900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
MAZA aliwakosea sana chadema na watanzania maza ni msaliti kawasaliti watanzania,katiba ambayo yeye aliwahi kuwa makamu mwenyekiti na kuhakikisha linapatikana leo anageuka kisa yupo kwenye kiti cha ulaji cha mfalmeAmeingia madarakani tukiwa na hali mbaya sana. Maana tulikuwa tumevunjiliwa mbali na Ccm yao.
Tukapewa ruhusa ili tufanye mikutano ya kidigital ili alau hata kidogo kuwe na nguvu ya upinzani. Badala yake ni kutulia nafasi hii vibaya. Kumletea dharau na kumtishia.
Sasa ameonyesha ukuu wa mamlaka ya urais kila kamanda amenuna. This is shamefulness.
nchi hii haijawahi kuwa na hali nzuri hata siku moja tukiwa chini ya ccmAmeingia madarakani tukiwa na hali mbaya sana. Maana tulikuwa tumevunjiliwa mbali na Ccm yao.
Tukapewa ruhusa ili tufanye mikutano ya kidigital ili alau hata kidogo kuwe na nguvu ya upinzani. Badala yake ni kutulia nafasi hii vibaya. Kumletea dharau na kumtishia.
Sasa ameonyesha ukuu wa mamlaka ya urais kila kamanda amenuna. This is shamefulness.
Wewe ni taga in case you don't know.Mimi sina timu wala sishikiwi akili vipi wewe upo timu ipo ya Kigogo au Lissu nasikia kimenuka.
Una akili fupi kupindukia.Unaelewa kuwa nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria na wala siyo kwa matamko ya mtu?Rais anatoa ruhusa ya mikutano ya kisiasa kwani yeye amekuwa katiba na sheria?ukapewa ruhusa ili tufanye mikutano ya kidigital ili alau hata kidogo kuwe na nguvu ya upinzani. Badala yake ni kutulia nafasi hii vibaya. Kumletea dharau na kumtishia.
Kigogo anamuita Lissu, shoga hii kwako kama mateka wa Mbowe unaichukuliaje.Wewe ni taga in case you don't know.
Wewe Una BANGE siyo bure. Uliona wapi mpinzani wako akawa wa kukupangia ni lini uanze kujiimarisha ?!. Mama afanye kazi zake za u Rais . Hakuna anayemzuia na aviache vyama vifanye kazi yao ya kujiimarisha .Ameingia madarakani tukiwa na hali mbaya sana. Maana tulikuwa tumevunjiliwa mbali na Ccm yao.
Tukapewa ruhusa ili tufanye mikutano ya kidigital ili alau hata kidogo kuwe na nguvu ya upinzani. Badala yake ni kutulia nafasi hii vibaya. Kumletea dharau na kumtishia.
Sasa ameonyesha ukuu wa mamlaka ya urais kila kamanda amenuna. This is shamefulness.
Kama Kigogo 14 anamtukana kila mtu bila kujali mpaka Rais wa nchi. Unashangaa Lisu kutukanwa ?!.Kigogo anamuita Lissu, shoga hii kwako kama mateka wa Mbowe unaichukuliaje.
Good question.Kigogo anamuita Lissu, shoga hii kwako kama mateka wa Mbowe unaichukuliaje.
Kamanda unajifanya hujui nini kilifanyika ili Chadema yetu ipumue?Wewe Una BANGE siyo bure. Uliona wapi mpinzani wako akawa wa kukupangia ni lini uanze kujiimarisha ?!. Mama afanye kazi zake za u Rais . Hakuna anayemzuia na aviache vyama vifanye kazi yao ya kujiimarisha .
Mbaazi zikikosa maua husingizia jua. Ccm maendeleo kukwama wasisimgiziwe Cdm na harakati zao za katiba mpya.
Huyo aliyejifanya kuiua Cdm yuko wapi ?! 6f under . Hata mama hawezi fanikiwa kwa hila chafuKamanda unajifanya hujui nini kilifanyika ili Chadema yetu ipumue?
huna akiliAmeingia madarakani tukiwa na hali mbaya sana. Maana tulikuwa tumevunjiliwa mbali na CCM yao.
Tukapewa ruhusa ili tufanye mikutano ya kidigital ili alau hata kidogo kuwe na nguvu ya upinzani. Badala yake ni kutulia nafasi hii vibaya. Kumletea dharau na kumtishia.
Sasa ameonyesha ukuu wa mamlaka ya urais kila kamanda amenuna. This is shamefulness.
Mikutano ya kidijitali kivipi?
mbona reaction yako ipo mbali hvo.Umetumwa au uliagizwa?
Una uhakika na unacho kinena?
Endelea kutumika lkn wanaoteuliwa ni watoto wa viongozi Mkeka wa wakurugenzi
Hujui maana ya kidijitaliMikutano ya kidijitali kivipi?
Chadema tunakwenda kidijitali.Hajui alinenalo huyo hata haeleweki
Wewe ndiye chadema unayefikiri kwa kutumia kichwa cha kibinadamu hata mimi ni chadema pia tumemkosea sana mama yetu kwa kijivimbisha kichwa na kupima kina cha bahari kwa kidole gumba, Tanzania tumepata rais muelewa sana ni baraka ya kipekee sana na tunatoa shukrani kwa muumba wetu sasa tusimkosee utii na heshima, laana ya mama ni mbaya sanaAmeingia madarakani tukiwa na hali mbaya sana. Maana tulikuwa tumevunjiliwa mbali na CCM yao.
Tukapewa ruhusa ili tufanye mikutano ya kidigital ili alau hata kidogo kuwe na nguvu ya upinzani. Badala yake ni kutumia nafasi hii vibaya. Kumletea dharau na kumtishia.
Sasa ameonyesha ukuu wa mamlaka ya urais kila kamanda amenuna. This is shamefulness.
Machoko mumekutanaGood question.
Kindakindaki BWANA ,eti chadema ilikua imevunjiliwa mbali,? Chama kilichovunjiliwa mbali unajiangaisha na nini, kukimbia na maboksi ya kura?Ameingia madarakani tukiwa na hali mbaya sana. Maana tulikuwa tumevunjiliwa mbali na CCM yao.
Tukapewa ruhusa ili tufanye mikutano ya kidigital ili walau hata kidogo kuwe na nguvu ya upinzani. Badala yake ni kutumia nafasi hii vibaya. Kumletea dharau na kumtishia
Sasa ameonyesha ukuu wa mamlaka ya urais kila kamanda amenuna.
This is shamefulness.