Tukubali waamuzi wa Tanzania ni janga la taifa lile goli walilofunga pamba lilikuwa na tatizo gani?

Tukubali waamuzi wa Tanzania ni janga la taifa lile goli walilofunga pamba lilikuwa na tatizo gani?

Kuweka mambo sawa, sio kwamba goli lilikataliwa, kabla ya hilo unaloita goli kufungwa, tayari refa alipuliza filimbi ya faulo dhidi ya golikipa wa Simba, hivyo tukio lolote baada ya filimbi ya refa linakuwa invalid... Shida tu ni kwenye ile faulo, hakukuonekana kuwa na faulo pale.
Sasa refa alipuliza kwa faulo ipi iliyochezwa? Kitendo cha yeye kupuliza kuwa ni faulo ndicho kilichoinyima pamba bao lake halali, je faulo ilitoka wapi pale?
 
Mkuu kwenye mechi ya leo hakuna goli la pamba lililokataliwa bali pamba walifunga baada ya filimbi kupulizwa, hapo ilibidi uulize kwanini filimbi ilipulizwa wakati hakuna faulo iliyotendeka, ukishapuliza filimbi tu mchezo unakuwa umesimama.

Lilifungwa baada ya filimbi kupigwa au baada ya gori kufungwa?
Majibu please.
All the best
Filimbi ilipigwa kwa faulo ipi iliyotokea pale?
 
Pamba kafunga goli safi kabisa lakini cha ajabu mwamuzi kakataa goli akadai kipa kaguswa na mchezaji wa Pamba wakati kipa na beki wake waligongana wao wenyewe!

Mi nadhani kwa sasa waamuzi wa Tanzania sio kwamba awajui Sheria bali njaa zinawasumbua njaa ni mbaya sana kwa waamuzi wetu awa wanatuharibia Mpira!
Kwani uchaguzi serekali za mitaa kwanini wapinzani wameenguliwa !.
 
Pamba kafunga goli safi kabisa lakini cha ajabu mwamuzi kakataa goli akadai kipa kaguswa na mchezaji wa Pamba wakati kipa na beki wake waligongana wao wenyewe!

Mi nadhani kwa sasa waamuzi wa Tanzania sio kwamba awajui Sheria bali njaa zinawasumbua njaa ni mbaya sana kwa waamuzi wetu awa wanatuharibia Mpira!
Filimbi ilipulizwa kabla ya Goli...ndio Tatizo la kuangalizia Mpira Vibanda umiza
 
Pamba kafunga goli safi kabisa lakini cha ajabu mwamuzi kakataa goli akadai kipa kaguswa na mchezaji wa Pamba wakati kipa na beki wake waligongana wao wenyewe!

Mi nadhani kwa sasa waamuzi wa Tanzania sio kwamba awajui Sheria bali njaa zinawasumbua njaa ni mbaya sana kwa waamuzi wetu awa wanatuharibia Mpira!
Bado unalia au umenyamaza wewe chura?
 
Pamba kafunga goli safi kabisa lakini cha ajabu mwamuzi kakataa goli akadai kipa kaguswa na mchezaji wa Pamba wakati kipa na beki wake waligongana wao wenyewe!

Mi nadhani kwa sasa waamuzi wa Tanzania sio kwamba awajui Sheria bali njaa zinawasumbua njaa ni mbaya sana kwa waamuzi wetu awa wanatuharibia Mpira!
Kwani ile penati aliyonyimwa Kibu siku ya Simba na Yanga ilikuwa na tatizo gani?
 
Kuweka mambo sawa, sio kwamba goli lilikataliwa, kabla ya hilo unaloita goli kufungwa, tayari refa alipuliza filimbi ya faulo dhidi ya golikipa wa Simba, hivyo tukio lolote baada ya filimbi ya refa linakuwa invalid... Shida tu ni kwenye ile faulo, hakukuonekana kuwa na faulo pale.
Umeongea fact mkuu
 
Pamba kafunga goli safi kabisa lakini cha ajabu mwamuzi kakataa goli akadai kipa kaguswa na mchezaji wa Pamba wakati kipa na beki wake waligongana wao wenyewe!

Mi nadhani kwa sasa waamuzi wa Tanzania sio kwamba awajui Sheria bali njaa zinawasumbua njaa ni mbaya sana kwa waamuzi wetu awa wanatuharibia Mpira!
Unafikiri ni kwa nini hawachaguliwi kuchezesha mechi za Kimataifa? Ni kwa sababu most of them are corrupt and incompetent.
 
Mwamuzi kakataa goli vipi wakati kilichotangulia ni kipenga cha foul? Baada ya kuamua kuwa foul zilipita sekunde kadhaa mchezaji WA Pamba kupiga kichwa na wachezaji waliosikia kipenga hawakujishulisha. Mkosoe Kwa kuamua Ile kuwa foul na sio Kwa kukataa goli.
Una akili sana mzee
 
Back
Top Bottom