Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

Kama Isn't it!
 
Kilimanjaro boys high school, Rombo
1. Domo chemba- mwalimu wa history na geography
2. Maza moka mathematicsa
 
Aisee ndo swali pekee nilikuwa naanza kulijibu kwny paper ya math...all really number(kama sijasahau)
Mwalimu Domain, alikuwa anafundisha hesabu na alophamia shuleni kwetu topic aliyoanza nayo ni ya mambo ya domain na range. Kwa hiyo kila dakika utamsikia akiuliza what is the domain?
 
Kuna sir alikuwa anatufundisha biology alikuwa na alama kama ya DC jokate tukawa tunamuita kidot
 
Paree kutokana na jina parenchyma😂😂😂😂😂😂
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
Boom - mwalimu wa History O level Geita secondaru, alikuwa mkuda sana.Alipewa jina hilo alipokuwa anaelezea athari za economic vita vya pili vya dunia kwenye uchumi mojawapo ikiwemo boom na recession.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
fuvu sio moro sec kweli
 
Tosa hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…