Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Ndotomtaa, Son of Alaska, Maane,
Hakuna sababu ya kulia ndugu zangu. Sisi sote ni wafu watarajiwa. Nyerere alikuja, akafanya yale yaliyokuwa katika uwezo wake na akaenda mbele ya haki. Lakini hakutuacha yatima. Ametuacha na wosia, na pia ametuachia mfano. Ni wajibu wetu sisi tuliopo kuuchukua mfano huo na kuufanyia kazi. Nilipoonana naye mara ya mwisho pale NY alikuwa na masikitiko ya kutoamini kuwa Watanzania wameukataa ujamaa na Azimio la Arusha. Nikamkumbusha stori moja ya Biblia juu ya yule jamaa mpanda mbegu. Nyingine zilianguka mchangani, nyingine zikaanguka kwenye miamba, lakini pia kuna mbegu zilizoanguka kwenye udongo wa rutuba. Nikamwambia, Mwalimu wewe kwangu ni kama yule mpanda mbegu. Akaniangalia, akanyamaza. Ni wajibu wetu kuendelea kurutubisha zile chache zilizoweka mizizi kwenye udongo wa rutuba. Naamini Tanzania zipo.
 
mimi mpaka sasa bado siamini mambo yanayotokea ktk hii serekali ya mafisadi maana nakuwa kama niko ktk ndoto haswa nikikumbuka jinsi nyerere alivyomtukana malechela ktk lile sakata la zanzibar kujiunga na OIC mpaka leo malechela ameshindwa kusafishika maana mwalimu alituambia tumuogope kama ukoma, na pia nakumbuka wakati huo ulikuwa ni utawala legelege wa Mwinyi. na leo tena tunashuhudia tena mambo ya kutia aibu ndani ya utawala wenye harufu mbaya na ya kutia kinyaa wa jk yakiibuka mambo yale yale. je kama mwalimu angekuwa hai leo huyu Membe angekuwa wapi sasa kwa kutuletea mjadala hatari ktk nchi yetu wa OIC na je? huyu waziri mkuu zezeta aliyechoka fikra na mwenye sura ya mbuzi angekuwa wapi kwa kushindwa kuufunga mjadala wa zanzibar ni nchi au siyo,mbona mwalimu alipokuwa hai mambo haya hatukuyaona,mambo ya kututia aibu NASIKITIKA SANA, NA SIJUI NIFANYE NINI KUINUSURU NCHI YANGU KIPENZI
 
...naombeni somo,nimejaribu kutuma picha humu lakini nashindwa,naomba maelekezo tafadhali

Wakuu wenye maarifa ya huu mchezo wa picha, tafadhali msaada hapa kwa ndugu, wazee heshima mbele kwa kuweka vitu hapa elimu ya bure na picha ni murua, historia mbele na siasa kwa pembeni yake, picha zitaendelea na in the meantime pia tunatafuta maarifa ya kuweka DVD katika hii thread, maana zipo nyingi sana tena sana kwa hiyo hatujamaliza wakuu, mambo bado kabisa hapa ni kukaa mkao wa kula tu maana hii thread so far huu ni mwanzo tu!

Lakini heshima mbele kwa wote waliochangia na wanaoendelea kuchangia hapa, wote ninatoa salute na heshima mbele, tuendelee kuelimishana wakuu.
 
kingunge alipokuwa kijana anaonekana hapa

attachment.php


attachment.php
 
...naombeni somo,nimejaribu kutuma picha humu lakini nashindwa,naomba maelekezo tafadhali

Wakuu wenye maarifa ya huu mchezo wa picha, tafadhali msaada hapa kwa ndugu, wazee heshima mbele kwa kuweka vitu hapa elimu ya bure na picha ni murua, historia mbele na siasa kwa pembeni yake,

Makamanda,
Kuna njia mbili, moja ni kutumia attachment na ya pili kama kutumia link ya picture ambayo inapatikana kwenye properties ya picture, ni baada ya right click katika picha hiyo. kopi link na tumia kibatoni hiki
insertimage.gif
kuweka link hiyo
 
Makamanda,
Kuna njia mbili, moja ni kutumia attachment na ya pili kama kutumia link ya picture ambayo inapatikana kwenye properties ya picture, ni baada ya right click katika picha hiyo. kopi link na tumia kibatoni hiki kuweka link hiyo

Mkuu Kibunango,

Heshima mbele mkuu kwa msaada wako na kutuwekea maarifa ya namna ya kuweka picha, Mkuu Zanaki, nadhani amekupata,

Naona Mheshimiwa sana Kingunge, baada ya kutoka Urusi nafikiri, enzi hizo akigoma kula kiapo mbele ya rais kwa kutumia Biblia wala Quraani, alikuwa mjamaa haswa, asiyependa rushwa wala ubepari, mpaka Mwalimu alipofariki ndio akaanza kumsikiliza zaidi mkewe na kutugeuka wananchi na taifa zima, sasa ni bepari tena wa kutupwa!

