Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kichuguu,Jasusi,FMES,Rev.Kishoka,son-of-alaska,
..hii thread nimeipitia na kila kumbukumbu tunayoletewa ni ya WANASIASA tu.
..kulikuwa na thread nyingine ambapo member walijaribu ku-list idols/mashujaa wao, basi huko nako kulijaa wanasiasa.
..hivi katika jamii yetu hakuna watu wengine wa kuwaenzi zaidi ya wanasiasa? hakuna madaktari, ma-injinia, bankers, wachumi, industrialists, wanasheria, mathematicians,physicists,biologists,...ambao tunaweza kuwaenzi kwa utumishi na michango yao?
Sidhani kama tunao hata watano tu!!!!!