Sasa refa alipuliza kwa faulo ipi iliyochezwa? Kitendo cha yeye kupuliza kuwa ni faulo ndicho kilichoinyima pamba bao lake halali, je faulo ilitoka wapi pale?Kuweka mambo sawa, sio kwamba goli lilikataliwa, kabla ya hilo unaloita goli kufungwa, tayari refa alipuliza filimbi ya faulo dhidi ya golikipa wa Simba, hivyo tukio lolote baada ya filimbi ya refa linakuwa invalid... Shida tu ni kwenye ile faulo, hakukuonekana kuwa na faulo pale.
Mkuu kwenye mechi ya leo hakuna goli la pamba lililokataliwa bali pamba walifunga baada ya filimbi kupulizwa, hapo ilibidi uulize kwanini filimbi ilipulizwa wakati hakuna faulo iliyotendeka, ukishapuliza filimbi tu mchezo unakuwa umesimama.
Filimbi ilipigwa kwa faulo ipi iliyotokea pale?Lilifungwa baada ya filimbi kupigwa au baada ya gori kufungwa?
Majibu please.
All the best
Wanacho chama chao cha waamuzi kimekuwa kikiwalea wanapoendelea kufanya makosa hasa hasa kuwapendelea wakubwaTatizo ni TFF hawawachukulii hatua marefa, (adhabu sitahiki)
Kwani uchaguzi serekali za mitaa kwanini wapinzani wameenguliwa !.Pamba kafunga goli safi kabisa lakini cha ajabu mwamuzi kakataa goli akadai kipa kaguswa na mchezaji wa Pamba wakati kipa na beki wake waligongana wao wenyewe!
Mi nadhani kwa sasa waamuzi wa Tanzania sio kwamba awajui Sheria bali njaa zinawasumbua njaa ni mbaya sana kwa waamuzi wetu awa wanatuharibia Mpira!
Kinachotakiwa ni kelele kama hiziWanacho chama chao cha waamuzi kimekuwa kikiwalea wanapoendelea kufanya makosa hasa hasa kuwapendelea wakubwa
Kila mtu ashinde mechi zake.Risiti tunazitunza na tusije kuona mnabwata kipindi wenzenu pia wakifaidika na marefa!
Sawa Haina shida, ole wako uje kulalamika Tena hapaKila mtu ashinde mechi zake.
Filimbi ilipulizwa kabla ya Goli...ndio Tatizo la kuangalizia Mpira Vibanda umizaPamba kafunga goli safi kabisa lakini cha ajabu mwamuzi kakataa goli akadai kipa kaguswa na mchezaji wa Pamba wakati kipa na beki wake waligongana wao wenyewe!
Mi nadhani kwa sasa waamuzi wa Tanzania sio kwamba awajui Sheria bali njaa zinawasumbua njaa ni mbaya sana kwa waamuzi wetu awa wanatuharibia Mpira!
Bado unalia au umenyamaza wewe chura?Pamba kafunga goli safi kabisa lakini cha ajabu mwamuzi kakataa goli akadai kipa kaguswa na mchezaji wa Pamba wakati kipa na beki wake waligongana wao wenyewe!
Mi nadhani kwa sasa waamuzi wa Tanzania sio kwamba awajui Sheria bali njaa zinawasumbua njaa ni mbaya sana kwa waamuzi wetu awa wanatuharibia Mpira!
Masikini unaongea kwa uchungu sana, jitahidi unywe na maji upunguze jazba🤣🤣Sasa refa alipuliza kwa faulo ipi iliyochezwa? Kitendo cha yeye kupuliza kuwa ni faulo ndicho kilichoinyima pamba bao lake halali, je faulo ilitoka wapi pale?
Kwani ile penati aliyonyimwa Kibu siku ya Simba na Yanga ilikuwa na tatizo gani?Pamba kafunga goli safi kabisa lakini cha ajabu mwamuzi kakataa goli akadai kipa kaguswa na mchezaji wa Pamba wakati kipa na beki wake waligongana wao wenyewe!
Mi nadhani kwa sasa waamuzi wa Tanzania sio kwamba awajui Sheria bali njaa zinawasumbua njaa ni mbaya sana kwa waamuzi wetu awa wanatuharibia Mpira!
Wajinga wenzio mnaoshinda nao kwenye vilabu vya gongo watakuja kulalamika hapa mi narudia tena kila mtu ashinde mechi zake.Sawa Haina shida, ole wako uje kulalamika Tena hapa
Muwe mnaelewa somo sio kurukiarukia tu kama walevi,,nimeuliza iyo filimbi ilipigwa kwa faulo ipi?Filimbi ilipulizwa kabla ya Goli...ndio Tatizo la kuangalizia Mpira Vibanda umiza
Kumbe ninalia,,ngoja mtakuja kulia zaidiBado unalia au umenyamaza wewe chura?
Umeongea fact mkuuKuweka mambo sawa, sio kwamba goli lilikataliwa, kabla ya hilo unaloita goli kufungwa, tayari refa alipuliza filimbi ya faulo dhidi ya golikipa wa Simba, hivyo tukio lolote baada ya filimbi ya refa linakuwa invalid... Shida tu ni kwenye ile faulo, hakukuonekana kuwa na faulo pale.
Unafikiri ni kwa nini hawachaguliwi kuchezesha mechi za Kimataifa? Ni kwa sababu most of them are corrupt and incompetent.Pamba kafunga goli safi kabisa lakini cha ajabu mwamuzi kakataa goli akadai kipa kaguswa na mchezaji wa Pamba wakati kipa na beki wake waligongana wao wenyewe!
Mi nadhani kwa sasa waamuzi wa Tanzania sio kwamba awajui Sheria bali njaa zinawasumbua njaa ni mbaya sana kwa waamuzi wetu awa wanatuharibia Mpira!
Una akili sana mzeeMwamuzi kakataa goli vipi wakati kilichotangulia ni kipenga cha foul? Baada ya kuamua kuwa foul zilipita sekunde kadhaa mchezaji WA Pamba kupiga kichwa na wachezaji waliosikia kipenga hawakujishulisha. Mkosoe Kwa kuamua Ile kuwa foul na sio Kwa kukataa goli.