Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka


Wewe lazma tunajuana. Kachingwe katika ubora wake.
 
Mwalimu Chiteme chimumunye ! [emoji2]
Mwalimu "gharika"
Mwalimu "equals to wati"
 
1. Lamda (Mwalimu wa physics, alikua mrefu balaa)
2. Froggy ( madam alikua mnene kiasi kwamba shingo haionekani, anafanana na chura, hence froggy)
3. Samsing ( huyu alikua hawezi kutamka neno "something")
4. Akaba ( Mwalimu wa Arabic, alikua anapenda kurudia rudia story ya Aqaba enzi za mtume- waislam wanaelewa)
5. Natural gas ( huyu Mwanaume alikua na tako kubwa hakuna mfano, zaidi ya DAB [emoji3][emoji3][emoji3])
6. Sloppy (huyu alikua na chogo flani Luna slope greater that 45°) wanafunzi bwana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
7. Pastor (huyu mama alikua anapenda sana injili.. Hata akiwa anakuchapa lazima atie neno la bwana)
8. Zwangendaba ( huyu alitufindisha history of south Africa, alimsifia sana zwangendaba na dingiswayo)
 
Comfortable (huyu alikuwa mwalimu wa physics kiomoni sec alikuwa anapenda kutamka comfortable kila anapofundisha)
assumed mean (huyu mwl ya math alitufundisha statistics basi kila akifundisha lazima akumbushie assumed mean)
 
4. Chonya of Chilonwa.
 
Adidas- shule zote wilaya nzima zina mjua kwa upigaji fimbo wake... Stiki moja atakayo itua kwenye mwili wako ni ulemavu wa mwezi utakua una uguza nyumbani...
 
mchelemchele mwalimu alikuwa na kama za kike tukamtunga jina hill

USO was mbuzi ticha kucheka kwake ilikuwa sherehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…