Tukubali tukatae, CHADEMA haikuzichanga vema karata zake wakati wa kushughulikia usaliti wa Wabunge 19

Unapotokea uchafuzi hauwezi kuwa na mkakati/mpango wa kuukabili. Unafanya maamuzi kwa misingi ya sheri ziliopo kulingana na hali hiyo. Huwezi kupanga namna ya kumkabili mwizi ila utatumia ulichonacho kumkabili kwa jinsi alivyokuvamia.
 
Waliozichanga vema hapa ni ACT pekee, siasa sio kelele na kuzila
 
Unapotokea uchafuzi hauwezi kuwa na mkakati/mpango wa kuukabili. Unafanya maamuzi kwa misingi ya sheri ziliopo kulingana na hali hiyo. Huwezi kupanga namna ya kumkabili mwizi ila utatumia ulichonacho kumkabili kwa jinsi alivyokuvamia.
Itajulikana tu, Nani ni Nani?

Tuliwaambia hamkuelewa, Chama kikiwa kimebebwa na mtu na sio watu, matokeo yake ndio haya
 
Hoja ya kushindwa Chadema inachamgiwa na vitu vingi tu,

Na Kwa nini hasira za kususa Bunge ambazo hazina hata mshiko, shughurikieni Tume nje na ndani ya Bunge Kwa kuwaruhusu wabunge wenu waingie bungeni
Mabavu ya mtu,dola,taasisi zizilogeuza majukumu yake na kugeuka mbeleko chama na nyenzo zake.
 
Tumia Ubongo wako kutawala maamuzi yako mkuu!

Ukiambiwa kuthibitisha sijui utaanzia wapi, Soma Kwanza nilichoandika na uelewe ndipo uniponde

Ni wakati gani unapaswa uthibitishe Jambo bila ya chembe ya Shaka yoyote?
Wewe unakwepa ukweli na unajua kuwa mifumo ya sheria haifanyia kazi, kumbuka hata Msekwa mmoja wa waandika katiba wa nchi hii alisema wale covid 19 siyo wabunge sasa unatarajia nini hapo. Chama kimekwisha kutoa hukumu na mifumo na mihimili mingine ingefanya kazi
 
Hakuna bunge ni uchafu mtupu mamluki watupu bunge liilopita kunamtu alijivua unachama hadharani tukashanga yupo bungeni tena kaletwa na spika hivikweli tunajielewa
 
Sahihisho.
CHADEMA kina ajenda ya wananchi na nchi na si kushindana na CCM. Kinapingana na CCM kwa hoja zinazoshuhudiwa na wananchi wote.
 
Sahihisho.
CHADEMA kina ajenda ya wananchi na nchi na si kushindana na CCM. Kinapingana na CCM kwa hoja zinazoshuhudiwa na wananchi wote.
Usipoitoa CCM madarakani hujaanza safari ya kwenda Ikulu, sasa hapo vita yako itakuwa juu ya Nani kama si vita Kati yako na CCM
 
Acha uongo Barua haikuandikwa na Chadema
 
Usipoitoa CCM madarakani hujaanza safari ya kwenda Ikulu, sasa hapo vita yako itakuwa juu ya Nani kama si vita Kati yako na CCM
Kwa taarifa
Usipoitoa CCM madarakani hujaanza safari ya kwenda Ikulu, sasa hapo vita yako itakuwa juu ya Nani kama si vita Kati yako na CCM
Kwa taarifa yako waulize wateule wa CCM hakuna wanaowanusa kwenye utendaji wa kila siku. Huku mitaani kwetu CHADEMA inafanya kazi na wananchi hawana habari na serikali ya CCM.
 
Acha uongo Barua haikuandikwa na Chadema
Unauhakika upi?

Licha ya hivyo, kina Mdee walishakata rufaa Yao miezi miwili sasa inaelekea, mbona kimya tu hapi Ufipa?

Huoni kwamba kuna kitu nyuma ya pazia?
 
Unauhakika upi?

Licha ya hivyo, kina Mdee walishakata rufaa Yao miezi miwili sasa inaelekea, mbona kimya tu hapi Ufipa?

Huoni kwamba kuna kitu nyuma ya pazia?
Inakuhusu?
Kama unatafuta Habari za CHADEMA, waulize viongozi wakupe taarifa za uhakika.
Kuna kitu kwako tu, tujuavyo sisi hao viti maalum si wanachama wa CHADEMA kwa taarifa rasmi za mwandishi.
 
shida cyo bandage na dawa shida ni docta muhusika anaweza kukupa dawa fake ikawa sawa na kutokuhudumia,mbogamboga mtachekelea kwa hilo ila tukumbuke sasa hv mafuta, cement n.k c chadema pekee wanaokoma,jk alisema za kuambiwa changanya na zako afu tuendeleee kujongea tanuri la moto kwa pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…