Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Jasusi,
Heshima mbele huyu wa pili sio Sitta, au?
Inabidi tukautafiti utaalamu huu badala ya kunga'nga'nia walichotuambia wanahistoria wa Kikoloni pale waliposema kuwa hatujawahi kuwa na uwezo wa kuvumbua kitu chochote cha kiteknolojia.
And vile vile wakulu FMES, Kichuguu na wengineo; mlijuaje kama tulikuwa tunataka kukumbuka kuleeee tulikotokea? Hii safi sana, Huu ni moto chini sasa; Kanyaga twende wakulu......
Mkulu Mwazange,
Heshima mbele mkuu, mimi binafsi nilisikitishwa sana na hotuba ya Rais wa Jamhuri majuzi bungeni,
By the way Mkulu Mwazange, nimeupata ule mzigo nitakutwangia later, Shukrani.
Hivi Mwalimu aliacha lini kuvaa KOTI na TAI?
jamani wako wapi magavana kama ndugu yetu GILMAN RUTIHINDA leo mpaka shule iliyopewa jina lake inasadifu wasifu wake!!
je,hakuna vuiongozi tena kama hawa!!??