Dr Louis Leakey. In 1959, Mary Leakey, his wife, discovered in Olduvai Gorge, Tanzania, a hominid fossil ( Zinjanthropus ) believed to be 1,750,000 years old. In 1961 Leakey unearthed another fossil ( Homo habilis ) at Olduvai, which he believed to be a more direct ancestor of Homo sapiens.
Hivi kuna mtu anaweza kuniambia MWAKITWANGE yuko wapi?
alikuwa anapatikana sana pale Salamander miaka hiyoooooo
Mhhhhh! Tabia Mwanjelwa... namkumbuka kwa ule wimbo wake.... 'Kweli maisha ni safari ndefu.... ambayo haina mwishoooooo.... mwisho wake ni kifo..... Maquiz ilikuwa imekamilika siku zile... nani atawasahau akina Chinyama Chiaza, Mukumbule Lulembo Parash, Mutombo Lufungula Odax, Mbuya Makonga Adios, Mwema Mujanga (Mzee Chekecha) Nguza Mbangu Vicking, Kaumba Kalemba, Nkulu Wabangoi, Ilunga Lubaba,
Dekula Vumbi Kahanga (Vumbi, Vumbi, Sendema Sendema Kalasendema), Bobo Sukari, Freditto Utamu (Chini ya Muti, Chini Ya Mwembe) Mtoto Mzuri Assossa na wimbo wake wa Promosheni (Tulipoanza mimi nayeeeee...Jamani Leo ni kama ndoto yuko mikononi mwangu iyoyo iyoyo iyoooo) Kasongo Mpinda Clayton (Nataka kucheka sina mbavu yoooo . Wa kufa kwa sumu ya Chanicha) Mafumu Bilali Bombenga, Issa Nundu (Kama umenichoka nieleze mpenzi...Nilisimulia sana jina lako mbele ya wenzangu naona yote hayo huyakumbuki) na Baadaye Kasaloo Kyanga na Kyanga Songa.
Machifu wa Kingoni waliokamatwa wakati wa vita ya Maji Maji baadaye walinyongwa.
Mwaka 1987, kampuni ya Film Tanzania iliwaunganisha wapigaji mziki maarufu kutoa wimbo kwa ajili ya kurekodiwa na kampuni hiyo. Kikosi hicho kilijulikana kama Tanzania All Stars. Waliopo pichani
kutoka kulia ni Muhidin Maalim Gurumo (aliyekuwa JUWATA-Msondo), Max Bushoke (aliyekuwa DDC Mlimani Park-Sikinde), Marijani Rajab (Jabari- aliyekuwa (Dar International, Super Bomboka), Melisa na Zahir Ally (waliokuwa JKT- Kimulimuli), Fresh Jumbe (aliyekuwa Dar International, Super Bomboka), Nana Njige (aliyekuwa Vijana Jazz- Pambamoto Awamu ya Pili), Mabruki (aliyekuwa Mwenge Jazz, Panselepa) na Hamisi (aliyekuwa JKT, Kimbunga). Aliyeko nyuma kulia DJ Seydou.
Siku ya kwanza ya mazoezi ya Tanzania All Stars inasemekana Gurumo kwa kutumia kipaza sauti alimwambia, "Mwanangu Bitchuka itabidi ukaze uzi kuna Mkulima (Zahir Ally Zoro) katoka Kijijini anaimba kama hana akili nzuri"
Mhhhhh! Tabia Mwanjelwa... namkumbuka kwa ule wimbo wake.... 'Kweli maisha ni safari ndefu.... ambayo haina mwishoooooo.... mwisho wake ni kifo..... Maquiz ilikuwa imekamilika siku zile... nani atawasahau akina Chinyama Chiaza, Mukumbule Lulembo Parash, Mutombo Lufungula Odax, Mbuya Makonga Adios, Mwema Mujanga (Mzee Chekecha) Nguza Mbangu Vicking, Kaumba Kalemba, Nkulu Wabangoi, Ilunga Lubaba, Dekula Vumbi Kahanga (Vumbi, Vumbi, Sendema Sendema Kalasendema), Bobo Sukari, Freditto Utamu (Chini ya Muti, Chini Ya Mwembe) Mtoto Mzuri Assossa na wimbo wake wa Promosheni (Tulipoanza mimi nayeeeee...Jamani Leo ni kama ndoto yuko mikononi mwangu iyoyo iyoyo iyoooo) Kasongo Mpinda Clayton (Nataka kucheka sina mbavu yoooo . Wa kufa kwa sumu ya Chanicha) Mafumu Bilali Bombenga, Issa Nundu (Kama umenichoka nieleze mpenzi...Nilisimulia sana jina lako mbele ya wenzangu naona yote hayo huyakumbuki) na Baadaye Kasaloo Kyanga na Kyanga Songa.
