Tukubali tukatae, ila anayeiweza Wizara ya Afya ni Dr Faustine Ndugulile tu

Tukubali tukatae, ila anayeiweza Wizara ya Afya ni Dr Faustine Ndugulile tu

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Screenshot_20240818_103815_Samsung Notes.jpg
Screenshot_20240818_103837_Samsung Notes.jpg
Screenshot_20240818_104102_Samsung Notes.jpg
Screenshot_20240818_104143_Samsung Notes.jpg


Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
 
View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Magufuli ndio alimpa hiyo iliyokuwa ya Nape
 
View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Huyo mwamba anakwenda kuwa mkurugenzi wa afya wa WHO Africa

Tumuombee
 
View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Ccm haitakagi akili kubwa na watu wenye experience ndo yale yale ya kumpa wizara ya michezo Mwana FA kumbe anachongumza na kwenye practise haviendani au kashindwa kuvi apply kabaki kuudhuria events tu.
 
View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Naona unampigia debe kwa nguvu zote kabisa.
 
Naona unampigia debe kwa nguvu zote kabisa.
Hapana Mkuu. Mi kweli namfahamu lakini nimelinganisha namna ambavyo Taifa linahangaika kumuweka Mwalimu Mstaafu (Jenister) kusimamia sekta wakati wataalamu wetu wapo wa kumwaga.

Angalia sasa anakwenda kutumikia Bara la Afrika wakati sisi tumemchukulia powa
 
View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Mbn gafla sana
 
Dr. Faustin Ndungulile ni mzuri sana kwenye taaluma n.k ila sio mahiri sana kwenye siasa za bongo!

Kigamboni kuna issue pale kivukoni feri za pantoni mbovu na gharama za kuvuka daraja la Nyerere ameshindwa kuzitatua.

Sidhani kama atarudi 2025 ubunge kigamboni akomae huko WHO
 
Hapana Mkuu. Mi kweli namfahamu lakini nimelinganisha namna ambavyo Taifa linahangaika kumuweka Mwalimu Wa Mstaafu (Jenister) kusimamia sekta wakati wataalamu wetu wapo wa kumwaga.

Angalia sasa anakwenda kutumikia Bara la Afrika wakati sisi tumemchukulia powa
Kumbuka: Katika nchi yoyote ile yenye Utawala wenye itikadi ya Ukomunisti au Ujamaa, Watu wenye elimu (akili) kubwa, wenye uwezo mkubwa kiutendaji au wenye weledi na ubunifu mkubwa huwa wanahesabika kuwa ni Maadui wakubwa zaidi wa Utawala uliopo madarakani.
Mifano hai ipo mingi sana hapa duniani kuhusiana na Hoja hii.
 
View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Kiongozi bora hupimwa kwa matendo yake ya nyuma.

Kwa hiyo basi, huyu aliwahi kupewa Wizara ya mawasiliano akaichafua!

Bei ya mabando ilikuwa imetulia kwa miaka mingi, alivyoingia yeye tu mabando hayoo!

Kusema kwa kuwa ana taaluma ya afya akipewa uwaziri atafanya cha maana, hawezi.

Bora ya kumrejesha Gwajima aliyeonesha amsha amsha kisha wakaja kumtoa kimazabe!
 
View attachment 3073123View attachment 3073124View attachment 3073125View attachment 3073126

Mwendazake hakuwahi kumpa u-full minister wa Wizara ya afya. Na Rais Samia alimpa mawasiliano kisha akamuacha. Lakini huyu ndiye angeweza kuwa waziri bora sana kwa Wizara ya Afya Tanzania.

Sasa hivi yeye ni candidate kwenye position ya Director of WHO- Africa region. Tumuombee apate. Asipopata basi tumuombe Rais Samia amalize tofauti zake na huyu Mbunge wa Kigamboni.

Kwa namna Wizara ya Afya ilivyo majanga sasa hivi baada ya Ummy kuboronga sioni Jenister Mhagama akifanikisha chochote. Mpeni miezi 6 tu mtairudia hiii thread.
Ana bajeti yake mwenyewe? SHida ya hili Taifa ni watu au ni sera za kimavimavi za CCM? hata Yesu akioeaa hio wizara still hakutakuwa na mabadiliko, kunacgi takiwa nu mkoloni mweusi aondoke basi
 
Back
Top Bottom