Mungu Ibariki Tanzania.
 
the original statue at the askari monument,was of Major Hermann von wissman,a german explorer and soldier,governer of german east africa 1895,it was erected in 1911. In 1916 the statue was demolished when the british occupied dar es salaam.the current statue was then erected to commemorate the african troops who fought for the british in the 1914-18 war
 
[media]http://rspringwater.com/images/EastAfrica_UhuruParadeGround_jpg.jpg[/media]


kwata la uhuru Tanganyika 1961....click to enlarge the picture!
 

usafiri wa anga;

...enzi hizo, East African Airways wanatesa na Dakota ilokuwa inatua mpaka Kilwa Airport!, halafu kulikuwa na DC-8, DC-9 na DC-10 ilokuwa na regular trips to London!

...enzi hizo 'waving bay' kama inavyoonekana, ilikuwa ruksa pale terminal one, mkisindikiza shurti mpungie mpaka ndege inaporuka 😀 !!!
 
[media]http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/bc/Stamp_Tanganyika_1925_10c.jpg/120px-Stamp_Tanganyika_1925_10c.jpg[/media]


....first tanganyika stamp 1925!
 
[media]http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/2/2f/Flag_of_Tanganyika.png[/media]


...hii ndio bendera ya Tanganyika kabla ya kuwa Tanzania.
 
[media]http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/a0/Flag_of_Tanganyika_%281919-1961%29.svg/800px-Flag_of_Tanganyika_%281919-1961%29.svg.png[/media]

....bendera ya Tanganyika chini ya mkoloni 1919-1961.
 
yule nyoka,anayeitwa CENTRAL LINE,hatumjui historia yake vizuri,what i know ujenzi wake,ndio uliwaleta wahindi nchini,eti sisi waafrika hatufundishiki,ndio maana akaletwa ponjoro ambao waliitwa COOLIES,kwa kiswahili sisi tukaita KULI naadhani hii ilikuwa 1905
HUKO kenya ujenzi wa reli ya mombasa ulimtoa kamasi mkoloni,simba wa tsavo(wanasema hawa walikuwa simba watu)wanavamia behewa usiku,wanazima taa,na kuondoka na coolie(hili swala lilijadilwa mpaka na bunge la uingereza)Alaafu wenyeji wanakata waya za mawasiliano na kutengeneza bangili,by the time hii reli inakamilika gharama ilipanda mara tatu
 
FMES,Kichuguu,Koba,Jasusi,Son-of-Alaska,Kishoka,

..tafuteni kitabu kinaitwa "The modern history of Tanganyika."

..kitabu hicho kinaeleza habari nyingi sana za harakati za uhuru na michango ya wananchina jamii mbalimbali.

..inaelekea tayari kulikuwa na vuguvugu ktk jamii mbalimbali kujitawala na kujiamulia mambo yao wenyewe.

..Tanu ilikuja kuzipa juhudi na vuguvugu hilo sura ya kitaifa.

..pia kuna hili suala la lugha ya kiswahili kuwa nguzo kuu iliyowaunganisha Watanganyika wote.

..kitabu kinaeleza kwamba Mwalimu alilazimika mara mbili tu ktk ziara zake zote mikoani kuzungumza na wananchi kwa kupitia mkalimani. hiyo ilitokea ktk maeneo ya Mbulu na Mwanza.

..kwa msingi huo basi ile dhana kwamba Kiswahili kimekuzwa Tanzania kutokana na juhudi binafsi za Mwalimu ni ya kutiliwa mashaka kidogo.

FMES,

..zamani Kingunge alikuwa akijulikana kama Keiton Ngombale.

..nasikia alipelekwa na Tanu chuo kikuu Liberia lakini akafukuzwa shule kwasababu he was too radical.

..kutoka Liberia akaelekea Ufaransa ambako ndiko alikohitimu shahada yake.

..pia kuna kipindi alimchachafya sana Mwalimu mpaka akawekwa benchi. aliporudishwa kazini alikuwa akitupwa kwenye mikoa migumu tu.

..lakini kila mkoa aliokwenda alianzishwa kijiji cha mfano cha Ujamaa.
 
Du! nimechukua muda wa kutosha kuipitia hii thread toka mwanzo hadi mwisho, sio siri machozi yamenilengalenga. Imebidi nifiche uso wangu kwa wenzangu wasinione, maana kuanza kuwa na emotion za namna hii ugenini ni hatari. Ukweli nimekumbuka mbali, serikali ilipokuwa na uwezo wa kutosha enzi za mwalimu wala hali haikujificha matunda yalisambazwa ktk kuwahudumia wananchi. Leo hii kila mafanikio yanayopatikana yanaenda kwa wachache wanaojiona wana haki ya kuishi, inatia huzuni.
 
