu ya kushindwa namna nzuri ya kudili na mienendo na Tuhuma hizo kutoka CCM
Ikumbukwe pia kwamba, zimekuwepo tu tuhuma za kuituhumu CCM kuwa inanunua watu!! Kina Tomaso tunaka uthibitisho wa Hilo
Ndiyo, Inawezekana kweli kina Mdee wamekula shere na CCM ili kuhujumu nguvu ya Chama Chao, na kama Hilo limefanyika, ndipo unaiona nguvu ya fedha inavyoweza kuangamiza hata taasisi imara kabisa, na tukumbe kipindi cha nyuma, Pesa hiyohiyo iliweza kununua Chama chote cha Chadema kupitia mgombea mmoja wa Uraisi aliyevumaga sana enzi hizo
Na kama CHADEMA wanataka Chama Chao kipone, basi kinatakiwa kudili na Mbinu hizi mbovu kutoka CCM ili kuweza kukinusuru Chama Chao, ni kudili na kila Aina ya michezo mibovu inayosababisha mvurugano kwa Chama Chao! Ile saini inayodaiwa ni ya katibu mkuu chama, ndio ingelikuwa ni Jambo la kuanza nalo ndipo kina Mdee wafuate!!
Mf. Mdee na wenzake, wanasema, wao wamepewa Baraka zote za kushiriki Bunge Kupitia ofsi ya KM Chadema,
CHADEMA isingedili moja Kwa moja na kina Mdee, badala yake ingedili na huo mfumo uliosababisha kina Mdee waape bungeni!! Yaani wafuatilie Kwanza hiyo saini inayohusishwa Kutokea kwenye ofs za CHADEMA kwamba ilitokea wapi na nani anahusika.
Naamini ingebainika, na kama ingebainika, moja Kwa moja inahusisha Chama cha CCM, CCM tungeidharau watu wengi sana na endapo wangelikumbatia Kwa namna yoyote Ile, wao CCM lingewaletea matatizo makubwa ya kuaminika Kwa wananchi kuhusu swala la kushughurikia Rushwa nchini.
Kilicho fanyika Kwa CHADEMA sasa, ni kujaribu kufunika kidonda Kwa bandage bila dawa yake, bado kina Mdee wengine wataendelea kupigwa pesa humo ndani ya CHADEMA na kuendelea kufukuzwa, Zifedhehesheni Kwanza njia mbovu mnazozituhumu Kutokea CCM.
CHADEMA tujitahidi Sana kudili na mifumo na ujanja ujanja wa CCM kutaka kuuwa Vyama vya Upinzani nchini, na endapo tutakuwa tunadili na tunodhani ni wasaliti tu wa chama, pengine huo mchezo Usiwe na kikomo, Ukiniuliza kwamba kwamba, ni Nani anayeweza kukwepa pesa za CCM zikitumwa hapo chadema, nitakwambia, Ni Lissu pekee ambaye anaweza kuzikwepa angalau Kwa 70% lakini wengine wote, hakuna atakwepa pesa hizo.
Kataeni ubaya unaotengenezwa na CCM na kuushughurikia Kisha kuanika na kutilia mashaka juu ya kile CCM wanawaaminisha wananchi na Dunia kuwa wanashughurikia na kaikomesha Rushwa, mkidhibiti Hilo mtakiponya Chama chenu na Vyama vingine vya upinzani, la sivyo zitaendelea kuwa ni tuhuma tu zisizo na msingi wowote na mtaendelea kutimua wanachama wengine wengi tu hapo kama kweli CCM inacheza mchezo huo.
Kwa taarifaUsipoitoa CCM madarakani hujaanza safari ya kwenda Ikulu, sasa hapo vita yako itakuwa juu ya Nani kama si vita Kati yako na CCM
Kwa taarifa yako waulize wateule wa CCM hakuna wanaowanusa kwenye utendaji wa kila siku. Huku mitaani kwetu CHADEMA inafanya kazi na wananchi hawana habari na serikali ya CCM.Usipoitoa CCM madarakani hujaanza safari ya kwenda Ikulu, sasa hapo vita yako itakuwa juu ya Nani kama si vita Kati yako na CCM
Unauhakika upi?Acha uongo Barua haikuandikwa na Chadema
Inakuhusu?Unauhakika upi?
Licha ya hivyo, kina Mdee walishakata rufaa Yao miezi miwili sasa inaelekea, mbona kimya tu hapi Ufipa?
Huoni kwamba kuna kitu nyuma ya pazia?
