William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
- #61
Mkuu elewa nilichosema, nimekutana na Kanali Nyirenda, Lusaka, Zambia in the early 80s, alikokuwa akiishi in exile na nimefika mara nyingi sana nyumbani kwake kule alikuwa akiishi kwenye mtaa unaoitwa Katimamuliro Road, mtaa ambao una bunge la Zambia, na pia viongozi wote wa juu huishi, ndipo alipokuwa akiishi,
Sikusema nimemuona jana au mwaka jana, toka early 80s, nilipokuwa nikimuona kule, mpaka leo 2008 ni miaka mingi sana, kwa hiyo inawezekana kuwa alirudi au hakurudi na inawezekana ulimuona Muhimbili, lakini I doubt it kwa sababu kwa status aliyokuwa nayo then financially na politically, siamini kama unayemsema ni yeye, na sitashangaa sana kama kweli bado yupo mzima duniani, maana nilipokuwa ninamuona kule alikuwa ni mtu wemnye umri ulioenda kidogo, kwa yeye kuwepo mpaka leo!
Ahsante Mkuu!
Sikusema nimemuona jana au mwaka jana, toka early 80s, nilipokuwa nikimuona kule, mpaka leo 2008 ni miaka mingi sana, kwa hiyo inawezekana kuwa alirudi au hakurudi na inawezekana ulimuona Muhimbili, lakini I doubt it kwa sababu kwa status aliyokuwa nayo then financially na politically, siamini kama unayemsema ni yeye, na sitashangaa sana kama kweli bado yupo mzima duniani, maana nilipokuwa ninamuona kule alikuwa ni mtu wemnye umri ulioenda kidogo, kwa yeye kuwepo mpaka leo!
Ahsante Mkuu!