Du! nimechukua muda wa kutosha kuipitia hii thread toka mwanzo hadi mwisho, sio siri machozi yamenilengalenga. Imebidi nifiche uso wangu kwa wenzangu wasinione, maana kuanza kuwa na emotion za namna hii ugenini ni hatari. Ukweli nimekumbuka mbali, serikali ilipokuwa na uwezo wa kutosha enzi za mwalimu wala hali haikujificha matunda yalisambazwa ktk kuwahudumia wananchi. Leo hii kila mafanikio yanayopatikana yanaenda kwa wachache wanaojiona wana haki ya kuishi, inatia huzuni.

Ndiyo Tanzania yetu hiyo ndugu yangu, maisha mazuri kwa kila fisadi!
 
Baada ya kuwa maspika uchwala akina Msekwa na huyu Sita, nadhani kuna wanaodhani kuwa kiti cha spika hukaliwa na wapuuzi tu. Hapana, tulikuwa na Chifu Adam Sapi Mkwawa ambaye alikuwa ni no nonsense man. Picha hii inamwonyesha marehemu Mkwawa katika kiti chake cha uongozi mara tu baada ya Uhuru.

attachment.php
 

Attachments

  • Mkwawa.jpg
    Mkwawa.jpg
    40.2 KB · Views: 621
attachment.php


attachment.php


attachment.php

usafiri wa anga;

...enzi hizo, East African Airways wanatesa na Dakota ilokuwa inatua mpaka Kilwa Airport!, halafu kulikuwa na DC-8, DC-9 na DC-10 ilokuwa na regular trips to London!

...enzi hizo 'waving bay' kama inavyoonekana, ilikuwa ruksa pale terminal one, mkisindikiza shurti mpungie mpaka ndege inaporuka 😀 !!!


Yes, Mzee Mchongoma umenikumbusha mbali sana. Nilipanda EAA ningali mdogo kutoka Musoma kwenda Tabora; nadhani mwaka 1968 hivi. Kila mtu ndani ya ndege ile alikuwa kavalia vizuri sana utadhani nini. Wale akina dada waliokuwa wakihudumia walionekana wazuri kweli kweli. Nadhani enzi hizo tulikuwa na ulimbukeni sana na usafiri wa anga.


attachment.php

 

Attachments

  • DSC01109.jpg
    DSC01109.jpg
    25.9 KB · Views: 1,067
Huu mkutano TANU wa hadhara katika harakati za kugombea uhuru ulifanyika pale jangwani mwaka 1958 au 1969 hivi, kumbukumbu yangu ya mambo ya zamani zaidi 1960 ni ndogo sana. Unaona nyuma za wakati huo mahali ambapo leo ndipo yalipo makao makuu ya Yanga.

attachment.php


Kwenye jukwa lile yupo Nyerere, Bibi Titi Mohammed (mama wa shoka) na yule mwingine nadhani ni Paul Rupia. Mwenye kumjua huyu mweingine sawasawa atuambie.
 

Attachments

  • butiama 288.1.jpg
    butiama 288.1.jpg
    65 KB · Views: 887
yule nyoka,anayeitwa CENTRAL LINE,hatumjui historia yake vizuri,what i know ujenzi wake,ndio uliwaleta wahindi nchini,eti sisi waafrika hatufundishiki,ndio maana akaletwa ponjoro ambao waliitwa COOLIES,kwa kiswahili sisi tukaita KULI naadhani hii ilikuwa 1905
HUKO kenya ujenzi wa reli ya mombasa ulimtoa kamasi mkoloni,simba wa tsavo(wanasema hawa walikuwa simba watu)wanavamia behewa usiku,wanazima taa,na kuondoka na coolie(hili swala lilijadilwa mpaka na bunge la uingereza)Alaafu wenyeji wanakata waya za mawasiliano na kutengeneza bangili,by the time hii reli inakamilika gharama ilipanda mara tatu


Kuna hii movie ya Michael Douglas inayohusu Simba wa Tsavo ( au Nyamaume wa Tsavo) ambayo hata sikumbuki jina lake tena. Tuliingalia sana na familia yangu kipindi cha mwaka 2004 na 2005 ikihusu ujenzi wa reli huko kenya. Kweli yule simba aliwatesa sana mpaka wakaamua kuwaajili morani wa kimasai kumuwinda.

Ni kweli kuwa hakuna rekodi sawasawa kuhusiana na ujenzi wa reli zetu zote tatu za Tanga, Kati na kusini zilizojengwa wakati wa mkoloni. Ila kama ilivyo kwenye major construction yoyote ile, ni lazima relie hizi zilikwenda na maisha ya watu wengi sana, hasa ndugu zetu ambao wakati ule walikuwa wakionekana kama vile hawana thamani.
 
Back
Top Bottom