Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Hakuna mchezaji tunayeweza kumfananisha na Chama. HakunaaSasa unafanaisha chama na takataka gani pale utopoloni kwenu
Kweni Kama yanga no feisal no Morrison yanga 1½ semi finalSiku tukifikia muafaka kuwa Chama sio mchezaji wa mechi ndipo Simba tutatoboa Nusu fainali michuano ya CAF.
HUYU JAMAA NI MCHEZAJI WA KU-SHINE dhidi ya Ihefu FC na Ruvu Shooting.
Yaani inakuwaje Pro Player unakosa penati katika decisive stage kama ile.
Ipo siku Simba tutashiriki nusu fainali, lakini katika hiko kikosi hapatakuwa na CHAMA.
View attachment 2603162
Ronaldo, Kaka na Ramos walikosa penati dhidi ya Bayan nusu fainali Champions league 2012 mpaka Morinho akaliaHao ulio wataja hawakosi penati ktk decisive moments.
Kiume!Penati hazina ufundi mkuu, hata Messi na Ronaldo wamekosa sana.
Simba wametoka kiume, hatua ya penalties ni bahati nasibu, msianze kushikana uchawi huko msimbazi.
Hongereni watani, mmejitahidi
Kama kawaida yao kaka. Wametoka kiumeKiume!