Tukubali tukatae, ila anayeiweza Wizara ya Afya ni Dr Faustine Ndugulile tu

Tukubali tukatae, ila anayeiweza Wizara ya Afya ni Dr Faustine Ndugulile tu

Mh! Hiyo CV inaweza kuwa ndio mwiba kwa hao wateuaji. Kama jamaa ni kichwa na ni dokta kiuhalisia, unahisi anaweza kupewa uwaziri wa afya ili afuate utaalamu zaidi wakati kuna muda mambo yanatakiwa yaende kinyume nyume humu bongo? Hapa hatupo nchi zilizosiriasi zinazotanguliza utaalamu, huku ni siasa.

Kitu kingine, unasema mama amalize tofauti za huyu jamaa. Kwani walishawahi kuwa na tofauti? Iweje mama apitishe jina la huyo bwana kwenda WHO kama wana tofauti?
Tayari kapata kazi kama WHO DIRECTOR wa Africa
 
Yule mwanamama ambaye Anakwapua macho kama kaingiwa na mchanga alikuwa anapuyanga tu.

Kaingiwa huyu f6 failure analeta matamko ya kizuzu, eti mgonjwa ahudumiwe ndani ya masaa 3. Hajui kuwa kwenye tiba kuna procedures nyingine huwa zinatumia masaa 8.
 
Wapii watu kwa kujisifia uongo.

Taarifa zake tunazo ila tunamsitiri tu.
 
Wapii watu kwa kujisifia uongo.

Taarifa zake tunazo ila tunamsitiri tu.
Una taarifa gani wewe? Mwenzio amekuwa boss wa Afya kwa bara zima la Afrika. Taarifa hiyo inakusaidia nini?
 
Back
Top Bottom