Nyimbo kama Tafadhali, Kalubandika, Malokele, Mimi Msafiri, Safari Yetu Mbeya, Mama Kabibi, Haruna, Tusherekee Krismasi, kwenye wimbo huu kuna yale maneno... Ohhh Noele Mama... Noele mama tuimbe sote.....ohhh krismas oyeee....
Wakati huo OSS nako kulikuwa kunatisha, huko walikuwepo akina Twahilee (Twahir), Kimeza Abdallah, Otrish, Ndala Kasheba, Kawelee Mutimwana, Mobale Jumbe, na yule mtunzi wa ule wimbo wa Ziada Kabea Badu... bado nakumbuka baadhi ya maneno ya wimbo huo. "Umenionyesha mazuri toka ndani ya mdomo wako.... bila kuficha nikaaamini ooo dada... kumbe mwenzangu una yako moyooni, niachie mimi nilieee nimekwishazoea".... halafu kwenye kiitikio, "Bibi yangu walimtamani Ziada... oo walimpenda ziada... olele ohhh mama ohhhh, mimi namlia Ziada, walimtamani Ziada" Nyimbo zingine za OSS zilikuwa kama Dunia Msongamano, Mpaka Manga (Ohhh Mpaka Manga, kulala kwa vidonge), Maria Nyerere, Marashi ya Pemba na nyingine nyingi.
Naendelea kumkumbuka Ndala Kasheba na maneno ndani ya nyimbo zake kama "Wakati tulioana mpenzi ukumbuke, Mapatano yetu pale mbele ya Hakimu Bomani, Habari zako nimezipata toka kwa Mshihiri, nasikia umeshapata Bibi mwingine Oyster Bay" na yale "Ashura wazazi wako Sumbawanga" RIP Freddie Ndala Kasheba Supreme.
Mkuu, teh teh. Nadhani ilikuwa ni hivi...
'Habari zako, habari zako.
Nazipata hapa mjiini,
Umekwisha pata bibi mwingine,
Nasikia Osterbeei.................'
Kile mkuu, kilikuwa kigongo, hadi leo ukikisikia damu inasisimka. sikia:
'mama njoo mama njoo mama njoo uoone,
uchungu wa moyo maudhi natesekaa,
nimeechoka tena kuvumiliaaa,
leo yamezidi ya siku zote,
uchungu mwingi umenipataa,
nitulize moyo sina rahaa,
Mkuu hakuna noma, ukiniwekea mawasiliano kwenye pm by this weekeend nitakuwekea kwenye posta, yaani hizo nyimbo zake zote Salama, Matilda, Magreti na the rest, ahsante mkuu!
Kichuguu nadhani unaizungumzia Tanzania Film Company....Moja ya masharika ambayo nilisikitika sana Serikali yalipo yasaliti....sasa ivi angalia jamii inavyolia na maadili mabovu ya watoto na wadogo zetu..yote hayo ni kutokua na udhibiti wa filamu zinazoingia nchini...kila kitu ruksa..!!!!!
Ni kweli kabisa, Mkuu. Na kabla ama baada ya kujiunga na Mwenge nadhani alijaribu kujipanga tena na akina George Kifunda na kuanzisha bendi ya AfriCulture na mtindo wa 'Mahepe Ngoma ya Wajanja Wajinga Hawaoni Ndani' ambayo hata hivyo haikuweza hata kurekodi nyimbo RTD. Nakumbuka Siku za mwisho alifungua duka pale nyumbani kwake Kariakoo na akawa anauza kanda za muziki za nyimbo zake na za bendi nyingine. Kwa mtu aliyepata kulitikisa Tanzania kwa midundo yake, hali yake haikuwa nzuri sana kimaisha.
Ford (RIP)
Ford aliyeimbwa na mlimani Parki? Tuliambiwa eti alilipa kusudi Mlimani wamtungie wimbo kwa kutumia jina lake. Je ni kweli?
Ford aliyeimbwa na mlimani Parki? Tuliambiwa eti alilipa kusudi Mlimani wamtungie wimbo kwa kutumia jina lake. Je ni kweli?
Pan African