Tukumbuke kisa hiki cha msanii Noorah na Fiesta

Tukumbuke kisa hiki cha msanii Noorah na Fiesta

Jimmie Gatsby, nadhani Sandra alikuwa anasoma Kenya na sio Uganda.

Lakini pia kwenye hiyo ajali, Sandra alivunjika mguu na meno au jino la mbele kutoka.

Mzee wake alikasirika sana na ile issue. Mara ya mwisho kumuona Sandra wakati anapona ni mbezi beach kwenye mgorofa, mawazo yangu yote nilijua hapo ndiyo kwao na sio oysterbay.
yeah ni kenya na siyo uganda nimekumbuka asante kwa kunisahihisha mkuu hapo nilisahau kidogo....

yes mbezi beach ndio palikuwa kwao...ila oysterbay alikuwa anakaaga pia kwa relatives na hapo noorah alikuwa anafikaga maana mahusiano yao yalikuwa yanajulikana na huyo ndugu yao

tatizo hyo siku alikuwa anajulikana hayupo tz ndiomaana alikuwa anagoma kwenda
 
yeah ni kenya na siyo uganda nimekumbuka asante kwa kunisahihisha mkuu hapo nilisahau kidogo....

yes mbezi beach ndio palikuwa kwao...ila oysterbay alikuwa anakaaga pia kwa relatives na hapo noorah alikuwa anafikaga maana mahusiano yao yalikuwa yanajulikana na huyo ndugu yao

tatizo hyo siku alikuwa anajulikana hayupo tz ndiomaana alikuwa anagoma kwenda
Sawa kabisa. Nakumbuka dem alipanda basi kutoka Nairobi na wazazi walikuwa hawana taarifa. Baada ya ile ajali, Sandra alipelekwa hospitali japo Mzee wake aligoma kwenda kumuona lakini nadhani baadaye alienda.

Kuna umri ambao Vijana huwa hawawasikilizi wazazi wao, lakini mwisho wake huwa ni mbaya sana.
 
Sawa kabisa. Nakumbuka dem alipanda basi kutoka Nairobi na wazazi walikuwa hawana taarifa. Baada ya ile ajali, Sandra alipelekwa hospitali japo Mzee wake aligoma kwenda kumuona lakini nadhani baadaye alienda.

Kuna umri ambao Vijana huwa hawawasikilizi wazazi wao, lakini mwisho wake huwa ni mbaya sana.
wanasemaga ujana maji ya moto...

hasa mabinti wakiwa kwenye ule umri wa mihemko huwa wanafanya mambo ya ajabu sana kwa ajili tu ya wapenzi wao
 
SIKUMBUKI KAMA AJALI YA NOORAH ILIKUWA NA UHUSIANO NA FIESTA

NOORAH hakupata ajali akiwa kazini alipata ajali akiwa na demu wake (sandra)

nakumbuka gari ilikuwa rav 4 huyo demu wa noorah alikuwa anasoma Kenya na alikuja tanzania bila kwao kujua

lengo lilikuwa kumuona bwana ake akiperfom sasa baada ya noorah kumaliza show yake wakawa wanarudi wote wamelewa na wako speed ulitokea ubishani

maana noorah alikuwa anataka kumrudisha yule demu kwao(oysterbay) na yule demu hataki kurudi kwao maana nyumban kwao walikuwa wanajua yupo shule Kenya

katika mabishano huku gari ikiwa speed yule demu aliisukuma gear kwenye parking

kana ujuavyo gari za zaman hazikuwa na sensor za kutema gear ya packin gari inapokuwa speed kali basi ilifanya tairi zote nne kufunga ghafla na gari ilibingirita mara nane

noorah hakufunga mkanda alitupwa nje ya gari na akapata ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu alikuwa anamkumbuka huyo demu tu...

na siyo kwamba alijipeleka hospital noorah alitoka eneo la ajali akiwa hajitambui kabisa alikuja kupata fahama akiwa hospital

alikaa sana muhimbili hadi alipokuja kupona na kuendelea na mziki pamoja na masomo (IFM)

hawa jamaa fiesta wana mapungufu yao ila sometimes mnazidisha kuwaonea
ilikuwa show ya nini?
FUNGUKA
 
asante mzee muanzisha thread atakuwa kwa sasa anachungulia tu, hili ndio tatizo la kuwa na data kidogo
Anakataa ilikuwa sio Fiesta...ila anakubali dem alikuja kuangalia perfomance....
Jiulize ilikuwa show gani mwaka 2005 iliyosababisha mtu akatoka nje ya nchi....tena alitoroka shule...
Zakuambiwa changanya na zako.

SIKU zote
Ukweli sana + Uongo kidogo =UONGO MKUBWA
 
VIJANA wamjengoni wanataka kupotosha haikuwa Fiesta....
Sijui kwanini huu ukweli huwa mchungu
 
Hili liko kwenye uwezo wa msanii mwenyewe. Kimsingi mtu unapoingia mkataba wowote ni juu yako wewe kuhakikisha una manufaa kwako. Hivyo wasanii wanatakiwa kusisitiza kuwekewa kipengele cha bima kwenye mikataba yao. Kama wanaona ni shida kukubaliwa basi wajiwekee wenyewe. Katika fani zote nadhani sanaa ndiyo yenye watu wanaopenda kulalamika lalamika hata kwa mambo wanayoweza kuyatatua wenyewe. Imefikia stage msanii akiugua anataka atibiwe kwa gharama ya serikali tena nje ya nchi wakati wakiwa wazima hawaishi kutanua.
Bonge 1 la "point" ambalo halina neno "less" mbele yake. Safi sana
 
SIKUMBUKI KAMA AJALI YA NOORAH ILIKUWA NA UHUSIANO NA FIESTA

NOORAH hakupata ajali akiwa kazini alipata ajali akiwa na demu wake (sandra)

nakumbuka gari ilikuwa rav 4 huyo demu wa noorah alikuwa anasoma Kenya na alikuja tanzania bila kwao kujua

lengo lilikuwa kumuona bwana ake akiperfom sasa baada ya noorah kumaliza show yake wakawa wanarudi wote wamelewa na wako speed ulitokea ubishani

maana noorah alikuwa anataka kumrudisha yule demu kwao(oysterbay) na yule demu hataki kurudi kwao maana nyumban kwao walikuwa wanajua yupo shule Kenya

katika mabishano huku gari ikiwa speed yule demu aliisukuma gear kwenye parking

kana ujuavyo gari za zaman hazikuwa na sensor za kutema gear ya packin gari inapokuwa speed kali basi ilifanya tairi zote nne kufunga ghafla na gari ilibingirita mara nane

noorah hakufunga mkanda alitupwa nje ya gari na akapata ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu alikuwa anamkumbuka huyo demu tu...

na siyo kwamba alijipeleka hospital noorah alitoka eneo la ajali akiwa hajitambui kabisa alikuja kupata fahama akiwa hospital

alikaa sana muhimbili hadi alipokuja kupona na kuendelea na mziki pamoja na masomo (IFM)

hawa jamaa fiesta wana mapungufu yao ila sometimes mnazidisha kuwaonea
Huyo demu nae alitoka na hali gani kwenye hiyo ajali?
 
Back
Top Bottom