Sikusoma vizuri nilijua anasema mwalimu aliyekuwa anawafundisha.Ndio walimu wetu hao!
Kama Isn't it!"Ni Kwamba"--huyu alikuwa mwalimu wetu wa Siasa enzi hizo. Alikuwa kila baada ya sentesi 2 anatumbukiza "ni kwamba",siku moja tukaamua kumuhesabia hizo ni kwamba zinakuwa ngapi ktk kipindi cha dk 45;jamaa yetu akahesabu zikafika 78,basi ndo likawa jina lake hilo.
Shule gani hii?Magma - mwalimu wa Kidachi nguli wa hesabu aliyesemekana alikuwa rubani vita vya 2 vya dunia kabla ya kuwa buruda.
Mwingine - "Babu Jeff" mwalimu wa Useremala, raia wa Ushelisheli
DuhAdidas- shule zote wilaya nzima zina mjua kwa upigaji fimbo wake... Stiki moja atakayo itua kwenye mwili wako ni ulemavu wa mwezi utakua una uguza nyumbani...
Wakongo hao, hilo neno Basuba hutamkwa na sauti zenye besiHuu wimbo, ulikua na neno kama 'chukuru-chukuru-chu' halafu wanaitikia 'baasuba' unasikia tena 'okaye' basuba
Sijui muimbaji ni nani.
Mwalimu Domain, alikuwa anafundisha hesabu na alophamia shuleni kwetu topic aliyoanza nayo ni ya mambo ya domain na range. Kwa hiyo kila dakika utamsikia akiuliza what is the domain?
Paree kutokana na jina parenchyma😂😂😂😂😂😂Nakumbuka baadhi ya majina ya walimu waliyopewa na wanafunzi kama ifuatavyo:
1. Solar system - mwalimu wa geograph form 1 au 2 alifundisha solar system akapatiwa jina hapohapo
2. Bambabay - mwalimu wa commerce form 3 alikua akielezea transport system,akaitaja bambabay ndio ikawa jina lake.
3.magazijuto - mwalimu wa hisabati darasa la saba alifundisha magazijuto na yeye ndio ikawa jina lake la utani au aka
4. Chonya of chilimwa - mwalimu wa kiswahili secondary alisoma habari za chonya of chilomwa akawa ndio jina lake
tupeni majina zaidi
fuvu sio moro sec kweliFuvu:
huyu alikuwa discipline master. noma. mwembambaaaa kama snoop dogg.
Kisu:
Bonge la headmaster niliyewahi kumuona. Aligeuza shule iliyokuwa ya wahuni kuwa shule yenye heshima inayofaulisha kwa kiwango cha juu bila mitihani kuvuja. Huyu jina yake kamili ni Kisusange. Kuna wakati alihamaki, akauliza wanafunzi: "naskia kuna wanafunzi wananiita Kisu, hivi wewe baba yako unaweza kumuita ba?"
Tosamaganga nn?Fiudo-mwalimu anyefundisha Civics, pat ya modes of production (Feudalism)
Exotic-Mwalimu aliyepewa jina baada ya kufundisha exotic breeds of livestock
Tosa hiichief nanga- mwl wa lg2 form6 kila akitoa mfano wa character kwenye things fall apart,lazma amtaje chief. Kilaza-mwl. wa history1 alikua anapenda kutuita vilaza,hatimae jina likamgeukia yeye. Continental drift- ticha wa jog1, hata akiwa anaadhibu wanafunzi,utaskia cont.drift hiyooo...Vinyoya-rector alikuwa anapenda kuvaa pensi kubwa na tsht alaf miguuni vinyweleo kama simba dume