Tukubali ama tukatae, ukweli ni kwamba, CHADEMA haikuliangalia suala hili la kina Mdee na wenzake Kwa umakini kama chama
Hoja ya kina Mdee ni kwamba! waliapa kulitumikia Taifa kama wabunge wa kuteuliwa kwa sababu ipo barua iliyotoka Kwao CHADEMA yenye Baraka zote ya wao kufanya hivyo!
Ndugu zangu ni kwamba!
Pesa ni Adui wa haki, na kiukweli linapokuja swala la pesa, wenye kubaki salama ni wachache Sana na huenda hata tuliomo humu tusipone,
Tukumbuke, CCM Kwa sasa ni taasisi ambayo kiuchumi iko vizuri kuliko Wakati wowote, na kama kweli inatumia pesa zake kuvunja vunja nguvu za wapinzani wake, maana yake vyama pinzani havihitaji kukurupuka kwenye uamzi wake kushughurikia wale wanaodaiwa wanahongwa na CCM
Katika suala ambalo limehusisha wabunge wanawake kutoka Chama cha CHADEMA na namna ambavyo limeshughulikiwa, kuna dosari, na dosari hizi ndizo zitakazoifanya CCM iendelee kutumia fimbo hiyo kuviua Vyama pinzani hasa Vyama vinavyoibukia kupata umaarufu Kwa sababu ya kushindwa namna nzuri ya kudili na mienendo na Tuhuma hizo kutoka CCM
Ikumbukwe pia kwamba, zimekuwepo tu tuhuma za kuituhumu CCM kuwa inanunua watu!! Kina Tomaso tunaka uthibitisho wa Hilo
Ndiyo, Inawezekana kweli kina Mdee wamekula shere na CCM ili kuhujumu nguvu ya Chama Chao, na kama Hilo limefanyika, ndipo unaiona nguvu ya fedha inavyoweza kuangamiza hata taasisi imara kabisa, na tukumbe kipindi cha nyuma, Pesa hiyohiyo iliweza kununua Chama chote cha Chadema kupitia mgombea mmoja wa Uraisi aliyevumaga sana enzi hizo
Na kama CHADEMA wanataka Chama Chao kipone, basi kinatakiwa kudili na Mbinu hizi mbovu kutoka CCM ili kuweza kukinusuru Chama Chao, ni kudili na kila Aina ya michezo mibovu inayosababisha mvurugano kwa Chama Chao! Ile saini inayodaiwa ni ya katibu mkuu chama, ndio ingelikuwa ni Jambo la kuanza nalo ndipo kina Mdee wafuate!!
Mf. Mdee na wenzake, wanasema, wao wamepewa Baraka zote za kushiriki Bunge Kupitia ofsi ya KM Chadema,
CHADEMA isingedili moja Kwa moja na kina Mdee, badala yake ingedili na huo mfumo uliosababisha kina Mdee waape bungeni!! Yaani wafuatilie Kwanza hiyo saini inayohusishwa Kutokea kwenye ofs za CHADEMA kwamba ilitokea wapi na nani anahusika.
Naamini ingebainika, na kama ingebainika, moja Kwa moja inahusisha Chama cha CCM, CCM tungeidharau watu wengi sana na endapo wangelikumbatia Kwa namna yoyote Ile, wao CCM lingewaletea matatizo makubwa ya kuaminika Kwa wananchi kuhusu swala la kushughurikia Rushwa nchini.
Kilicho fanyika Kwa CHADEMA sasa, ni kujaribu kufunika kidonda Kwa bandage bila dawa yake, bado kina Mdee wengine wataendelea kupigwa pesa humo ndani ya CHADEMA na kuendelea kufukuzwa, Zifedhehesheni Kwanza njia mbovu mnazozituhumu Kutokea CCM.
CHADEMA tujitahidi Sana kudili na mifumo na ujanja ujanja wa CCM kutaka kuuwa Vyama vya Upinzani nchini, na endapo tutakuwa tunadili na tunodhani ni wasaliti tu wa chama, pengine huo mchezo Usiwe na kikomo, Ukiniuliza kwamba kwamba, ni Nani anayeweza kukwepa pesa za CCM zikitumwa hapo chadema, nitakwambia, Ni Lissu pekee ambaye anaweza kuzikwepa angalau Kwa 70% lakini wengine wote, hakuna atakwepa pesa hizo.
Kataeni ubaya unaotengenezwa na CCM na kuushughurikia Kisha kuanika na kutilia mashaka juu ya kile CCM wanawaaminisha wananchi na Dunia kuwa wanashughurikia na kaikomesha Rushwa, mkidhibiti Hilo mtakiponya Chama chenu na Vyama vingine vya upinzani, la sivyo zitaendelea kuwa ni tuhuma tu zisizo na msingi wowote na mtaendelea kutimua wanachama wengine wengi tu hapo kama kweli CCM inacheza mchezo huo.