Tukumbuke kisa hiki cha msanii Noorah na Fiesta

Shame on you.
 
Ulilisoma wapi na mimi nikalisome kisha nimuulize maswali yangu?
bytheway, you sound kama mleta mada with another ID, (just curious) lol.
Usipende kuongozwa na hisia ID mbili mimi za kazi gani, kama hata ukitaka jina langu halisi naweza kukupatia, mimi si Iddy Mwanaharamu wala mleta mada na JF si chanzo pekee cha habari. Mtafute Facebook
 
mleta mada huyo kaja na ID nyingine kujitetea umemuuliza aliisoma wapi hii habari hajajajibu 😂😂😂
Punguza Hisia, nimeshajibu nilisoma kwa Iddy Mwanaharamu Facebook. Jf si chanzo pekee cha habari. ID mbili za kazi gani hata ukitaka jina langu halisi naweza kukupatia.
 

Ya yule bo.y.a ilikua fix
 
Watoto wa Luge wameamua kujazana hum kutetea Unyama aliofanyiwa Baba Style....
BILA hata andiko la Iddy...Mimi Noorah mwenyewe kanipa malalamiko haya...
Na nimeishi nawanchemba wote hakuna aliyewahi Kuacha kulalamikia show hizi za kidwanzi.
Nani asiyejua waliopinga mikataba waliishia kutengenezewa sura na taswira mbaya ili waendelee kuogopwa na kuonwa miungu mtu.
 
Inamaana Unapingana na Muhusika...
Chanzo changu ni Muhusika wewe umehadithiwa...
MBONA hutaki kusema ilikuwa show ya nini?
Ilifanyika wap?
Msipende kuwa mawakala wa Shetani.....
Hata kama ilikuwa show ya FIESTA jamaa hakupata ajali akiwa stejini kapata hiyo ajali kaishatoka huko Fiestani kwahiyo waandaji wa show hawahusiki tena hapo,mfano umetoka ofisini saa kumi na moja umepita sehemu then saa tatu usiku unaelekea home ukapata ajali utasema hiyo ajali umeipata kazini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…