Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
yeah ni kenya na siyo uganda nimekumbuka asante kwa kunisahihisha mkuu hapo nilisahau kidogo....Jimmie Gatsby, nadhani Sandra alikuwa anasoma Kenya na sio Uganda.
Lakini pia kwenye hiyo ajali, Sandra alivunjika mguu na meno au jino la mbele kutoka.
Mzee wake alikasirika sana na ile issue. Mara ya mwisho kumuona Sandra wakati anapona ni mbezi beach kwenye mgorofa, mawazo yangu yote nilijua hapo ndiyo kwao na sio oysterbay.
yes mbezi beach ndio palikuwa kwao...ila oysterbay alikuwa anakaaga pia kwa relatives na hapo noorah alikuwa anafikaga maana mahusiano yao yalikuwa yanajulikana na huyo ndugu yao
tatizo hyo siku alikuwa anajulikana hayupo tz ndiomaana alikuwa anagoma kwenda